Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,084
- 15,998
Dogo upo??? Ka Microscope,Tiny Thing Finder ....🤣🤣🤣 mnanionea mimi hata kuongea naona uvivu, naishia kusemaga haya, sawa
🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo upo??? Ka Microscope,Tiny Thing Finder ....🤣🤣🤣 mnanionea mimi hata kuongea naona uvivu, naishia kusemaga haya, sawa
Kwani pombe ni dhambi kaka? 😅Astaghafirullah 😂😂😂😂😂.
Kaka sie Taliban banaa,Taliban na pombe wapi na wapi!?
Umeandika ila hata mikono ilikuwa inakigugumizi🤣😹😹😹 si ndio hapo shangaa na wewe.!!
Sisi wavaa kanzu njiwa ni haramu kwetu.⚔️⚔️⚔️Kwani pombe ni dhambi kaka? 😅
Kiasi chake Mkuu 😅Babu inaonekana yuko vizuri pande hiyo maana toka mwaka 1940's bado yuko na bibi yule yule, kumbe siri ni kumkaza sana. 🤣 Grahams
Nimekumiss sana😂🤣🤣🤣Napita tuu
Punguza ukorofi Mjukuu 😜🤣🤣🙄Aiseee kumbe
Wewe huko kwako kupo shwari au unavumilia tu?Aisee, yamekuwa hayo bro?
Nyege + maokoto = hasira na kelele
Uko wapi 😊
😂😂😂😂😂😂🙌
Wifi yangu Lamomy naomba uje kusema huyu siyo wewe tafadhali sana...
nilipasuliwa simu mwaka jana sijarudi huko mpaka leo kakaWewe huko kwako kupo shwari au unavumilia tu?
Nipo ndugu yangu, slowly recovering 🙏Nimekumiss sana😂
Hivi mulasil yupo?
Ndio hivyo. Mwanzo ilikuwa tukitibuana naumia siku nzima hata kazi haziendi vizuri. Baadae nikaona kitu kidogo cha kawaida,anakibadirisha kinakuwa kikubwa na anaanzisha mpaka ya zamani. Nikaona huu Ujinga. Akinuna namuachia anune mwenyewe. Mimi naendelea na 50 zangu fresh. Hiyo imenisaidia sanaMakubwa
YesNdio hivyo. Mwanzo ilikuwa tukitibuana naumia siku nzima hata kazi haziendi vizuri. Baadae nikaona kitu kidogo cha kawaida,anakibadirisha kinakuwa kikubwa na anaanzisha mpaka ya zamani. Nikaona huu Ujinga. Akinuna namuachia anune mwenyewe. Mimi naendelea na 50 zangu fresh. Hiyo imenisaidia sana
Usinitajie tena habari za pombe unanitia najisi🙌🙌🙌🙌🙌Nisamehe usije kunisemea kwa kaka bure.
Mimi ni mpole elewa hivyo, sipendi kuongea na ni mvivu kusema sema.!!Umeandika ila hata mikono ilikuwa inakigugumizi🤣
Aiseee leo umehamaki hivi🙄🙄🙄🙄🙄!?Usinitajie tena habari za pombe unanitia najisi
Alooooo!Mimi ni mpole elewa hivyo, sipendi kuongea na ni mvivu kusema sema.!!