Nalishasema hapa ujumbe kutoka kwa aliye mkuu Mungu anaratibu anguko la CCM...Ameuza bandari za watanganyika, angalau hili hata wajinga wamelielewa. nasema hata wajinga wa tanganyika hili wamelielewa
wa stendi achana na kusikiliza porojo.Alafu hao hao jamaa serikali ikinunua mzigo nje inawalipa wao
Sipati picha silaha zetu zinapitia kwao
Sasa kama Bandari imeuzwa na pesa zikaongezeka Kuna shida gani? UzaaaAmeuza bandari za watanganyika, angalau hili hata wajinga wamelielewa. nasema hata wajinga wa tanganyika hili wamelielewa
Nilikuwa Kijijini huko watu hawana hata habari,kama mnabisha liamsheni kama Mwenyekiti wenu kutoka chama kile alivyosema.Nalishasema hapa ujumbe kutoka kwa aliye mkuu Mungu anaratibu anguko la CCM...
Wana masikio hawasikii
Wana macho hawaoni
Wana akili hawafikirii
Unadhani ukiandika udini ndio utanifunga mdomo, hopeless kabisa, Samia msaliti ni shetani, na hizo dildos kazinunue uzile kabisa kama unazipenda.Kabla ya hili nilikuwa sijui kama watu wa upinde mna udini mkali kupita maelezo......nimeshangaa sana! Au hofu yenu ni kuwa dildos hazitopita tena bandarini akiwa mwarabu?!!!!
Hopefully, Mungu ataendelea kumbariki mama yetu.
Nenda kasome kwanza mtoto mdgo wwAmeuza bandari za watanganyika, angalau hili hata wajinga wamelielewa. nasema hata wajinga wa tanganyika hili wamelielewa
mmeshindwa kusisimamia bandari je nchiTunafahamu ni chuki tu zinawasumbuwa, chuki za "kwanini iwe Waislam?" "kwanini iwe Waarabu?"
Hakuna zaidi ya hicho, hakuna bandari wala gati iliyouzwa, nsijidanganye wala kudanganya wengine.
Mbona we ndo ulikuwa wa kwanza kuonyesha udini, mi nimekusihi tu uache na sina jingine. Nikunyamazishe nakulipia mimi bando ndugu?!!!!!Unadhani ukiandika udini ndio utanifunga mdomo, hopeless kabisa, Samia msaliti ni shetani, na hizo dildos kazinunue uzile kabisa kama unazipenda.
Huo udini kama unauona kwa darubini endelea kuutazama uniambie una rangi gani.Mbona we ndo ulikuwa wa kwanza kuonyesha udini, mi nimekusihi tu uache na sina jingine. Nikunyamazishe nakulipia mimi bando ndugu?!!!!!
Hakuna hata nchi moja Duniani aliyowapa DP bandari zao zote. Kwa mataifa makubwa hakuna hata nchi moja iliyowapa DP bandari mama, wamewapa bandari mojawapo, tena hakuna mahaki ilipopewa mkataba wa zaidi ya miaka 30.
Huu mkataba wa kwetu ni wa kishenzi na kijambazi hasa.
NANI ataipitia kwa kina? Kwanini iwe Wazi? Hakuna mambo hayo hii ni Tanzania
Hakuna hata nchi moja Duniani aliyowapa DP bandari zao zote. Kwa mataifa makubwa hakuna hata nchi moja iliyowapa DP bandari mama, wamewapa bandari mojawapo, tena hakuna mahaki ilipopewa mkataba wa zaidi ya miaka 30.
Huu mkataba wa kwetu ni wa kishenzi na kijambazi hasa.
Nakupata mkuu, ila mabepari ni majanja majanja. Watafaidika wao, sisi patupu, ndio hofu yetu.
JESUS IS LORD