Asah Mwambene: Absalom Kibanda hana vigezo vya kuwa mhariri

Asah Mwambene: Absalom Kibanda hana vigezo vya kuwa mhariri

Umenena ndugu, yatosha.
ASSAH Mwambene, ka CV kamejaa kiasi kwani kama sijakosea alimaliza TSJ baada ya kuhamia Michokeni ooops mikocheni 1997, akagonga diplomasia, akagonga masters akafanya kazi vyombo vya habari kama TSN, Maelezo Akapotea kwa muda Fulani then akaibukia wizara ya Mambo ya nje kama msemaji wake then akaibukia Maelezo kama Mkurugenzi. Inasomeka na inakubalika kukalia kiti alichonacho sasa, kwani nani zaidi anafaa pale?
 
Back
Top Bottom