Uchaguzi 2020 Asante kwa kuja; Fikisha salamu zetu kwa Robert Amsterdam na wenzake

tulieni dawa iwaingie vizuri, mnatumia nguvu nyingi, ubabe mwingi na pesa nyingi kubaki madarakani, ila mnajua hampendwi hahaha
 
Wamefuta thread zangu mbili. Ila wajue tu kwa waliyofanya Zanzibar usiku wa kuamkia leo ICC haiwaachi mwaka huu.

Magufuli, Diwani, Sirro na Mabeyo lazima waende ICC
hahahaha sikujua, kumbe? ila niyeye
 
tulieni dawa iwaingie vizuri, mnatumia nguvu nyingi, ubabe mwingi na pesa nyingi kubaki madarakani, ila mnajua hampendwi hahaha

Ndio hatupendwi na amsterdam na hawez fanyachochote
 
hivi unajisikiaje kuongoza wasiokupenda ? yataka moyo
 
Teh teh teh, Hawa watu hadi huyu jamaa atoke Magogoni Madonda yao ya tumbo yatakuwa yamegeuka Kansa

Mishipa inawasimama, kazi kupiga kelele, hawana logic watapata wapi arguments??
 
Mwenye kusikia na asikie
Huwezi kuachia panya furushi la katanga!
 
Huwez kuelewe vitu simple km hivo, kaa jikon umpikie mumeo na watoto achana na mitandao.
Teh teh teh hivi kumbe ni sister kweli. Aurora nakuja pm tafadhali๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
 
Huwez kuelewe vitu simple km hivo, kaa jikon umpikie mumeo na watoto achana na mitandao.
who are you to tell me what to do and what not to do, pity you, your handwriting tells a lot hahahahaha
 
Propaganda ufanywa na uncivilized and matured people
Happy sijaelewa vizuri tafadhali! But what I know Propaganda ni sehemu mhimu na ya msingi katika siasa na uongozi duniani kote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ