Asante mke wangu kuniletea mapacha, wadau nisaidieni kuwapa majina (yawe ya members wa JF)

Asante mke wangu kuniletea mapacha, wadau nisaidieni kuwapa majina (yawe ya members wa JF)

Mi sikushauri kutafta jina la watoto wako mitandaoni,badala yake kaa chini sali na kuomba kulingana na misingi ya dini yako Hakika Mungu atawaongoza ww na mkeo.

Kuna uhusiano wa karbu sana kati ya JINA NA MAISHA YA MTU.

HIVYO RE-THINK OF THIS
 
Mi sikushauri kutafta jina la watoto wako mitandaoni,badala yake kaa chini sali na kuomba kulingana na misingi ya dini yako Hakika Mungu atawaongoza ww na mkeo.

Kuna uhusiano wa karbu sana kati ya JINA NA MAISHA YA MTU.

HIVYO RE-THINK OF THIS
Take it easy. Naamini ni utani na kucheka. Don't be too serious amigo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
NIKO SERIOUS,TENA SANA.

Hatimaye yamekuwa baada ya miezi 9 na siku kama 3 hivi,wife kaniletea mapacha wawilim, wakike na wakiume, wenye afya nzuri.

Mara ya kwanza nilifikiria kuwapa majina ya vyama viwili vikubwa vya siasa nchini lkn nilipofikiria suala la hivi vyama viwili kukosa msimamo kwenye uchaguzi uliopita kuhusu Lowassa nimeamua kuachana na huo mpango kabisa (nataka wanangu wawe na msimamo thabiti)

Kutokana na mapenzi yangu ya dhati kwa JF nimeamua kutafuta ID mbili za kufa mtu kutoka humu ndani ili niwape hawa wanangu,

Mdau majina gani hasa yatawafaa hawa mapacha wangu,maoni yenu ni muhimu sana wadau

NB:Tafadhali jina hilo lisiwe mshana jr

4de04b655cc1447b60118e5c4222ae50.jpg


Liza na Lizaboni, phuu, Mungu apishe mbali nuksi hiyo!
 
NIKO SERIOUS,TENA SANA.

Hatimaye yamekuwa baada ya miezi 9 na siku kama 3 hivi,wife kaniletea mapacha wawilim, wakike na wakiume, wenye afya nzuri.

Mara ya kwanza nilifikiria kuwapa majina ya vyama viwili vikubwa vya siasa nchini lkn nilipofikiria suala la hivi vyama viwili kukosa msimamo kwenye uchaguzi uliopita kuhusu Lowassa nimeamua kuachana na huo mpango kabisa (nataka wanangu wawe na msimamo thabiti)

Kutokana na mapenzi yangu ya dhati kwa JF nimeamua kutafuta ID mbili za kufa mtu kutoka humu ndani ili niwape hawa wanangu,

Mdau majina gani hasa yatawafaa hawa mapacha wangu,maoni yenu ni muhimu sana wadau

NB:Tafadhali jina hilo lisiwe mshana jr

4de04b655cc1447b60118e5c4222ae50.jpg
Lizanon na faiza foxy
 
NIKO SERIOUS,TENA SANA.

Hatimaye yamekuwa baada ya miezi 9 na siku kama 3 hivi,wife kaniletea mapacha wawilim, wakike na wakiume, wenye afya nzuri.

Mara ya kwanza nilifikiria kuwapa majina ya vyama viwili vikubwa vya siasa nchini lkn nilipofikiria suala la hivi vyama viwili kukosa msimamo kwenye uchaguzi uliopita kuhusu Lowassa nimeamua kuachana na huo mpango kabisa (nataka wanangu wawe na msimamo thabiti)

Kutokana na mapenzi yangu ya dhati kwa JF nimeamua kutafuta ID mbili za kufa mtu kutoka humu ndani ili niwape hawa wanangu,

Mdau majina gani hasa yatawafaa hawa mapacha wangu,maoni yenu ni muhimu sana wadau

NB:Tafadhali jina hilo lisiwe mshana jr

4de04b655cc1447b60118e5c4222ae50.jpg
Dah, nakuonea bonge la wivu, hongera!!
 
Mkuu MSAGA SUMU hongera sana, wa kike muite Careen na wa kiume muite Cleophas au waite Cleopatra na Cleophas.

Hujasema majina ya kikristo au kiislamu so unisamehe kama nitakuwa nimekumislead
 
Back
Top Bottom