Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Ka upinzani mumezingua hyo issue bana, watanzania hatuna huo uchoyo wa kunyima wengine maji, jaji alikuwa sahihiHuo utamaduni unaenda way back. Na mbaya unaanza kwenye jamii. Unataka wabadilike? Hii kitu lazima ianzie kwenye jamii.. then serikal yenyewe. Otherwise watu wataona kawaida tu
Umeonesha uwezo wako halisi hapa.Kibatala: Mh. Jaji ni hayo tu, sina swali lingine.
Jaji: Ahsante, kila siku naona mtuhumiwa mmoja tu ndiyo anakunywa maji, mmewapa wengine? Wapeni Maji wanywe, Askari Magereza Myakague ni haya tunayokunywa wote.
Jaji: Mawakili wa Serikali kuna lolote kwa ajili ya Re: examination?
Umeongea ukweli mtupu ndugu yangu.na unaweza kukuta mbowe akatoka na wao wakazama ndani milele na hakuna mtu atahangaika nao jiulize kabla ya kukamatwa mbowe nani alikuwa anajuwa kuna walinzi wa mbowe wako ndani?
Lakini atawaduwaza Sana Kwenye Verdict..Mtasema Huyu ni yeye kweli?? Maana wapo watu anakumaliza huku anacheka na wewe.Huyu jaji ni muugwana kwa kweli.
Hiyo njama imeshagundulika. Proceedings zinaombwa kila baada ya kusikilizwa kesi.Lakini atawaduwaza Sana Kwenye Verdict..Mtasema Huyu ni yeye kweli?? Maana wapo watu anakumaliza huku anacheka na wewe.
Nenda polisi ukakiri kwamba umebaka !!Hivi kwa nini Kibatala hamuagizi DPP afute kesi? Lazima ana faidika binafsi kesi inavyo chelewa kukamilishwa. Kwa nini anamtetea mtejq wake badala ya kumshauri akiri kosa baada ya ushahidi mzito uliotolewa mpaka sasa?
Amandla...
Umenijibu kama kwamba mimi ni serikali.Na ww huoni kua serikali ijichunguze kwa kuweka watu wa chadema ndani km kuna uonevu watolewe maana ni kujaza magereza bila maana
Kweli we ndio mjinga sasa kwani mbowe anapewa na askari magerezaWee acha ujinga! Jukumu la kuwapa maji mahabusu ni la askari magereza
Ahahahahahahahahah!wanasema wanajitolea hahahahahh