Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Hata sio joblessMwanamke akiwa Jobless lazima awe hivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata sio joblessMwanamke akiwa Jobless lazima awe hivi.
😹😹😹 Basi kumbe na wao km sisi wakinga, muhimu tutafute pesa mapenzi tuwaachie wabobezi watu wa Tanga.!!😂😂😂
shida makungwi wa kaskazini hawatakufundisha mapenzi, kutafuta Pesa wamuachie nani..??
Comment yako imenibariki nilijua wanaume wenye vifua na wenye tabia za kiumeni waliisha, kumbe bado mpo.!!Mzima wa afya ..
Wifi yako mrembo yuko salama,Tuweke shida zetu huku mtucheke?...tunagombana vyumbani na kumaliza huku huku 😅
Wifi hivi kaka yuko wapi siku hizi??😁😁😆😆😂😂
Kaka nani huyo wifi angu?Wifi hivi kaka yuko wapi siku hizi??
Nilitamani nione comment yake sana 😹😹
Ushamjua usizuge hapa 😹😹Kaka nani huyo wifi angu?
😂😂😂😂😂😂
Kaka Vincenzo Jr alisema mabakuli kaenda kuuza dagaa😂😂😂😂😂😂Ushamjua usizuge hapa 😹😹
Unampoteza Elon musk wa baadae utajutia.!!Kaka Vincenzo Jr alisema mabakuli kaenda kuuza dagaa😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂Unampoteza Elon musk wa baadae utajutia.!!
Maba ukitoa mambo yake mengine ila ni mtu mwenye version mi namkubali sana.!!
Kapotea sana itakuwa anazichanga
Amen Ameeeeeen!Have a good oneComment yako imenibariki nilijua wanaume wenye vifua na wenye tabia za kiumeni waliisha, kumbe bado mpo.!!
Vizuri sana tunza siri za ndani mwako usije kuonekana wa hovyo.!
Mpe hi wifi, mwambie kwa Patel hakujatoka phaller..!
Wow!Brave
Namkubali ubongo wake uko vizuri kuna point anazimwagaga humu yuko vizuri.!!😂😂😂😂😂😂😂😂
We mkubali tu
Hio microscope maleria inapima ?kama ujaitumia sana niuzieWanawake bana, yani nilimkosea kakosa kadogo ila sikudhani lingekuwa kuuuuubwa kivile alafu hapo hapo anaibua na mambo mengine ya nyuma huko, kumbe sijui huwa wanayahifadhi matukio.
Mtu unamuuliza yametokea wapi tena anakujibu sijui.
😂😂😂😂Yule hakuwai kua bwana angu ni mdogo angu kabisa.Namkubali ubongo wake uko vizuri kuna point anazimwagaga humu yuko vizuri.!!
Kuna nyuzi zake nzuri sana ukiacha zile za ujinga ujinga.!!
Wifi mi nakushauri tulia kwa maba ana kitu.
😹😹😹 Ila umekana kwa nguvu.!!😂😂😂😂Yule hakuwai kua bwana angu ni mdogo angu kabisa.
Hata mtu wangu alivoona haya alishangaa sana.
Cz kuna siku alikua akipiga simu nilikua nae na alikua akisikia dogo akiwa anawadis watu.
We mkubali tu kwa kweli me sitaki habari zake kwa kweli angalau ningekua namjua anafananiaje.
Ningeweza kukwambia kama ana akiri au laah.
Najaribu kuueleza umma 😂😂😂😹😹😹 Ila umekana kwa nguvu.!!
Nwei niliipenda kapu yenu.!!