Ugumu wangu
JF-Expert Member
- May 6, 2021
- 1,685
- 3,552
Maeneo ya misungwi, misasi huko binti wa kisukuma amevaa gauni kashona zile pazia za buku jero anatamka neno udaga amejikaza utafikiri anapigwa daaah ππππππππ nimekumbuka mbali mno Buyogo to Shirima, ndani ndani hukoHuo udaga unautaja kwa kukandamiza ππ....
Ugali wa muhogo/udaga mtamu sana imenichukua muda kuzoea ugali wa bila muhogo
π€£ π€£ π€£ kajipaka na mafuta ya pambaMaeneo ya misungwi, misasi huko binti wa kisukuma amevaa gauni kashona zile pazia za buku jero anatamka neno udaga amejikaza utafikiri anapigwa daaah ππππππππ nimekumbuka mbali mno Buyogo to Shirima, ndani ndani huko
Hahahhahaπ€£ π€£ π€£ kajipaka na mafuta ya pamba
Mbona Sato hayupo?siku moja naingia jiji la mwanza kikazi nilibaki kushangaa kwa niliyokuwa naona.
mwanza kuna kila aina ya wanawake warembo mikoa yote.
mwanza kuna vyuo vingi na ofisi nyingi kuanzia serekali na binafsi.
wanawake wazuri na kila aina iliyopo toka mikoa mbalimbali mpaka mataifa jirani kote.
jamani mwanza kama umekuja kuleta uwanaume wako utajikuta umeoa au kuondoka na magonjwa au mtoto.
asante mwanza nikirudi nakuja kuweka makazi kuwa sehemu ya makazi kikazi !
View attachment 1909633
chakula cha wanaume
Hapo ni Malikusema Mlango Mmoja. Wapi Umoja?siku moja naingia jiji la mwanza kikazi nilibaki kushangaa kwa niliyokuwa naona.
mwanza kuna kila aina ya wanawake warembo mikoa yote.
mwanza kuna vyuo vingi na ofisi nyingi kuanzia serekali na binafsi.
wanawake wazuri na kila aina iliyopo toka mikoa mbalimbali mpaka mataifa jirani kote.
jamani mwanza kama umekuja kuleta uwanaume wako utajikuta umeoa au kuondoka na magonjwa au mtoto.
asante mwanza nikirudi nakuja kuweka makazi kuwa sehemu ya makazi kikazi !
View attachment 1909633
chakula cha wanaume
Mkuu una wageni tumboni?siku moja naingia jiji la mwanza kikazi nilibaki kushangaa kwa niliyokuwa naona.
mwanza kuna kila aina ya wanawake warembo mikoa yote.
mwanza kuna vyuo vingi na ofisi nyingi kuanzia serekali na binafsi.
wanawake wazuri na kila aina iliyopo toka mikoa mbalimbali mpaka mataifa jirani kote.
jamani mwanza kama umekuja kuleta uwanaume wako utajikuta umeoa au kuondoka na magonjwa au mtoto.
asante mwanza nikirudi nakuja kuweka makazi kuwa sehemu ya makazi kikazi !
View attachment 1909633
chakula cha wanaume
Dah Umenikumbusha udaga hapo umechanganya na mahindi hatari.Huo udaga unautaja kwa kukandamiza ππ....
Ugali wa muhogo/udaga mtamu sana imenichukua muda kuzoea ugali wa bila muhogo
Sahani za batiSiku moja naingia jiji la mwanza kikazi nilibaki kushangaa kwa niliyokuwa naona.
Mwanza kuna kila aina ya wanawake warembo mikoa yote.
Mwanza kuna vyuo vingi na ofisi nyingi kuanzia serekali na binafsi.
Wanawake wazuri na kila aina iliyopo toka mikoa mbalimbali mpaka mataifa jirani kote.
Jamani Mwanza kama umekuja kuleta uwanaume wako utajikuta umeoa au kuondoka na magonjwa au mtoto.
Asante Mwanza, nikirudi nakuja kuweka makazi kuwa sehemu ya makazi kikazi!
View attachment 1909633
chakula cha wanaume
Chakula cha mufugo ayu binadamuSiku moja naingia jiji la mwanza kikazi nilibaki kushangaa kwa niliyokuwa naona.
Mwanza kuna kila aina ya wanawake warembo mikoa yote.
Mwanza kuna vyuo vingi na ofisi nyingi kuanzia serekali na binafsi.
Wanawake wazuri na kila aina iliyopo toka mikoa mbalimbali mpaka mataifa jirani kote.
Jamani Mwanza kama umekuja kuleta uwanaume wako utajikuta umeoa au kuondoka na magonjwa au mtoto.
Asante Mwanza, nikirudi nakuja kuweka makazi kuwa sehemu ya makazi kikazi!
View attachment 1909633
chakula cha wanaume
Mto ambao mvua ikinyesha wanafungulia vyoo kuruhusu mavi yaelekee ziwaniDona la sumu kuvu na viatilifu, broiler na chainizi kwa pembeni imetoka kando kando ya mto mirongo!!