Asante mama mkwe kwa kunizalia microscope, hata jambo liwe dogo vipi linakuzwa!

Asante mama mkwe kwa kunizalia microscope, hata jambo liwe dogo vipi linakuzwa!

Wanawake bana, yani nilimkosea kakosa kadogo ila sikudhani lingekuwa kuuuuubwa kivile alafu hapo hapo anaibua na mambo mengine ya nyuma huko, kumbe sijui huwa wanayahifadhi matukio.

Mtu unamuuliza yametokea wapi tena anakujibu sijui.
Usiombe yatokee hayo halafu huna hela utajuta humo ndani hakukaliki kabisa
 
FB_IMG_1720015524283.jpg
 
Wanawake bana, yani nilimkosea kakosa kadogo ila sikudhani lingekuwa kuuuuubwa kivile alafu hapo hapo anaibua na mambo mengine ya nyuma huko, kumbe sijui huwa wanayahifadhi matukio.

Mtu unamuuliza yametokea wapi tena anakujibu sijui.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pamoja na hayo yt Bado yupo hapo ndani na unaendelea kumgegeda au cyo....alafu unakuja kutuchoraa mkuuu
 
Ukijilazimisha ni matumizi mabaya ya busara na dhamiri ya ubinadamu,labda uwe jini ndio ujilazimishe kuamini.
Na wewe usianze story zako za majini🤣🤣
Kwenye ule uzi ndio niligundus kuna watu wako deep kila engo. Ni ma specialist kabisa😁
 
Na wewe usianze story zako za majini🤣🤣
Kwenye ule uzi ndio niligundus kuna watu wako deep kila engo. Ni ma specialist kabisa😁
Oya kausha Buddah!!😂😂😂⚔️⚔️⚔️
Forbidden kuuleta huo mjadala.
Mie nimetolea mfano tu.
 
Back
Top Bottom