Asante Rais Samia, sisi wavuvi wa sangara na wafuaji sasa tutauza bidhaa zetu Comoro

Asante Rais Samia, sisi wavuvi wa sangara na wafuaji sasa tutauza bidhaa zetu Comoro

Unaandika huku unakimbizwa?!!![emoji1787]

Sasa ataachaje kujua ilihali mh.Rais alikuwa ni makamu wa awamu ya 5?!!!

Kwani kila alifanyalo rais mmoja ni kwa ajili yake tu ?!!! [emoji15][emoji15]
Wachana na huyo sukuma gang
 
Huyu mama huyu daah [emoji7][emoji7]

Mwenyezi Mungu amuhifadhi kipenzi Rais wetu ,aaaamin[emoji120]

SiempreSSH[emoji120]
Siyo mamaa bali wasifu watanzania wavuja jasho ambao wanakamuliwa kodi kila kukicha
 
Ndege Samia kaitoa wapi , hiyo ndege ilinunuliwa na magu ata km hamtaki , Samia hajui ata Bei yake
Magu yeye aliitoa wapi? Magu alitoa advance ya mshahara wake ili annulie ndege ya watanzania?

Ebu kuweni na akili basi hata kidogo
 
Mungu azidi kukubariki rais Samia kwa uamuzi sahihi wa kutuletea ndege ya mizigo.

Sisi wafugaji na wavuvi wa sangara sasa ni muda wetu kuuza bidhaa zetu nje ya nchi kwa wakati.

Umefanya jambo la maana sana kutukumbuka sisi walala hoi.

View attachment 2637979
Uwezo wa mtanzania kufikiri naona ni mdogo sana. Hivi unamaanisha hawa wavuvi walishindwa kupeleka sangara Comoro kwa kukosa ndege? Hiyo ndege itabena viroba viwili vya sangara? I mean, hakuna ndege za kampuni nyingine zinazofanya safari ktk njia hiyo? Kama ni hivyo hiyo njia sio fursa kwa atcl.
Utakumbuka tuliimba sana zile za abiria zingeongeza idadi ya watalii- hivi watalii wangapi wanaingia kwa kutumia ndege za atcl?
Tunataka kuazima akili ya kumtuma waziri na dege zima kwenda kuchukua dawa za kishirikina carton 2 toka Madagascar! 😂😂😂
 
Uwezo wa mtanzania kufikiri naona ni mdogo sana. Hivi unamaanisha hawa wavuvi walishindwa kupeleka sangara Comoro kwa kukosa ndege? Hiyo ndege itabena viroba viwili vya sangara? I mean, hakuna ndege za kampuni nyingine zinazofanya safari ktk njia hiyo? Kama ni hivyo hiyo njia sio fursa kwa atcl.
Utakumbuka tuliimba sana zile za abiria zingeongeza idadi ya watalii- hivi watalii wangapi wanaingia kwa kutumia ndege za atcl?
Tunataka kuazima akili ya kumtuma waziri na dege zima kwenda kuchukua dawa za kishirikina carton 2 toka Madagascar! [emoji23][emoji23][emoji23]
Ungeanza kwanza kufahamu msimamo wangu kisiasa na mahusiano yangu na ccm hapo nadhani ungekuwa na cha kuandika juu ya thread yangu.
 
Ndege Samia kaitoa wapi , hiyo ndege ilinunuliwa na magu ata km hamtaki , Samia hajui ata Bei yake
amenunulia kaburini siyo? Siku hizi ndege zinatoka kuzimu? Hata hivyo Samia wa watu si wa hivyo, hajawahi kujisifu mama wa watu kuwa nimefanya hiki na kile. Ndege imenunuliwa na wananchiwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
amenunulia kaburini siyo? Siku hizi ndege zinatoka kuzimu? Hata hivyo Samia wa watu si wa hivyo, hajawahi kujisifu mama wa watu kuwa nimefanya hiki na kile. Ndege imenunuliwa na wananchiwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
....PERIOD....
 
Ungeanza kwanza kufahamu msimamo wangu kisiasa na mahusiano yangu na ccm hapo nadhani ungekuwa na cha kuandika juu ya thread yangu.
Sorry. Sina shida na msimamo wako kisiasa. Shida yangu ni pale unapozungumzia wavuvi kupeleka sangara Comoro kutokana na ujio wa hii ndege, kana kwamba hapo kabla walijipanga kufanya hiyo biashara wakakosa usafiri.
 
Back
Top Bottom