wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
- Thread starter
- #61
Nyie si mnafurahi mnavyonyenyekewa na wanaume na kutunzwa sasa mm nisingekubali
Kabisa mkuu yaani hata sisi wanawake tunashukuru kuumbwa wanawake maana tunaona kama kuwa wanaume ni kazi kwa kifupi ni kwamba kila jinsia ina masahibu yake