Uchaguzi 2020 Asante kwa kuja; Fikisha salamu zetu kwa Robert Amsterdam na wenzake

Uchaguzi 2020 Asante kwa kuja; Fikisha salamu zetu kwa Robert Amsterdam na wenzake

tulieni dawa iwaingie vizuri, mnatumia nguvu nyingi, ubabe mwingi na pesa nyingi kubaki madarakani, ila mnajua hampendwi hahaha
 
Wamefuta thread zangu mbili. Ila wajue tu kwa waliyofanya Zanzibar usiku wa kuamkia leo ICC haiwaachi mwaka huu.

Magufuli, Diwani, Sirro na Mabeyo lazima waende ICC
hahahaha sikujua, kumbe? ila niyeye
 
tulieni dawa iwaingie vizuri, mnatumia nguvu nyingi, ubabe mwingi na pesa nyingi kubaki madarakani, ila mnajua hampendwi hahaha

Ndio hatupendwi na amsterdam na hawez fanyachochote
 
hivi unajisikiaje kuongoza wasiokupenda ? yataka moyo
 
Zipo taarifa ambazo wewe mwenyewe umezithibitisha kuwa mara baada ya Uchaguzi utarudi Ubelgiji, huko ulipokuwa kwa takribani miaka mitatu na kurudi siku chache kabla ya zoezi la Uchaguzi mkuu kuanza. Ni jambo jema kuwa ulijua huwezi kutoboa na ukafanya maandalizi hayo mapema.

Sasa sisi Watanzania tunao utamaduni wetu, utamaduni adhimu sana, tunapopata mgeni basi wakati wa kurudi hupenda kumumtuma salaam ili kuwapelekea wale aliowaacha huko! Basi nasi Watanzania tunakutuma salaam hizi.
1. Mwambie Robert Tanzania ni nguli katika siasa, Mwambie hadi mda huu ina vikoloni vyake inavitawala. Mpe ukweli kuwa Rais wa Tanzania hupatikana Tanzania, pale Dodoma na si kwenye hoteli za nyota tano huko Brussels, New York, London au Paris. Mkumbukeshe kuwa Watanzania wana utamaduni tofauti kabisa na ule wa zile nchi zilivyotawaliwa na Ubelggiji na Ufaransa ambazo Marais wake bado wanaamriwa Brussels na Paris.

2. Mkumbushe Watanzania wanaamini bado katika Ujamaa, umoja na kujitegemea. Waambie wanajua kuwa Mabeberu hawajawahi kuwa watu wema kwao na wanacheza nao kwa tahadhari. Waambie Watanzania linapokuja swala la maslahi ta Nchi huwa kitu kimoja, huachagua Maslahi ya Nchi bila kujali gharama zake, Mwambie uzalendo bado umetamalaki!

3. Mwambie na hii kwa Kumnong'oneza, kuwa vyama vya upinzani kikiwemo hicho chako ni vimatawi vya Chama na shughuli zake zinaratibiwa na kitengo, ndio maana ni vya msimu vinapanda na kushuka. Mwambie hata Chairman wako na Mtendaji mkuu wako ni waajiriwa watiifu. Mwambie hata huyu Sheikh na huyu Askofu nao ni waajiiriwa watiifu ndio maana wamewekwa karibu yako kipindi hiki, hawa ndio watakaomaliza mchezo. Mwambie mfumo wa siasa na ulinzi wa Tanzania ni very complex. Mkumbushe sarakasi za Mbobezi, Mkumbushe pia kuhusu yule kipenyo aliyewahi kupenya hadi ngazi ya Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa

4. Waambie kuwa kwa mjibu wa utaratibu wa Uchaguzi Tanzania hakunaga Mpinzani wa kudumu, ila wapo wa Msimu, hivyo na wewe ulikuwa wa Msimu huu tu, Msimu ujao atatengenezwa Mpinzani mwingine, waambie wakutafutie kazi nyingine kabisa. Wakumbushe kuwa hata wewe ulitengenezwa ili kuhahakikisha Lowassa anasahaulika vichwani mwa Watanzania na kura zake millioni 6, kazi ambayo umeifanya kwa uaminifu na kwa uadilifu, Lowassa Sasa yupo CCM baada ya kupuuzwa, hiyo yote ilikuwa kazi yako. Hivyo waambie kuwa Mara baada ya Uchaguzi ataandaliwa Mpinzani mwingine ili kuhakikisha wewe unafifia.
Tafadhali Fikisha salamu zetu na Asante kwa kuja.
Mwenye kusikia na asikie
Huwezi kuachia panya furushi la katanga!
 
Huwez kuelewe vitu simple km hivo, kaa jikon umpikie mumeo na watoto achana na mitandao.
Teh teh teh hivi kumbe ni sister kweli. Aurora nakuja pm tafadhali🏃🏃🏃🏃
 
Propaganda ufanywa na uncivilized and matured people
Happy sijaelewa vizuri tafadhali! But what I know Propaganda ni sehemu mhimu na ya msingi katika siasa na uongozi duniani kote!
 
Back
Top Bottom