Asante Makonda kwa kutugusa sisi walalahoi wa chini kabisa

Asante Makonda kwa kutugusa sisi walalahoi wa chini kabisa

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Sisi wanyonge wa chini kabisa ndiyo wapiga kura wakubwa, wenye uwezo wao muda wa kwenda kupanga mafoleni wataupata wapi? Ili wapige kura!

Sisi huku chini ndiyo tunaodharauliwa, kuonewa, kunyanyaswa, kudhulumiwa na mengi tu mabaya ya hovyo hutufika sisi ikiwapo kunyanganywa haki zetu wakati mwingine wazi wazi bila kufanya lolote huku wenye fedha wakijinasibu kutokufanywa lolote, vilio mmeviona vilio mmevisikia, mwacheni makonda aziguse zile sehemu ambazo viongozi wengine wameshindwa kuzifikia.

ASANTE BABA MAKONDA.
 
Acha kujiita majina ya ajabu mnaitwa wanyonge huku wao wakiishi maisha ya Anasa

Usikubali huo ujinga wa MTU kukuita masikini Mara mlalahoi n.k
 
Asante Zezeta kwa kutugusa Mazezeta.
Hamuzioni dhulma zilivyotamalaki katika maeneo yenu? / wengi humu hawakuwahi kuhudumu kwa Jamii hata katika ngazi ndogo kabisa, wakaona jinsi vilio vilivyo vingi.
 
Ikiwa huyo jamaa ni baba yako basi utakuwa ni mrundi wewe.
Mna macho hamuoni?, hamuoni jinsi watanzania wenye shida mbalimbali wanavyotaka kutoa shida zao, jinsi walivyo wengi, kiasi mwenezi kushindwa kuzitatua?,
N. B, ubinafsi umetuzidi kiasi tunawaona wenzetu wengine kama wanyama, ilani yetu inatamka binadamu wote ni sana na wana haki sawa.
 
Back
Top Bottom