Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
ni neema iliyoje kwa kweli
nipende kuipongeza serikali kwa ujumla
nipende kuipongeza serikali kwa ujumla
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapuuzi tu hawa wengine tumeajiri ndugu zao huku wanakatia majani ya ng'ombe, ili kijana mambo yake yaende lazima mambo yangu yaende pia wanatuona watumishi tuna njaa sana kisa kudai monthly salary.Wajinga nchi hii hawataisha madamu wajinga wanaendelea kuwepo ndivyo na ccm itaendelea kuwepo.
Ingekuwa yeye mtu akamkopa na akashindwa kumlipa kwa wakati angekaa kimya
Yaan☹️Anavoishuluru jamii forum ni kama ndio imeiambia serikali ilipe mshahara utafikiri serikali ilisema haitalipa
Mi sijapata baba!ni neema iliyoje kwa kweli
nipende kuipongeza serikali kwa ujumla
HatimayeMi sijapata baba!
Tutafika tu ,bwana ni mwema.Dah kaz ipo mpaka mishahara mama anatoa kwa mafungu mbon anatuchanganya sana
Kweli mkuu,, mtu ambaye ameenda mahakamani kufungua kesi baada ya mtoto wake kuuawa Haina maana kwamba Hana watoto wengine... Huwezi ukaacha mtoto wako ameuawa eti kisa una watoto wengine...Yani watu wanna ujinga sana, eti kisa kuona watumishi wanadai mshahara basi anadhani hawana another source of income. Kudai haki yako iliyocheleweshwa hakukuondolei haki yako. Vyanzo tunavyo na mshahara tunadai
Umeiweka kitaalamu sana mkuu. Kama hajaelewa basi ana matatizo ya afya ya akili.Kweli mkuu,, mtu ambaye ameenda mahakamani kufungua kesi baada ya mtoto wake kuuawa Haina maana kwamba Hana watoto wengine... Huwezi ukaacha mtoto wako ameuawa eti kisa una watoto wengine...
Platinum membar uyoMkuu acha kuikosea heshima elimu, kile kiumbe na elimu wapi wapi
😂Rasmi nauaga umma huu wa Jamiiforums kuwa nitarudi hapa walau tarehe 30 au tarehe moja mwezi wa Saba ,kwa kipindi Cha siku hizi za katikakati nitakuwa bize kutumia jasho langu nililolitafuta kwa siku hizi 30 ,hivyo dada yangu ,mdogo wangu wa kike au mwanamke yeyote uliye single na siku tajwa hapo juu unahisi utakuwa uko free tafadhali jumuika pamoja na Mimi tuturahie maisha .
Nitakuwepo Mbeya mjini kuanzia tarehe ya leo mpaka tarehe tajwa hapo juu maana kufika hizo siku bajeti ya mshahara wangu itakuwa imekwisha .
Ahsante sana ,nawapenda sana na Mungu awabariki na kuwatabaruku kwa kidogo mkipatacho basi mkafurahie maisha .
Kwaheri rafiki zangu najiweka karantini ili nione umuhimu wa jasho langu .
Thanks a lot niggas
Ng'ombe unayemfuga ndio huyo unayempigia gitaa kwenye Profile Picture yako?😀😃😄😁Wapuuzi tu hawa wengine tumeajiri ndugu zao huku wanakatia majani ya ng'ombe, ili kijana mambo yake yaende lazima mambo yangu yaende pia wanatuona watumishi tuna njaa sana kisa kudai monthly salary.
Huyo ni mbuzi mkuuNg'ombe unayemfuga ndio huyo unayempigia gitaa kwenye Profile Picture yako?😀😃😄😁
Sasa kwa taarifa tu.. hao uliowataja ndio Kajamba nani ORIGINAL.Nchi imewagawa watumishi sijui kwa kigezo gani.mishahara inaanza kwa jw,polisi,tamisemi then akina kajamba nani.