Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 11,557
- 33,535
Remy Ongala - Wema kum*ny*ko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Remy Ongala - Wema kum*ny*ko
Una moyo mgumu sanaMwanamke ni katili sana. sio wa kuonea huruma. Siku hizi mwanamke akianza kunielezea matatizo ya mumewe namwitikia tu,hata pole simpi.
Figo kampa mkwe..ni mahaba tuuu.. Wengi huwa tunawekeza kwa ndugu na wazazi wa mke tukidhani ndio tutapendwa zaidi.. Kama hupeleki moto wa kutosha hata utoe kichwa chako utaachwa tuuMwalimu Uziel Martinez ameteka hisia za watu baada ya kuweka video zake katika mtandao wa TikTok akilia kwa uchungu baada ya kuchangia figo kwa mama wa mpenzi wake na kuishia kusalitiwa baada ya mpenzi wake kuolewa na mwanaume mwingine baada ya mwezi mmoja tangu atoe figo.
My Take
Mwanamke sio wa kuonea huruma. Hana ndugu wa kumpa figo mpaka ujitie kimbelembele?
Hata nyie wanaumeWanawake so kitu Cha kukionea huruma hata kidogo
Hahaa sasa ukitoa kichwa si ndiyo umekufa kabisa😂 daktareeFigo kampa mkwe..ni mahaba tuuu.. Wengi huwa tunawekeza kwa ndugu na wazazi wa mke tukidhani ndio tutapendwa zaidi.. Kama hupeleki moto wa kutosha hata utoe kichwa chako utaachwa tuu
Moto wa TANESCO au?Figo kampa mkwe..ni mahaba tuuu.. Wengi huwa tunawekeza kwa ndugu na wazazi wa mke tukidhani ndio tutapendwa zaidi.. Kama hupeleki moto wa kutosha hata utoe kichwa chako utaachwa tuu
Kwa akili hizi utaoa kweli ?Mwanamke haonewi huruma ndio maana mimi na hit and run
Na akikosea mkong'oto kama kawaida
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mapenzi uchizi ujueHahaa sasa ukitoa kichwa si ndiyo umekufa kabisa[emoji23] daktaree
Wa fire[emoji23]Moto wa TANESCO au?
Kama nyama nakula na maziwa nakun kwa nini nifuge