Mwanza tunakula vitu natural kama ugali wa dona.Hii picha inasadifu vipi bandiko lako?
Du, kweli bado tuko nyuma sana. Hapo mtu akila huu msosi anaona maisha kayapatia kweli kweli!Mwanza tunakula vitu natural kama ugali wa dona.
Dona nzuri wewe.Du, kweli bado tuko nyuma sana. Hapo mtu akila huu msosi anaona maisha kayapatia kweli kweli!
Sikatai. Mkataa asili ni mtumwa. Nalipenda sana. Tena sana. NB: sikuwa na nia ya kudharau chakula ila tu nilikuwa nalinganisha dunia yetu na dunia ya walioendelea. Nimesema hivyo kwa sababu majuu kuku ni chakula cha kimaskini sana. Vinginevyo nimedondosha mate kwani nime-mis sana dona.Dona nzuri wewe.
Dona la sumu kuvu na viatilifu, broiler na chainizi kwa pembeni imetoka kando kando ya mto mirongo!!siku moja naingia jiji la mwanza kikazi nilibaki kushangaa kwa niliyokuwa naona.
mwanza kuna kila aina ya wanawake warembo mikoa yote.
mwanza kuna vyuo vingi na ofisi nyingi kuanzia serekali na binafsi.
wanawake wazuri na kila aina iliyopo toka mikoa mbalimbali mpaka mataifa jirani kote.
jamani mwanza kama umekuja kuleta uwanaume wako utajikuta umeoa au kuondoka na magonjwa au mtoto.
asante mwanza nikirudi nakuja kuweka makazi kuwa sehemu ya makazi kikazi !
View attachment 1909633
chakula cha wanaume
namis sana ugali wa muhogo na chukuchuku ya dagaa wabichi freshi kabisaKaribu sana Rock city, ukarimu ndio nyumbani kwao....
Dona zuri kama mahindi umelima mwenyewe mkuuDona nzuri wewe.
Ila nakuomba usiue mtoto wa watu [emoji23][emoji23]siku moja naingia jiji la mwanza kikazi nilibaki kushangaa kwa niliyokuwa naona.
mwanza kuna kila aina ya wanawake warembo mikoa yote.
mwanza kuna vyuo vingi na ofisi nyingi kuanzia serekali na binafsi.
wanawake wazuri na kila aina iliyopo toka mikoa mbalimbali mpaka mataifa jirani kote.
jamani mwanza kama umekuja kuleta uwanaume wako utajikuta umeoa au kuondoka na magonjwa au mtoto.
asante mwanza nikirudi nakuja kuweka makazi kuwa sehemu ya makazi kikazi !
View attachment 1909633
chakula cha wanaume
Ni kuku sawa, kuku wa kimasikini huko mbele ni (Broilers). Sawa na kwetu pia broiler (6,000-8,000). Wakienyeji (10,000-25,000)Sikatai. Mkataa asili ni mtumwa. Nalipenda sana. Tena sana. NB: sikuwa na nia ya kudharau chakula ila tu nilikuwa nalinganisha dunia yetu na dunia ya walioendelea. Nimesema hivyo kwa sababu majuu kuku ni chakula cha kimaskini sana. Vinginevyo nimedondosha mate kwani nime-mis sana dona.
Huku tunaita ugali wa udaga....πnamis sana ugali wa muhogo na chukuchuku ya dagaa wabichi freshi kabisa
Daah Ila mkuu wewe looohππππHuku tunaita ugali wa udaga....π
Vipi?Daah Ila mkuu wewe looohππππ
Nimecheka kinoma Sana mkuu nikiwaza udaga huo na ulivyotamka nikakumbuka lafudhi ya kisukuma πππππSina mbavu mieVipi?
Huo udaga unautaja kwa kukandamiza ππ....Nimecheka kinoma Sana mkuu nikiwaza udaga huo na ulivyotamka nikakumbuka lafudhi ya kisukuma πππππSina mbavu mie