Asante mama mkwe kwa kunizalia microscope, hata jambo liwe dogo vipi linakuzwa!

Yaani ukisahau hilo eneo, inakula kwako

Unashangaa mtoto wa watu jambo kidogo ataongea Kutwa nzima, kumbe hujamkaza miezi 3

Na ukimkaza ni kimoja cha dakika 1 🙌
Inatakiwa ajue mwanamke akizidisha dharau lazima kuna sehemu amekuweza.
Mwanamke akipata haki yake akaridhika hata umuudhi vipi msamaha unatoka kabla ya kuombwa.
 
Wanawake bana, yani nilimkosea kakosa kadogo ila sikudhani lingekuwa kuuuuubwa kivile alafu hapo hapo anaibua na mambo mengine ya nyuma huko, kumbe sijui huwa wanayahifadhi matukio.

Mtu unamuuliza yametokea wapi tena anakujibu sijui.
Mkuu we tembo kelele za chura zisikuzuie ndovu kunywa mmaa.
Ni kawaida ya takriban wanawake wote kukuza mambo ama kufanya ugomvi kuwa mkubwa.
Kuna tabia mbili common kwa jinsia KE.
-Kukuza mambo tena hata yasiyo na msingi.
-Kelele hususan akigundua umemkosea hata upunje ama mkiwa mnagombana.Tena akiwa na ushahidi baba umeisha.😂😂😂😂😂Anaweza kutafuta justification hata ya mizimu ya babu wa babu yake.
We unachotakiwa kufanya nyamaza umuache abishane mwenyewe we tulia tulii kwa utuo,tena ikiwezekana we tabasamu tu ama cheka.
Ukisema mjibizane umeyatimbaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…