Asante mama mkwe kwa kunizalia microscope, hata jambo liwe dogo vipi linakuzwa!

Asante mama mkwe kwa kunizalia microscope, hata jambo liwe dogo vipi linakuzwa!

Nyege + maokoto = hasira na kelele

Uko wapi 😊
20240517_133213.jpg
 
Ndio hivyo. Mwanzo ilikuwa tukitibuana naumia siku nzima hata kazi haziendi vizuri. Baadae nikaona kitu kidogo cha kawaida,anakibadirisha kinakuwa kikubwa na anaanzisha mpaka ya zamani. Nikaona huu Ujinga. Akinuna namuachia anune mwenyewe. Mimi naendelea na 50 zangu fresh. Hiyo imenisaidia sana
Yes
Sisi tinapenda attention
Mungu atusaidie sn
 
Back
Top Bottom