Asante JamiiForums: Hatimae watumishi wa Umma wamelipwa Mishahara yao, kelele zimefika kwa mamlaka

Asante JamiiForums: Hatimae watumishi wa Umma wamelipwa Mishahara yao, kelele zimefika kwa mamlaka

Inasikitisha, inatakiwa watumishi wapambane wawe na vyanzo vingine japo vidogo vya mapato. Kile cha kuanzia majuzi na jana ni aibu sana kwetu watumishinwa umma.
Ilimradi usiache wanafunzi kwenda kulisha kuku.
 
Watumishi gani wanaoongelea hapa jamani? Mbona mnanichanganya mshahara upi umelipwa? Mbona mimi sijaupata
 
Rasmi nauaga umma huu wa Jamiiforums kuwa nitarudi hapa walau tarehe 30 au tarehe moja mwezi wa Saba ,kwa kipindi Cha siku hizi za katikakati nitakuwa bize kutumia jasho langu nililolitafuta kwa siku hizi 30 ,hivyo dada yangu ,mdogo wangu wa kike au mwanamke yeyote uliye single na siku tajwa hapo juu unahisi utakuwa uko free tafadhali jumuika pamoja na Mimi tuturahie maisha .

Nitakuwepo Mbeya mjini kuanzia tarehe ya leo mpaka tarehe tajwa hapo juu maana kufika hizo siku bajeti ya mshahara wangu itakuwa imekwisha .

Ahsante sana ,nawapenda sana na Mungu awabariki na kuwatabaruku kwa kidogo mkipatacho basi mkafurahie maisha .

Kwaheri rafiki zangu najiweka karantini ili nione umuhimu wa jasho langu .

Thanks a lot niggas
 
Mtumishi kuishi akichungulia ATM tangu tarehe 21 hadi usiku tarehe 24 ni laana.


Ikifika tarehe 22/23 ya Kila mwezi apewe chake.

JW wao tar 20 ya kila mwezi chao Kiko mfukoni.
Nchi imewagawa watumishi sijui kwa kigezo gani.mishahara inaanza kwa jw,polisi,tamisemi then akina kajamba nani.
 
Hujui usemalo watu vyanzo wanavyo Na mshahara upo Na vyote vina matumizi yake
Yani watu wanna ujinga sana, eti kisa kuona watumishi wanadai mshahara basi anadhani hawana another source of income. Kudai haki yako iliyocheleweshwa hakukuondolei haki yako. Vyanzo tunavyo na mshahara tunadai
 
Yani watu wanna ujinga sana, eti kisa kuona watumishi wanadai mshahara basi anadhani hawana another source of income. Kudai haki yako iliyocheleweshwa hakukuondolei haki yako. Vyanzo tunavyo na mshahara tunadai
Ofcourse
 
Inasikitisha, inatakiwa watumishi wapambane wawe na vyanzo vingine japo vidogo vya mapato. Kile cha kuanzia majuzi na jana ni aibu sana kwetu watumishinwa umma.
Utaanzaje hivyo vyanzo vingine wakati mshahara ukiingia leo kesho umeisha...
 
Yani watu wanna ujinga sana, eti kisa kuona watumishi wanadai mshahara basi anadhani hawana another source of income. Kudai haki yako iliyocheleweshwa hakukuondolei haki yako. Vyanzo tunavyo na mshahara tunadai
Wajinga nchi hii hawataisha madamu wajinga wanaendelea kuwepo ndivyo na ccm itaendelea kuwepo.
Ingekuwa yeye mtu akamkopa na akashindwa kumlipa kwa wakati angekaa kimya
 
Dah kaz ipo mpaka mishahara mama anatoa kwa mafungu mbon anatuchanganya sana
Na huu ndiyo ukweli wenyewe. Kuna kundi kubwa tu la watumishi wa serikali bado hawajaingiziwa mshahara.

Na hata wale waliostahili kupandishwa madaraja mwezi huu wa sita, wapo wengi tu hawajapandishwa. Halafu kuna watu wanapata kabisa ujasiri wa kumsifia.
 
 
Back
Top Bottom