Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Badilika, uoe nduguKama nyama nakula na maziwa nakun kwa nini nifuge
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Badilika, uoe nduguKama nyama nakula na maziwa nakun kwa nini nifuge
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Yaleyale ya yule repota wa ITVNa hapo mama kabariki kabisa mwanae aolewe na buzi jipya😂
Alikua hajui kwamba ukijipendekeza zana ukweni wanakuona falaFigo kampa mkwe..ni mahaba tuuu.. Wengi huwa tunawekeza kwa ndugu na wazazi wa mke tukidhani ndio tutapendwa zaidi.. Kama hupeleki moto wa kutosha hata utoe kichwa chako utaachwa tuu
[emoji16][emoji16][emoji16] sindio hapo Kuna mijitu mingine mijingaMwalimu Uziel Martinez ameteka hisia za watu baada ya kuweka video zake katika mtandao wa TikTok akilia kwa uchungu baada ya kuchangia figo kwa mama wa mpenzi wake na kuishia kusalitiwa baada ya mpenzi wake kuolewa na mwanaume mwingine baada ya mwezi mmoja tangu atoe figo.
My Take
Mwanamke sio wa kuonea huruma. Hana ndugu wa kumpa figo mpaka ujitie kimbelembele?
Well saidYes. Just waheshimu tu. But usiwape nafasi ya kukufanyia maamuzi hua si wazur sana kwenue hilo
IndeedMwanamke ni katili sana. sio wa kuonea huruma. Siku hizi mwanamke akianza kunielezea matatizo ya mumewe namwitikia tu,hata pole simpi.
Kuna taofauti kubwa baina ya kupenda n ujingaDaah grade kweli zinatofautiana yaani kufikia mpaka level ya kuonga figo.. kuna watu wanaweza nyie shikamoo nyingi sana kwa huyo mwamba na wala asijali kwa usaliti huo hakika aliutegemea
Na ufwalaKuna taofauti kubwa baina ya kupenda n ujinga
AlaaHii Bado ni ya moto moto kutoka jikoni .
Mtu licha ya kutoa Figo amepigwa chini Sasa wewe unasomesha eti unalamika 😁😁😁🤣
View attachment 2528490
Hata huyu ninayeishi sijawahi kumwamini ila kwasababu ya kimaisha na utelezi sina namna .Mwalimu Uziel Martinez ameteka hisia za watu baada ya kuweka video zake katika mtandao wa TikTok akilia kwa uchungu baada ya kuchangia figo kwa mama wa mpenzi wake na kuishia kusalitiwa baada ya mpenzi wake kuolewa na mwanaume mwingine baada ya mwezi mmoja tangu atoe figo.
My Take
Mwanamke sio wa kuonea huruma. Hana ndugu wa kumpa figo mpaka ujitie kimbelembele?
Kuzaa na kulea watoto ?Majukumu yao halisi. Nadhani unaya fahamu
Kuzaa na kulea watoto ?
Ku pass kwa watoto good morals.What else?
mada imehusiana na Mama wa mwanaume? Au ndo unatafuta kutukanwa acheni hizo bana... Ukisoma uzi elewa comment ya mtu inagusa wapi sio unakimbilia kumjibu mtu ili uonekane mwerevu sana.