Asante Mwanza, nikirudi nakuja kuweka makazi

Asante Mwanza, nikirudi nakuja kuweka makazi

Huo udaga unautaja kwa kukandamiza 😁😁....

Ugali wa muhogo/udaga mtamu sana imenichukua muda kuzoea ugali wa bila muhogo
Maeneo ya misungwi, misasi huko binti wa kisukuma amevaa gauni kashona zile pazia za buku jero anatamka neno udaga amejikaza utafikiri anapigwa daaah πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nimekumbuka mbali mno Buyogo to Shirima, ndani ndani huko
 
Maeneo ya misungwi, misasi huko binti wa kisukuma amevaa gauni kashona zile pazia za buku jero anatamka neno udaga amejikaza utafikiri anapigwa daaah πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nimekumbuka mbali mno Buyogo to Shirima, ndani ndani huko
🀣 🀣 🀣 kajipaka na mafuta ya pamba
 
Aisee nilimuona mwanamke mmoja si mrefu si mfupi, mweusi, mrembo macho yangu hayajawahi na hayatawahi ona mwanamke mzuri kama yule tena labda nizaliwe upya pale buhongwa,, na shetani alivo na roho mbaya nilikuwa ndani ya basi narudi zangu home. Popote alipo yule bidada ajue anazurura na mimi.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
siku moja naingia jiji la mwanza kikazi nilibaki kushangaa kwa niliyokuwa naona.

mwanza kuna kila aina ya wanawake warembo mikoa yote.

mwanza kuna vyuo vingi na ofisi nyingi kuanzia serekali na binafsi.

wanawake wazuri na kila aina iliyopo toka mikoa mbalimbali mpaka mataifa jirani kote.

jamani mwanza kama umekuja kuleta uwanaume wako utajikuta umeoa au kuondoka na magonjwa au mtoto.

asante mwanza nikirudi nakuja kuweka makazi kuwa sehemu ya makazi kikazi !


View attachment 1909633

chakula cha wanaume
Mbona Sato hayupo?
 
siku moja naingia jiji la mwanza kikazi nilibaki kushangaa kwa niliyokuwa naona.

mwanza kuna kila aina ya wanawake warembo mikoa yote.

mwanza kuna vyuo vingi na ofisi nyingi kuanzia serekali na binafsi.

wanawake wazuri na kila aina iliyopo toka mikoa mbalimbali mpaka mataifa jirani kote.

jamani mwanza kama umekuja kuleta uwanaume wako utajikuta umeoa au kuondoka na magonjwa au mtoto.

asante mwanza nikirudi nakuja kuweka makazi kuwa sehemu ya makazi kikazi !


View attachment 1909633

chakula cha wanaume
Hapo ni Malikusema Mlango Mmoja. Wapi Umoja?
 
siku moja naingia jiji la mwanza kikazi nilibaki kushangaa kwa niliyokuwa naona.

mwanza kuna kila aina ya wanawake warembo mikoa yote.

mwanza kuna vyuo vingi na ofisi nyingi kuanzia serekali na binafsi.

wanawake wazuri na kila aina iliyopo toka mikoa mbalimbali mpaka mataifa jirani kote.

jamani mwanza kama umekuja kuleta uwanaume wako utajikuta umeoa au kuondoka na magonjwa au mtoto.

asante mwanza nikirudi nakuja kuweka makazi kuwa sehemu ya makazi kikazi !


View attachment 1909633

chakula cha wanaume
Mkuu una wageni tumboni?
 
Siku moja naingia jiji la mwanza kikazi nilibaki kushangaa kwa niliyokuwa naona.

Mwanza kuna kila aina ya wanawake warembo mikoa yote.

Mwanza kuna vyuo vingi na ofisi nyingi kuanzia serekali na binafsi.

Wanawake wazuri na kila aina iliyopo toka mikoa mbalimbali mpaka mataifa jirani kote.

Jamani Mwanza kama umekuja kuleta uwanaume wako utajikuta umeoa au kuondoka na magonjwa au mtoto.

Asante Mwanza, nikirudi nakuja kuweka makazi kuwa sehemu ya makazi kikazi!

View attachment 1909633

chakula cha wanaume
Sahani za bati
 
Siku moja naingia jiji la mwanza kikazi nilibaki kushangaa kwa niliyokuwa naona.

Mwanza kuna kila aina ya wanawake warembo mikoa yote.

Mwanza kuna vyuo vingi na ofisi nyingi kuanzia serekali na binafsi.

Wanawake wazuri na kila aina iliyopo toka mikoa mbalimbali mpaka mataifa jirani kote.

Jamani Mwanza kama umekuja kuleta uwanaume wako utajikuta umeoa au kuondoka na magonjwa au mtoto.

Asante Mwanza, nikirudi nakuja kuweka makazi kuwa sehemu ya makazi kikazi!

View attachment 1909633

chakula cha wanaume
Chakula cha mufugo ayu binadamu
 
Mwanza kuzuri
Sehemu za bata zipo nyingi na bei nafuu
Kuna bar inaitwa plasma daah wahudumu wa pale ni hatari
 
Back
Top Bottom