Asante mama mkwe kwa kunizalia microscope, hata jambo liwe dogo vipi linakuzwa!

Wanawake bana, yani nilimkosea kakosa kadogo ila sikudhani lingekuwa kuuuuubwa kivile alafu hapo hapo anaibua na mambo mengine ya nyuma huko, kumbe sijui huwa wanayahifadhi matukio.

Mtu unamuuliza yametokea wapi tena anakujibu sijui.
anakufanyia hayo akiwa kwako au wewe ndo upo kwake
tengua mguu mmoja kwanza
 
Ungekua single tungekutana warehouse watoto wamekuja batch mpya mali swaafiπŸ˜πŸ˜πŸ‘πŸ½


Ila upo na unapambana na amonium huko

Kataa ndoa😁
 
Na bado.

Ndiyo kwanza ukurasa wa kwanza.

Ukitaka uwaweze wanawake, don't take them seriously. Atakachoongea akiwa na hasira wewe puuzia.

Atalalama kisha atanyamaza. Maisha yanasonga.
Naishi humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…