Muhaya tangu lini akawa mwalimu wa kiswahili bwana?hiyo umeifumania tu,wakora waitu ππ"Mahali" ndo Nini? Hiyo inaandikwa mahari athari za lugha Mama
It's a Place π₯π₯π₯π₯"Mahali" ni kitu gani!!??
πππMuhaya tangu lini akawa mwalimu wa kiswahili bwana?hiyo umeifumania tu,wakora waitu ππ
π€£π€£πππ
Hilo ni jaribu au ni Jaribio?
Namshukuru kwa Hilo mkuu maana siunajua ubaya hausahaulikiUlifanya busara sana mwamba. Jamaa nae alifanya busara maana angekua mwingine angeanza kujitambulisha kwanza mimi namjua fulani ili ajenge trust.
Endelea ivo ivo mwamba, kazi ni kipimo cha uhaminifu.
Asante japo wengi wameehindwa kuelewa nilichokiandikaHongera kwa busara uloiyonyesha maisha ndivyo yalivyo
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app