Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha wale ni kama wamelogwa tu na hata aliyewaloga kafaSubiri wapigania rigasi waje, watakwambia itamaliza tembo wao.
Wapuuzi sana. Ukiwauliza nyie mlitakaje hawana majibu. Yaani sjui ingekuwaje kama dhamana ya kifo isingekuwa toka kwa Mwenyezimungu au jiwe angekufa kifo kama cha Karume.Hahaha wale ni kama wamelogwa tu na hata aliyewaloga kafa
Hawajitambui hata chembe maana ni watu hatari sana.Wapuuzi sana. Ukiwauliza nyie mlitakaje hawana majibu. Yaani sjui ingekuwaje kama dhamana ya kifo isingekuwa toka kwa Mwenyezimungu au jiwe angekufa kifo kama cha Karume.
Okey,wanakuaga wengi Sana lakiniMkuu usihofu hilohilo dege tunawapakia humo humo
Unaandika huku unakimbizwa?!!![emoji1787]Ndege Samia kaitoa wapi , hiyo ndege ilinunuliwa na magu ata km hamtaki , Samia hajui ata Bei yake
[emoji1787][emoji1787]Subiri wapigania rigasi waje, watakwambia itamaliza tembo wao.
Mkuu umesahau kumtaja membe kuwa naye amekata kamba hivi karibuniWapuuzi sana. Ukiwauliza nyie mlitakaje hawana majibu. Yaani sjui ingekuwaje kama dhamana ya kifo isingekuwa toka kwa Mwenyezimungu au jiwe angekufa kifo kama cha Karume.
Nyie mtasafirisha kwa treni, ile ya zamani 🤣🤣Na sisi wa kusafirisha ng'ombe tuletewe meli