Ma mdenyi nini?
Kwanza HONGERA Sana mkuu. Na mtakia mama afya njema kabisa.watoto wazuri kweli .
msaga sumu hongera ila una chuki ya kufa MTU mpaka ukaona umtaje lowasa huku? na still unataka mwanao jina lake lianze na L????? seriously?? y'r luckyyyt tu hata zikianza na L sio mbaya
Mh, sasa nikuiteje maana moja hapo ni langu.dash!majina ya wanangu hayo mawili serious
mama watoto!Mh, sasa nikuiteje maana moja hapo ni langu.