Asante Rais Samia, Ila ongezeko la Mishahara haliakisi unafuu wa maisha kwa Mtanzania kama ambavyo huwa inadhaniwa na wengi

Asante Rais Samia, Ila ongezeko la Mishahara haliakisi unafuu wa maisha kwa Mtanzania kama ambavyo huwa inadhaniwa na wengi

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Tunamshukuru sana Rais Kwa Miaka 7 ongezeko la mshahara linekuwa leo tena Kwa asilimia 23 kuzidi nchi nyingi zilizo tu zunguka Asante Rais wetu.Ila Ongezeko la Mishahara haliakisi unafuu wa maisha Kwa Mtanzania kama ambavyo huwa inadhaniwa na wengi kwa ukweli kwamba wanafanyakazi hao wa serikali wanaoongezea Mishahara hawafiki hata milioni 1.5 na ili hali Watanzamia wako milioni 60

Nikuunge mkono rais wangu ufanyayo kukuza kilimo na ufugaji maana hicho ndio kinaenda kushusha ughali wa maisha ya Mtanzania na pia kutoa ajira za moja kwa moja kwa karibu 70% ya watanzania Mijini na vijijini......

Nakuomba saanq Mheshimiwa rais kuwa uiagize Tamisemi I ihakikisha shule zoote za sejondari za kata Tanzania zinazofikia 5000 hadi kufikia 2025 ziwe na miradi kati ya hii mitatu

1.Ufugaji wa kuku 12,000 (rotation)

AMA

2.Ufugaji wa samaki 12,000 (rotation)

3. Ufugaji wa Nguruwe Kwa shule za kikristo

Walimu wakuu wa shule wakishiriakiana na mabwana mifugo wa Halmashauri za miji,manispaa na majiji wataamua upi ni mrado viable hapo walipo....

Na pesa za kuanzishia miradi hiyo zitoke katika mifuko ya maendeleo ya vijana ya Halmashauri zile 10% ya Pato la Halmashauri hizo.

Hilo likiwezekana Mheshimiwa Rais litachochea kwa 80% kilimo cha mtama mweupe wa kulishia mifugo hiyo Hydroponic Foddlers na kuliingizia Taifa shs bilioni 78 kila mwezi kwa mauzo ya samaki hao na kuku na mayai hayo....

Ikumbukwe bajeti ya elimu bure ni shs bilioni 28 kila mwezi hivyo miradi hiyo ya shule za kata pamoja na kuwaanda vijana kuja kujitegemea wakimaliza form 4 pia itachangia pato kubwa sana kwa Taifa na pia kuweza kushusha bei ya kilo sa samaki na kuku hadi kuwa kilo moja shs 5000/= tu

Kuku na samaki hao kutoka outlet 4000 Tanzania katika kiwango cha 12,000 per outlet vitaifanya Tanzania kujitosheleza kwa kuku na samaki na hadi kuuza nchi za nje.....huo ndo uchumi husika wa jamii ya watanzania ....wenye kushusha gharama za maisha ya watanzania walio wengi na sio kufurahia Ku panda mshahara wa watanzania Milion moja na nusu tu

Tunaomba ziwekwe hata mbinu za Ugumu wa Maisha kulegezwa

Britanicca
 
Hizi ndio mada zinazohitajika kuwekwa hapa, ili wenye akili tuzijadili na mlengwa asome kwa kutulia na kuelewa. Sio mtu na akili zake anakuja na mada inayohusu matembezi ya mwanasiasa na mkewe, sijui mungine anaandika baba levo kakonyezwa na mwijaku nk. Hongera na pongezi kwa raisi Samia kwa kuongeza mishahara.
 
Mmeambiwa ameongeza kiwango cha KIMA CHA CHINI mtumishi kulipwa, sio mshahara. Watanzania mbona akili zetu kisoda?? Hii haiongezi kitu kwenye mshahara wako wa sasa kama upo juu ya kiwango husika[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Hilo ongezeko lenyewe ni ngapi?

Ukute ni 20000!

Wewe piga hesabu yaani basic yako kama ni laki nane asilimia 23 yake itakua kama laki na themanini na nne sasa hiyo jumlisha kwenye basic yako inapanda hadi laki tisa na themanini na nne hiyo ndio nyongeza toa makato yote sijui mifuko ya jamii na kama bodi na sijui nini kinachobakia ndio stahiki yako yaani mnaongezewa pesa na hamuwezi kucalculate bora mngeachwa tu
 
Wewe piga hesabu yaani basic yako kama ni laki nane asilimia 23 yake itakua kama laki na themanini na nne sasa hiyo jumlisha kwenye basic yako inapanda hadi laki tisa na themanini na nne hiyo ndio nyongeza toa makato yote sijui mifuko ya jamii na kama bodi na sijui nini kinachobakia ndio stahiki yako yaani mnaongezewa pesa na hamuwezi kucalculate bora mngeachwa tu
Haiendagi namna hiyo! Not flat rate kwa wote.
 
We Uko karibu nao waambie mnapokaa pia hakikisha mishahara inapopanda pia mifuko ya hifadhi ya jamii pia iagizwe kufanya marekebisho ya fedha wanazolipwa wastaafu kwa sababu pamoja kuwa kidogo kwa walio wengi inflation inawapunguzia purchasing power haiwezi kubakia fixed hata ikiwa 15%! Hivo wasiangaliwe wanaopiga kelele tu bali wote !!!!



Mwalimu
 
Tunamshukuru sana Rais Kwa Miaka 7 ongezeko la mshahara linekuwa leo tena Kwa asilimia 23 kuzidi nchi nyingi zilizo tu zunguka Asante Rais wetu.Ila Ongezeko la Mishahara haliakisi unafuu wa maisha Kwa Mtanzania kama ambavyo huwa inadhaniwa na wengi kwa ukweli kwamba wanafanyakazi hao wa serikali wanaoongezea Mishahara hawafiki hata milioni 1.5 na ili hali Watanzamia wako milioni 60

Nikuunge mkono rais wangu ufanyayo kukuza kilimo na ufugaji maana hicho ndio kinaenda kushusha ughali wa maisha ya Mtanzania na pia kutoa ajira za moja kwa moja kwa karibu 70% ya watanzania Mijini na vijijini......

Nakuomba saanq Mheshimiwa rais kuwa uiagize Tamisemi I ihakikisha shule zoote za sejondari za kata Tanzania zinazofikia 5000 hadi kufikia 2025 ziwe na miradi kati ya hii mitatu

1.Ufugaji wa kuku 12,000 (rotation)

AMA

2.Ufugaji wa samaki 12,000 (rotation)

3. Ufugaji wa Nguruwe Kwa shule za kikristo

Walimu wakuu wa shule wakishiriakiana na mabwana mifugo wa Halmashauri za miji,manispaa na majiji wataamua upi ni mrado viable hapo walipo....

Na pesa za kuanzishia miradi hiyo zitoke katika mifuko ya maendeleo ya vijana ya Halmashauri zile 10% ya Pato la Halmashauri hizo.

Hilo likiwezekana Mheshimiwa Rais litachochea kwa 80% kilimo cha mtama mweupe wa kulishia mifugo hiyo Hydroponic Foddlers na kuliingizia Taifa shs bilioni 78 kila mwezi kwa mauzo ya samaki hao na kuku na mayai hayo....

Ikumbukwe bajeti ya elimu bure ni shs bilioni 28 kila mwezi hivyo miradi hiyo ya shule za kata pamoja na kuwaanda vijana kuja kujitegemea wakimaliza form 4 pia itachangia pato kubwa sana kwa Taifa na pia kuweza kushusha bei ya kilo sa samaki na kuku hadi kuwa kilo moja shs 5000/= tu

Kuku na samaki hao kutoka outlet 4000 Tanzania katika kiwango cha 12,000 per outlet vitaifanya Tanzania kujitosheleza kwa kuku na samaki na hadi kuuza nchi za nje.....huo ndo uchumi husika wa jamii ya watanzania ....wenye kushusha gharama za maisha ya watanzania walio wengi na sio kufurahia Ku panda mshahara wa watanzania Milion moja na nusu tu

Tunaomba ziwekwe hata mbinu za Ugumu wa Maisha kulegezwa

Britanicca
britanicca
Wewe si uliaga jukwaa hili la JF kutokana na sakata la kina Mdee?🥺

Vipi mbona bado upo upo tu?😁
 
Tunamshukuru sana Rais Kwa Miaka 7 ongezeko la mshahara linekuwa leo tena Kwa asilimia 23 kuzidi nchi nyingi zilizo tu zunguka Asante Rais wetu.Ila Ongezeko la Mishahara haliakisi unafuu wa maisha Kwa Mtanzania kama ambavyo huwa inadhaniwa na wengi kwa ukweli kwamba wanafanyakazi hao wa serikali wanaoongezea Mishahara hawafiki hata milioni 1.5 na ili hali Watanzamia wako milioni 60

Nikuunge mkono rais wangu ufanyayo kukuza kilimo na ufugaji maana hicho ndio kinaenda kushusha ughali wa maisha ya Mtanzania na pia kutoa ajira za moja kwa moja kwa karibu 70% ya watanzania Mijini na vijijini......

Nakuomba saanq Mheshimiwa rais kuwa uiagize Tamisemi I ihakikisha shule zoote za sejondari za kata Tanzania zinazofikia 5000 hadi kufikia 2025 ziwe na miradi kati ya hii mitatu

1.Ufugaji wa kuku 12,000 (rotation)

AMA

2.Ufugaji wa samaki 12,000 (rotation)

3. Ufugaji wa Nguruwe Kwa shule za kikristo

Walimu wakuu wa shule wakishiriakiana na mabwana mifugo wa Halmashauri za miji,manispaa na majiji wataamua upi ni mrado viable hapo walipo....

Na pesa za kuanzishia miradi hiyo zitoke katika mifuko ya maendeleo ya vijana ya Halmashauri zile 10% ya Pato la Halmashauri hizo.

Hilo likiwezekana Mheshimiwa Rais litachochea kwa 80% kilimo cha mtama mweupe wa kulishia mifugo hiyo Hydroponic Foddlers na kuliingizia Taifa shs bilioni 78 kila mwezi kwa mauzo ya samaki hao na kuku na mayai hayo....

Ikumbukwe bajeti ya elimu bure ni shs bilioni 28 kila mwezi hivyo miradi hiyo ya shule za kata pamoja na kuwaanda vijana kuja kujitegemea wakimaliza form 4 pia itachangia pato kubwa sana kwa Taifa na pia kuweza kushusha bei ya kilo sa samaki na kuku hadi kuwa kilo moja shs 5000/= tu

Kuku na samaki hao kutoka outlet 4000 Tanzania katika kiwango cha 12,000 per outlet vitaifanya Tanzania kujitosheleza kwa kuku na samaki na hadi kuuza nchi za nje.....huo ndo uchumi husika wa jamii ya watanzania ....wenye kushusha gharama za maisha ya watanzania walio wengi na sio kufurahia Ku panda mshahara wa watanzania Milion moja na nusu tu

Tunaomba ziwekwe hata mbinu za Ugumu wa Maisha kulegezwa

Britanicca
Naona umerudi
 
Back
Top Bottom