Asah Mwambene: Absalom Kibanda hana vigezo vya kuwa mhariri

Asah Mwambene: Absalom Kibanda hana vigezo vya kuwa mhariri

Usipende kumchafua membe anausikaje? Hivi kuandika selikali inanuka damu bila ushahidi ni sawa?
 
Kwenye hili swala la kufungiwa magazeti nafikiri sio vyema tukiweka siasa mara oooh Membe mara oooh Lowasa ila ni swala la msingi kukumbusha vyombo vya habari kuwa kuna mamlaka kamili na lazima tueshimu mamlaka sio kuja na maneno eti Serikali inanuka Damu...mimi naichukua sana hii serikali ya JK Ila kwa hili niko nao pamoja uwezi tukana serikali ovyo ovyo watu wanyamaze kimya na ingekuwa mimi ningeifungia maisha Mtanzania....all in all ni wajibu wa kila raia kueshimu mamlaka yaliyopo madarakani
 
Msibishane kama sio GT. Wekeni CV za Mwambene na Kibanda ili tulio ma GT tuchambue. Ikiwezekana tumtoe kwenye nafasi anayoshika ambaye ni kanjanja!
 
Arthur Mwambene ni moja ya majitu ya hovyohovyo katika madaraka ya nchi hii , HEKIMA YAKE INANITIA SHAKA
 
Tunakushukuru sana Mwambene kwa maneno yako , tumekurekodi kwa ajili ya kumbukumbu , mungu akupe nini bhana !
 
Kweli nchi masikini bado tunahitaji nguvu ya aina yake kujikomboa,watu wanatambishiana elimu na nafasi kama ndo maisha baada ya kufa. life expecnacy yetu ni ndogo, lakini ndo maringo na majivuno kama vile mfalme Nero.Mbona kwenye nchi zilizoendelea mpaka rangi na waziri wanakaa meza moja, wanakula restaurant moja, wantemeblea gari aina moja, nyumba hadi zinafanana,shule za watoto ni moja, wanaitanaka majina "Paul"na sio "Mkuu", Mh, "Sir" "Prof" "Dr".

Hapa suala la kujadili ni manufaa mapana zaidi ya Mwananchi na Mtanzania kamavyombo vya habari kwa Watanzania na wasomaji kea ujumla, sasa hizi issues za CVs, Positions zinanafasi kweli kwenye hili jamani? Yangy ni hayo tu..................
 
nakubaliana na mwambene, kibanda amechanganyikiwa, hana hadhi wala sifa ya kuwa mhariri
 
When it comes to maadili haina cha kusoma. Wenye degree wanaongoza kwa kufanya mambo ya hovyo. Hata hivyo Kibanda na Assa wote ni wasomi wazuri sana. Acheni kuchafuana kwa mambo ya kupita.
 
kwenye hili swala la kufungiwa magazeti nafikiri sio vyema tukiweka siasa mara oooh membe mara oooh lowasa ila ni swala la msingi kukumbusha vyombo vya habari kuwa kuna mamlaka kamili na lazima tueshimu mamlaka sio kuja na maneno eti serikali inanuka damu...mimi naichukua sana hii serikali ya jk ila kwa hili niko nao pamoja uwezi tukana serikali ovyo ovyo watu wanyamaze kimya na ingekuwa mimi ningeifungia maisha mtanzania....all in all ni wajibu wa kila raia kueshimu mamlaka yaliyopo madarakani

hata serikali ikifanya maovu usiiseme ili usipingane na serikali? Hv unatumia akili zako au umeazimwa siyo zako? Kwani ni kweli hainuki damu? Makanisa yamechomwa moto,padri kauliwa,tindikali,wachungaji wangapi wameuwa, tukio la kanisa la olasit arusha, mauaji ya maandamano ya raia,mwandishi wa habari mwangosi,rais wa madaktari.nani umemsikia kakamatwa n kafungwa jela katika matukio yote hayo? Upelelezi usiyi kwisha miaka nenda miaka rudi.
 
nashindwa kuelewa la bda baadae ntaele''"
 
Kwenye hili swala la
kufungiwa magazeti nafikiri sio vyema tukiweka siasa mara oooh Membe
mara oooh Lowasa ila ni swala la msingi kukumbusha vyombo vya habari
kuwa kuna mamlaka kamili na lazima tueshimu mamlaka sio kuja na maneno
eti Serikali inanuka Damu...mimi naichukua sana hii serikali ya JK Ila
kwa hili niko nao pamoja uwezi tukana serikali ovyo ovyo watu wanyamaze
kimya na ingekuwa mimi ningeifungia maisha Mtanzania....all in all ni
wajibu wa kila raia kueshimu mamlaka yaliyopo madarakani

kipi cha ajabu katika serikali kunuka damu? yaani huipendi serikali af hutaki ikosolewe hata penye ukweli! unachekesha
 
Kwenye hili swala la
kufungiwa magazeti nafikiri sio vyema tukiweka siasa mara oooh Membe
mara oooh Lowasa ila ni swala la msingi kukumbusha vyombo vya habari
kuwa kuna mamlaka kamili na lazima tueshimu mamlaka sio kuja na maneno
eti Serikali inanuka Damu...mimi naichukua sana hii serikali ya JK Ila
kwa hili niko nao pamoja uwezi tukana serikali ovyo ovyo watu wanyamaze
kimya na ingekuwa mimi ningeifungia maisha Mtanzania....all in all ni
wajibu wa kila raia kueshimu mamlaka yaliyopo madarakani
kipi cha ajabu katika serikali kunuka damu? yaani huipendi serikali af hutaki ikosolewe hata penye ukweli! unachekesha
 
Kweli nchi masikini bado tunahitaji nguvu ya aina yake kujikomboa,watu wanatambishiana elimu na nafasi kama ndo maisha baada ya kufa. life expecnacy yetu ni ndogo, lakini ndo maringo na majivuno kama vile mfalme Nero.Mbona kwenye nchi zilizoendelea mpaka rangi na waziri wanakaa meza moja, wanakula restaurant moja, wantemeblea gari aina moja, nyumba hadi zinafanana,shule za watoto ni moja, wanaitanaka majina "Paul"na sio "Mkuu", Mh, "Sir" "Prof" "Dr".

Hapa suala la kujadili ni manufaa mapana zaidi ya Mwananchi na Mtanzania kamavyombo vya habari kwa Watanzania na wasomaji kea ujumla, sasa hizi issues za CVs, Positions zinanafasi kweli kwenye hili jamani? Yangy ni hayo tu..................
Hiyo ndio tofauti sasa, zingekuaje zimeendelea na sisi hatujaendelea kama tungefanya mambo yanayofanana.
 
hata yeye Asa Mwambene hana Vigezo vya kuwa msemaji wa serikali, wote tunajua uwezo wake na kwamba ni sawa na houseboy wa Membe, amewekwa hapo ili ku protect interest za wauaji Membe na Zoka walioagiza kuuawa kwa Ulimboka. Inashangaza anapata wapi confidence ya ku treat wengine kama wapangaji, nani kamwambia hii nchi ni yake, ndio maana nashauri Mtanzania na Mwananchi wampeleke mahakamani kama Yeye aonyeshi hiyo sheria inayompa mamlaka ya kufanya hivyo, aje hapa atuonyeshe, na vigezo villivyompa ukurugenzi wa Maelezo, tunawajueni wakina Mwambene.

Simtetei kibanda maana na yeye angekua na kigezo asingekubali kufanya kazi na mtu ambaye sio mhariri, aliyefungiwa na chama cha wahariri ambayo ni professional association inayotunza ethics za waandishi ambayo yeye ni Mwenyekiti, ni sawa na NBAA imvue mtu wa CPA halafu Utto ama kaka yangu Maneno afanyenaye kazi ofisi moja, hii ni criminal professionally, sema cha kushangaza ni kwa nini wahariri bado wanamkumbatia Kibanda kama mwenyekiti? wamtoe, ndio maana Kubenea alikataa kushirikia vikao vyao vya kununuliwa na NHC na funds authorities kwa kusema kwamba hawana moral, Kibanda ashughulikiwe na Mwambene pia ashughulikiwe, wote wanatumika, after all hata hayo magazeti ya mtanzania hayana mchango wowote katika jamiil, wafungiwe waandike vyote sawa kwa kuwa wanajiandikia wenyewe na kutumiwa na Lowasa kutafuta urais, sio magazeti ya kuelimisha jamii, sema tunataka Rostam kama kweli ni fisadi, amshughulikie Membe maana kaota mapembe sana kwa kujua mkuu ni dhaifu

Hapo kwenye mstari, tunaomba ushahidi wako kuhusu hii accusation kubwa dhidi ya Zoka maana usije ukadhani kuandika humu ndio umejificha. Huwezi uka accuse mtu kwa criminality hivihivi tu, TUNASUBIRI MAJIBU YAKO HAPA!
 
Ndiyo. Isitoshe Kibanda alikuwa mwalimu wa sekondari miaka ya nyuma.
 
Mwenye kujua CV za Mwambene na Kibanda zishushwe hapa ili tufanye comparative analysis; vinginevyo hata Mwambene hana sifa ya kuwa katika nafasi aliyo nayo; kama anabisha; come clean Mwambene, shusha CV yako hapa tukate mzizi wa fitina.

Binafsi namfahamu Kibanda kwa undani wake na elimu yake, ila huyo Mwambene simjui naomba wenye uelewa kumuhusu watujuze. Nasisitiza Kibanda anajulikana kwa hali ma mali pia ni msomi wa kueleweka na hapendi ku-weed between the lines ili apate mkate. kwa haraka Mwambene ni maji ya shingo. Pole sana.
 
Hoja hapa ni weledi na maadili ya watu ktk kuzitumikia nafasi zao. Tukisema elimu tunakosea sana na mfano mzuri ni mikataba tunayoingia kama taifa tukiongozwa na wasomi (Tena wengine wa HAVARD) inavyotutafuna.
 
Back
Top Bottom