gollocko
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 2,945
- 2,280
Mbona hujatuelekeza na sie tujue ili watu waache uvivu na kuchoka choka
Mrembo, akina nani hao wanaochokachoka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hujatuelekeza na sie tujue ili watu waache uvivu na kuchoka choka
Mi ninayo yangu ya juici ya tangawizi dozi ya week moja tu unakua na uwezo wa kupiga goli sita na zaidi0712505049 nicheki hapo
wagonjwa mko wengi humu...
hongera kwa hiyo sasa hivi unakunya mtelezoMkuu naona hata matatizo ya kupata choo kigumu limeisha.
😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛acha uvivu weweHaiwezekani kututafuna kituunguu maji, kunywa kijiko cha samli na kunywa asali tu bila kutengeneza juice ya kitunguu?
mkuu mm nimeweza cchukua asali ya nyuki wadogo, samli, na vitungu swaumu vilivyosagwa, ndo nataka kuuliza nayo inafaa?Hata asali na kitunguu saumu pia , ukichanganya na majimoto. Lakini hakikisha asali ni halisi
[HASHTAG]#gang mo[/HASHTAG] nimechukua katka maduka yanouza dawa za kienyeji nisijue labda ni org au laah!![HASHTAG]#fordzz[/HASHTAG]
umeipataje hiyo samli?
mkuu mm nimeweza cchukua asali ya nyuki wadogo, samli, na vitungu swaumu vilivyosagwa, ndo nataka kuuliza nayo inafaa?