Achana nao walee ni michichaWazee wa kataa ndoa washachukua point 3 zao hapa[emoji38][emoji38]
😂😂😂😂😂😂
kidogo nikutafutie makungwi wa kaskazini wakufunde tchaaah'...
Yaani ukisahau hilo eneo, inakula kwakoBabu kumbe hii ndio siri imekufanya udumu na bibi😅
Atakuwa hana spana ya kumkazia. 😁Jifunze kumkaza vizuri...
AhsanteNakukubali sana mama mtumishi
Nyege + maokoto = hasira na keleleJitahidi kutokumkwaza mara kwa mara
Pia usisahau kumkaza Mkuu,
Wakati mwingine huwa ni nyege tu zinawasumbua
Unakataa nini wewe!?😹😹😹 Hapana sio mimi
Mimi ni mama mtumishi na kelele wapi na wapi??
Ndio hivyooWanawake bana, yani nilimkosea kakosa kadogo ila sikudhani lingekuwa kuuuuubwa kivile alafu hapo hapo anaibua na mambo mengine ya nyuma huko, kumbe sijui huwa wanayahifadhi matukio.
Mtu unamuuliza yametokea wapi tena anakujibu sijui.
Inatakiwa ajue mwanamke akizidisha dharau lazima kuna sehemu amekuweza.Yaani ukisahau hilo eneo, inakula kwako
Unashangaa mtoto wa watu jambo kidogo ataongea Kutwa nzima, kumbe hujamkaza miezi 3
Na ukimkaza ni kimoja cha dakika 1 🙌
🤣🤣🤣Napita tuuMimi alinizalia sabufa, kelele kila siku hakuna hata kusikilizana kila kitu ni kelele na kulalamika
Unatufokea mama mtumishi 😅Ndio hivyoo
Hakuna namna mpendwa🤣Unatufokea mama mtumishi 😅
Umemaliza🙏Na bado.
Ndiyo kwanza ukurasa wa kwanza.
Ukitaka uwaweze wanawake, don't take them seriously. Atakachoongea akiwa na hasira wewe puuzia.
Atalalama kisha atanyamaza. Maisha yanasonga.
Mhhh😁😁😁Ahsante
😅😅 Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana.Hakuna namna mpendwa🤣
Japo tunajua hamoendi kelele
Ila na sie ndo njia yetu ya kuondoka sumu
Mkuu we tembo kelele za chura zisikuzuie ndovu kunywa mmaa.Wanawake bana, yani nilimkosea kakosa kadogo ila sikudhani lingekuwa kuuuuubwa kivile alafu hapo hapo anaibua na mambo mengine ya nyuma huko, kumbe sijui huwa wanayahifadhi matukio.
Mtu unamuuliza yametokea wapi tena anakujibu sijui.