Asante Rais Samia, Ila ongezeko la Mishahara haliakisi unafuu wa maisha kwa Mtanzania kama ambavyo huwa inadhaniwa na wengi

Asante Rais Samia, Ila ongezeko la Mishahara haliakisi unafuu wa maisha kwa Mtanzania kama ambavyo huwa inadhaniwa na wengi

Kum
Wewe piga hesabu yaani basic yako kama ni laki nane asilimia 23 yake itakua kama laki na themanini na nne sasa hiyo jumlisha kwenye basic yako inapanda hadi laki tisa na themanini na nne hiyo ndio nyongeza toa makato yote sijui mifuko ya jamii na kama bodi na sijui nini kinachobakia ndio stahiki yako yaani mnaongezewa pesa na hamuwezi kucalculate bora mngeachwa tu
Kumbe kima cha chini inchi hii ni laki 8!!!! Day!!!
 
Hapa nakuunga mkono. Niliwaza hii muda sema umeniwahi.
Shuleni kuna nguvu kazi ya kutosha.
Wakianzisha miradi hakutakuwa na sababu ya kupeleka hata ruzuku.

Mfano shule iko Singida na ina wanafunzi 400.
Wakilima alizeti ekari 100 kwa mkopo huo watapalilia na kuvuna wao.

Ekari 100= magunia 800 ya alizeti.
800x60000=48,000,000.
Shule inajiendesha.
 
Hawa mbwa watatusumbua sana mtaani bora wasingeongezwa kabisa
Punguza hasira uepuke kuugua vidonda vya tumbo! Unaowaita mbwa ndio hao ukivimbiwa wanakuandikia magnesium tablets ujambe ili upone! Kuwa lugha isiyoudhi utasomeka vizuri TU!
 
Mama hongera sana kwa kuwakumbuka wafanyakazi, bora kidogo kuliko kukosa kabisa. Umeupiga mwingi kwakweli
 
Wewe piga hesabu yaani basic yako kama ni laki nane asilimia 23 yake itakua kama laki na themanini na nne sasa hiyo jumlisha kwenye basic yako inapanda hadi laki tisa na themanini na nne hiyo ndio nyongeza toa makato yote sijui mifuko ya jamii na kama bodi na sijui nini kinachobakia ndio stahiki yako yaani mnaongezewa pesa na hamuwezi kucalculate bora mngeachwa tu
Jamaa ni kiazi kweli😀😀Ko kima cha chini serikalini ni 800,0000/=?Puaa puaaa yuuu🤣
 
Kuanzishwa miradi mashuleni nayo mpaka Rais wa nchi?Basi hakuna haja ya kuwa na viongozi wa ngazi za chini.
Mama kawaputia wafanyakazi tahfifu baada ya kupigika kwa miaka saba
 
Tunamshukuru sana Rais Kwa Miaka 7 ongezeko la mshahara linekuwa leo tena Kwa asilimia 23 kuzidi nchi nyingi zilizo tu zunguka Asante Rais wetu.Ila Ongezeko la Mishahara haliakisi unafuu wa maisha Kwa Mtanzania kama ambavyo huwa inadhaniwa na wengi kwa ukweli kwamba wanafanyakazi hao wa serikali wanaoongezea Mishahara hawafiki hata milioni 1.5 na ili hali Watanzamia wako milioni 60

Nikuunge mkono rais wangu ufanyayo kukuza kilimo na ufugaji maana hicho ndio kinaenda kushusha ughali wa maisha ya Mtanzania na pia kutoa ajira za moja kwa moja kwa karibu 70% ya watanzania Mijini na vijijini......

Nakuomba saanq Mheshimiwa rais kuwa uiagize Tamisemi I ihakikisha shule zoote za sejondari za kata Tanzania zinazofikia 5000 hadi kufikia 2025 ziwe na miradi kati ya hii mitatu

1.Ufugaji wa kuku 12,000 (rotation)

AMA

2.Ufugaji wa samaki 12,000 (rotation)

3. Ufugaji wa Nguruwe Kwa shule za kikristo

Walimu wakuu wa shule wakishiriakiana na mabwana mifugo wa Halmashauri za miji,manispaa na majiji wataamua upi ni mrado viable hapo walipo....

Na pesa za kuanzishia miradi hiyo zitoke katika mifuko ya maendeleo ya vijana ya Halmashauri zile 10% ya Pato la Halmashauri hizo.

Hilo likiwezekana Mheshimiwa Rais litachochea kwa 80% kilimo cha mtama mweupe wa kulishia mifugo hiyo Hydroponic Foddlers na kuliingizia Taifa shs bilioni 78 kila mwezi kwa mauzo ya samaki hao na kuku na mayai hayo....

Ikumbukwe bajeti ya elimu bure ni shs bilioni 28 kila mwezi hivyo miradi hiyo ya shule za kata pamoja na kuwaanda vijana kuja kujitegemea wakimaliza form 4 pia itachangia pato kubwa sana kwa Taifa na pia kuweza kushusha bei ya kilo sa samaki na kuku hadi kuwa kilo moja shs 5000/= tu

Kuku na samaki hao kutoka outlet 4000 Tanzania katika kiwango cha 12,000 per outlet vitaifanya Tanzania kujitosheleza kwa kuku na samaki na hadi kuuza nchi za nje.....huo ndo uchumi husika wa jamii ya watanzania ....wenye kushusha gharama za maisha ya watanzania walio wengi na sio kufurahia Ku panda mshahara wa watanzania Milion moja na nusu tu

Tunaomba ziwekwe hata mbinu za Ugumu wa Maisha kulegezwa

Britanicca
Ongezeko feki la mishahara hilo. Kama alishindwa kusimamia punguzo la bei ya kuunganisha umeme aliyo jisifia basi ilo ongezeko ni feki feki feki sasa hivi elimu bure inakufa na bei ya umeme inapandishwa , ukweli ni kwamba wafanyakazi wa serikali asilimia 98 hawana akili ya uchumi hivyo wanadhani kuongezewa mishahara ndiyo maendeleo , kipindi cha jpm elimu ilikuwa bure mfumuko wa bei ulizidi kushuka, hapo ni swala la kutumia akili tu
 
Tunamshukuru sana Rais Kwa Miaka 7 ongezeko la mshahara linekuwa leo tena Kwa asilimia 23 kuzidi nchi nyingi zilizo tu zunguka Asante Rais wetu.Ila Ongezeko la Mishahara haliakisi unafuu wa maisha Kwa Mtanzania kama ambavyo huwa inadhaniwa na wengi kwa ukweli kwamba wanafanyakazi hao wa serikali wanaoongezea Mishahara hawafiki hata milioni 1.5 na ili hali Watanzamia wako milioni 60

Nikuunge mkono rais wangu ufanyayo kukuza kilimo na ufugaji maana hicho ndio kinaenda kushusha ughali wa maisha ya Mtanzania na pia kutoa ajira za moja kwa moja kwa karibu 70% ya watanzania Mijini na vijijini......

Nakuomba saanq Mheshimiwa rais kuwa uiagize Tamisemi I ihakikisha shule zoote za sejondari za kata Tanzania zinazofikia 5000 hadi kufikia 2025 ziwe na miradi kati ya hii mitatu

1.Ufugaji wa kuku 12,000 (rotation)

AMA

2.Ufugaji wa samaki 12,000 (rotation)

3. Ufugaji wa Nguruwe Kwa shule za kikristo

Walimu wakuu wa shule wakishiriakiana na mabwana mifugo wa Halmashauri za miji,manispaa na majiji wataamua upi ni mrado viable hapo walipo....

Na pesa za kuanzishia miradi hiyo zitoke katika mifuko ya maendeleo ya vijana ya Halmashauri zile 10% ya Pato la Halmashauri hizo.

Hilo likiwezekana Mheshimiwa Rais litachochea kwa 80% kilimo cha mtama mweupe wa kulishia mifugo hiyo Hydroponic Foddlers na kuliingizia Taifa shs bilioni 78 kila mwezi kwa mauzo ya samaki hao na kuku na mayai hayo....

Ikumbukwe bajeti ya elimu bure ni shs bilioni 28 kila mwezi hivyo miradi hiyo ya shule za kata pamoja na kuwaanda vijana kuja kujitegemea wakimaliza form 4 pia itachangia pato kubwa sana kwa Taifa na pia kuweza kushusha bei ya kilo sa samaki na kuku hadi kuwa kilo moja shs 5000/= tu

Kuku na samaki hao kutoka outlet 4000 Tanzania katika kiwango cha 12,000 per outlet vitaifanya Tanzania kujitosheleza kwa kuku na samaki na hadi kuuza nchi za nje.....huo ndo uchumi husika wa jamii ya watanzania ....wenye kushusha gharama za maisha ya watanzania walio wengi na sio kufurahia Ku panda mshahara wa watanzania Milion moja na nusu tu

Tunaomba ziwekwe hata mbinu za Ugumu wa Maisha kulegezwa

Britanicca
Ilakumbuka mshahara haujawahi mtosha mtu hata huyo Rais ikimuuliza mshahara unamtosha atasema haumtoshi.
 
Back
Top Bottom