Francis fares Maro
JF-Expert Member
- Jun 20, 2021
- 1,227
- 1,339
Umesikia jaji anasemaje kuhusu case hii kupelekwa mbio/haraka?!!...Unajua chama kina wanasheria/mawakili kila wilaya na mkoa?!!..Au unachofikiria wewe ndio hicho hicho!!!..Sio suala dogo.
Moja ya chanzo ya kupasuka kwa chama ukiacha Magufuli crack down ni hili la malalamiko ya rank and file class of the party of being grossly neglected.
Makada wa chama wamejaa kwenye majela across the country hawana msaada, Mbowe ana mawakili 20, anaeongea mahakamanin mmoja!
Kwa nini msiwaambie hao mawakili wengine nendeni Mwandiga Kigoma huko tuna ma kesi pia. Why not ?
Wamekamatwa mwaka Jana mwezi 8, serikali yako ndio yakulaumiwa kwanini muda wote huo hawakuwapeleka mahakamaniKaribu miwili sasa maana hata maji anawanyima na anadai ni walinzi wake- JINGA KABISA
Magereza ndio wanawapa vyakula mahabusu kama walitaka kupewa wakataa wewe unakimbilia JFKaribu miwili sasa maana hata maji anawanyima na anadai ni walinzi wake- JINGA KABISA
Wacha uongo, haongei mmoja mahakamani, huwa wanapokezana kwenye cross examination kuwauliza maswali upande wa mashtaka.Sio suala dogo.
Moja ya chanzo ya kupasuka kwa chama ukiacha Magufuli crack down ni hili la malalamiko ya rank and file class of the party of being grossly neglected.
Makada wa chama wamejaa kwenye majela across the country hawana msaada, Mbowe ana mawakili 20, anaeongea mahakamanin mmoja!
Kwa nini msiwaambie hao mawakili wengine nendeni Mwandiga Kigoma huko tuna ma kesi pia. Why not ?
Mods trash this rubbish Asap.Kibatala: Mh. Jaji ni hayo tu, sina swali lingine
Jaji: Ahsante, kila siku naona mtuhumiwa mmoja tu ndiyo anakunywa maji, mmewapa wengine? wapeni Maji wanywe,Askari Magereza Myakague ni haya tunayokunywa wote
Jaji: Mawakili wa Serikali kuna lolote kwa ajili ya Re: examination?
muugwana.
Kumbe ni kweli mtu ukiwa CCM Kichwa kunajaa makamasi tuView attachment 1946156
Kumbe ni kweli mtu ukiwa CCM Kichwa kunajaa makamasi tuView attachment 1946156
kama hujui nenda kalale usifuatilie wanaumeMiaka mingapi?...
Kuna tofauti kubwa ya kiongozi na raia wa kawaida wakiwa kwenye kesi, mahabusu au magerezani. Look watu walio na uwezo wakiwa kwenye kesi.. je wanapata the same treatment kama wale wasio nao?Sio suala dogo.
Moja ya chanzo ya kupasuka kwa chama ukiacha Magufuli crack down ni hili la malalamiko ya rank and file class of the party of being grossly neglected.
Makada wa chama wamejaa kwenye majela across the country hawana msaada, Mbowe ana mawakili 20, anaeongea mahakamanin mmoja!
Kwa nini msiwaambie hao mawakili wengine nendeni Mwandiga Kigoma huko tuna ma kesi pia. Why not ?
Haijalishiwewe maji ni uhai
hampendi kuambiwa ukweli wapuuzi nyie wacheni jaji awasute mnaupendeleo na haohao ndiyo wameanika maovu yote ya mbowe lazima afungwe tu gaidi mkubwa huyo
unafkiri hamna sababu?Sababu hiyo ni ipi? Ya kuwatumia kama daraja?
wapi wametumika kama daraja ndugu? mfano, unafahamu kuwa ukimjua mwizi wa fedha bila kutoa taarifa ikibainika ni kosa kisheria?Sababu hiyo ni ipi? Ya kuwatumia kama daraja?
Kwani mwenye jukumu la kumpa maji mtuhumiwa huwa ni nani?Chadema wanakamilisha ule msemo unaosema "kila mchuma janga hula na wa kwao" Hao wanaompa maji Mbowe wengi ni wanafamilia wake, sasa hao wenzangu na mimi waliorubuniwa na zile laki 6 jasho litawatoka. Ndio maana huku mtaani anaezungumziwa ni yeye tu sio wao.
Mungu hajawai kuumba mahabusu kaumba watu na watu ni utu. Haiwezekani mjazane mahakamani na mnashindwa kumpa binadamu mwenzenu maji halafu mnanuna mafulana ya KATIBA MPYA. Maji kwani ni shs ngapi mkuu? ni shs ngapi?Ni jukumu la nani kuhudumia mahabusu?