Duniahadaa
JF-Expert Member
- Oct 16, 2017
- 336
- 677
Unazungumzia Mahakama zipi Mkuu?Ni kwamba kutakuwa na barua zinazodaiwa za chadema zinazoonyesha uteuzi wa wagombea, na wagombea halisi kukataliwa kuchukua fomu. Mfano: Chadema inampitisha John Mnyika kugombea kibamba, anaenda kwa DED kuchukua fomu, anaambiwa kuna mwanachama alikuja na barua ya uteuzi ya chama anaitwa Asha Ndalandefu. Kwa hiyo John Mnyika anakosa fursa ya kugombea.
Maoni yangu: Huyo DED aburuzwe mahakamani, adaiwe pesa ndefu ashindwe kulipa afungwe il iwe funzo la kudumu.
Kwani huyo DED ametambulishwa Viongozi wa Chadema au nyege zako za mchana. Yule Jamaa aliandika barua kweli kwa cc wanazengo, ila baada ya Meya kuomba msaha wametengeneza movie Mpya ya kumruka Mkurugenzi πππππ.Ni kwamba kutakuwa na barua zinazodaiwa za chadema zinazoonyesha uteuzi wa wagombea, na wagombea halisi kukataliwa kuchukua fomu. Mfano: Chadema inampitisha John Mnyika kugombea kibamba, anaenda kwa DED kuchukua fomu, anaambiwa kuna mwanachama alikuja na barua ya uteuzi ya chama anaitwa Asha Ndalandefu. Kwa hiyo John Mnyika anakosa fursa ya kugombea.
Maoni yangu: Huyo DED aburuzwe mahakamani, adaiwe pesa ndefu ashindwe kulipa afungwe il iwe funzo la kudumu.
Mahakama gani itamfunga? Bunge lenyewe umesikia jana mzee kasema ameliagiza lisimpe mtu posho kwani hjaifanyia kazi.Ni kwamba kutakuwa na barua zinazodaiwa za chadema zinazoonyesha uteuzi wa wagombea, na wagombea halisi kukataliwa kuchukua fomu. Mfano: Chadema inampitisha John Mnyika kugombea kibamba, anaenda kwa DED kuchukua fomu, anaambiwa kuna mwanachama alikuja na barua ya uteuzi ya chama anaitwa Asha Ndalandefu. Kwa hiyo John Mnyika anakosa fursa ya kugombea.
Maoni yangu: Huyo DED aburuzwe mahakamani, adaiwe pesa ndefu ashindwe kulipa afungwe il iwe funzo la kudumu.
Nani aliyemruka mkurugenzi? Kwani yeye mkurugenzi hawajui viongozi wa Chadema akina Mnyika, Mbowe, n.k?Kwani huyo DED ametambulishwa Viongozi wa Chadema au nyege zako za mchana. Yule Jamaa aliandika barua kweli kwa cc wanazengo, ila baada ya Meya kuomba msaha wametengeneza movie Mpya ya kumruka Mkurugenzi πππππ.
Kwa kweli Chadema wamechoka kwelikweli
Hayo ndiyo MECCO kajifungia huko anapanga mikakatiNi kwamba kutakuwa na barua zinazodaiwa za chadema zinazoonyesha uteuzi wa wagombea, na wagombea halisi kukataliwa kuchukua fomu. Mfano: Chadema inampitisha John Mnyika kugombea kibamba, anaenda kwa DED kuchukua fomu, anaambiwa kuna mwanachama alikuja na barua ya uteuzi ya chama anaitwa Asha Ndalandefu. Kwa hiyo John Mnyika anakosa fursa ya kugombea.
Maoni yangu: Huyo DED aburuzwe mahakamani, adaiwe pesa ndefu ashindwe kulipa afungwe il iwe funzo la kudumu.
Hebu fikiria unakufa leo kwa corona alafu dawa inapatikana keshoKwani huyo DED ametambulishwa Viongozi wa Chadema au nyege zako za mchana. Yule Jamaa aliandika barua kweli kwa cc wanazengo, ila baada ya Meya kuomba msaha wametengeneza movie Mpya ya kumruka Mkurugenzi πππππ.
Kwa kweli Chadema wamechoka kwelikweli
We kweli lipapai la chattle ujinga gani huuKwani huyo DED ametambulishwa Viongozi wa Chadema au nyege zako za mchana. Yule Jamaa aliandika barua kweli kwa cc wanazengo, ila baada ya Meya kuomba msaha wametengeneza movie Mpya ya kumruka Mkurugenzi πππππ.
Kwa kweli Chadema wamechoka kwelikweli