Asante sana Bernard Kammilius Membe, Una kichwa kikali na ni mzalendo wa kweli

Asante sana Bernard Kammilius Membe, Una kichwa kikali na ni mzalendo wa kweli

Membe anakuzwa sana, jamaa ni under dog tu

Hata kwny cabinet ya kwanza ya Jk iliyojaa vingunge 2005 alikuwa Naibu Waziri na kilichomuibua ni shavu alilopata Migiro

JK Kamtumia kama chambo cha kuwaingiza maboya kina Lowasa miaka ile wakajikuta wanatumia nguvu kupambana na kivuli na kumuacha Mgombea wa Chama salama

'…Wewe ( JPM) nenda kachukue fomu, …kufaa kwako au kutokufaa tutajua sie…'_Jk 2015

Siku ya kukabidhiwa Tausi kwa Ma Rais wastaaf…Jpm alijikuta anaropoka kuwa Jakaya alianza kumtembeza Ikulu na kumkabidhi Ofisi kidogo kidogo hata kabla kampen hazijaanza…

Membe kasahau kuwa Seif alishindwa kuwa Rais 1984, JAN6 mpaka leo ni mwaka wa 36 anamaliza soli za viatu

Umeshindwa kuwa Rais ukiwa Ccm ndo utaweza kupitia ACT?
Ben alikuwa mtu makini sana, na alitoka Kusini na Membe, kama Benard alikuwa Mbobezi kama anavyopambwa kwanini Ben hakumteua mwanakusini mwenzie?
Membe anakuzwa sana mitandaoni, uhalisia hata ukuu Wa Wilaya hauwezi.
 
Una haki ya kuwa skeptical

Lakini siyo alli situations are the same.
Siasa siyo linear kwamba lazima points zote zikae ndani ya msitari mmoja, kwa hiyo huwezi kutabiri upinzani utakuwaje nyakati za Membe kwa kuangalia ulikuwaje nyakati za Lowasa!

Membe na Lowasa ni watu wawili tofauti!
Once a Coward always the one.
 
Akigombea nitampigia kura, ingawa sioni kama atagombea, maana muda umeisha na hajachagua chama.
 
Hata ukikaa na wapinzani kindaki ndaki wanakubali anachofanya Rais Magufuli, ijapokuwa wanaona aibu tu kusema hadharani, wanakubali kabisa kuwa baada ya kuingia M h. Hata wao wamekuwa direct beneficiaries wa matendo yake.

Magufuli anafanya mambo ambayo yanagusa watu wote bila kuchagua, anastahili awamu nyingine.
.
Angalau Leo umeongea point na mipengo yako.

How are you boss??
 
Is this the end of the beginning or the beginning of the end? Au yote kwa pamoja?
Hii ni the beginning of the end. ukweli ni kwamba kati ya dec 2020 mpakaJune 2021 atajikutakabaki peke yake mzuka wa wanaomhamasisha ushaisha.
Knowing when to quit is so important.
 
Hata hiyo kumuita Membe underdog nao ni uwendawazimu usio na mfano wakati unaelewa hata akichaguliwa kama Seif bado hatangazwi mshindi.
Membe asikungekuwa Underdog angechaguliwa CCM.
 
Hii ni the beginning of the end. ukweli ni kwamba kati ya dec 2020 mpakaJune 2021 atajikutakabaki peke yake mzuka wa wanaomhamasisha ushaisha.
Knowing when to quit is so important.
And knowing when to let it go is more important
 
Tatizo CCM imejaa wazee wanafiki sana, jiwe amegeuza chama kuwa mali yake binafsi.
Moyoni mwako unajua hayo siyo kweli. Kwenye uwazi, humu JF humlengi huyo uliyemtaja ila yule Mlevi.
 
Kama yeye ni underdog mngempa fomu kisha wajumbe wampe kura sifuri kuthibitisha hilo.
Amekwisha kufukuzwa kwa kukiuka misingi ya uwanachama. Akisamamishwa kugombea Urais, na chama kingine cha siasa, ili ndoto yake iwe kweli, atambue kwamba kufukuzwa kwake kwenye chama litakuwa doa, na kulifuta itabidi kwenye kampeni atumie muda kujitetea badala ya kunadi sera zake na za chama.

INAFIKIRISHA hali yake.
 
Amekwisha kufukuzwa kwa kukiuka misingi ya uwanachama. Akisamamishwa kugombea Urais, na chama kingine cha siasa, ili ndoto yake iwe kweli, atambue kwamba kufukuzwa kwake kwenye chama litakuwa doa, na kulifuta itabidi kwenye kampeni atumie muda kujitetea badala ya kunadi sera zake na za chama.

INAFIKIRISHA hali yake.
Inafikirisha kwa asiyefuatilia siasa za Tz hasa baada ya JPM kuchukua uongozi. Ila kwa anayefuatilia ni wazi anaelewa JPM anavyowaburuza wenzake chamani.
 
Inafikirisha kwa asiyefuatilia siasa za Tz hasa baada ya JPM kuchukua uongozi. Ila kwa anayefuatilia ni wazi anaelewa JPM anavyowaburuza wenzake chamani.
Kwa jinsi ya hoja yako wewe ni mfuasi wa upinzani ambao humu huitwa "nyumbu". Wanaitwa hivyo kwa kuwa hawajitegemei kimawazo na ndiyo maana ya hoja yako hiyo.

Viongozi na wanachama wa CCM siyo tu kwamba ni watu wazima, wanajitegemea kimawazo na maamuzi binafsi. Kuunga jambo ni baada ya kila mmoja wao kulikubali na si hivyo unavyotaka iwe.

Pole sana kama katika maisha yako unaburuzwa.
 
Kwa jinsi ya hoja yako wewe ni mfuasi wa upinzani ambao humu huitwa "nyumbu". Wanaitwa hivyo kwa kuwa hawajitegemei kimawazo na ndiyo maana ya hoja yako hiyo.

Viongozi na wanachama wa CCM siyo tu kwamba ni watu wazima, wanajitegemea kimawazo na maamuzi binafsi. Kuunga jambo ni baada ya kila mmoja wao kulikubali na si hivyo unavyotaka iwe.

Pole sana kama katika maisha yako unaburuzwa.
Wanajitegemea!? Wewe akili yako mbovu . Wakati mwenyekiti kashasema akiamka vibaya anakukata. Hapo kuna sheria tena!? Au takwa la mwenyekiti ndio sheria!? Utopolo mkubwa wewe.
 
Back
Top Bottom