Asante sana Kipa Metacha Mnata kwa 'Kuibatiza' Yanga SC yako Jina jipya na zuri la 'Mindole FC' mjini kwa sasa

Asante sana Kipa Metacha Mnata kwa 'Kuibatiza' Yanga SC yako Jina jipya na zuri la 'Mindole FC' mjini kwa sasa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Klabu ya Simba SC ilipokuwa ikicheza Mechi zake huku 'Paka' wakionekana Uwanjani ghafla 'ikabatizwa' Paka FC hivyo sasa tunaenda sawa baada ya Kipa Metacha Mnata wa Yanga SC kuitafutia Yanga SC yake jina jipya la 'Mindole FC' hapa Mjini.

Kwa sasa Mtu yoyote tu wa Yanga SC akituita Simba SC 'Paka FC' na Sisi wa Simba SC tutawajibu kwa kuwaita 'Mindole FC' ambalo naona ndiyo 'limebamba' zaidi hata kuliko lile la 'Utopolo' lililozoeleka.

Akhsante sana tu Kipa Metacha Mnata.
 
Halafu ndo iwe Nini,pia wewe Genta huwa nakuheshimu mno,kwa nyuzi zako na uchambuzi yakinifu wa michezo

Huku ukibainisha kuwafahamu kiundani baadhi ya wachezaji,lakini ulichoandika hapo juu mbona kama siyo wewe.
 
Halafu ndo iwe Nini,pia wewe Genta huwa nakuheshimu mno,kwa nyuzi zako na uchambuzi yakinifu wa michezo

Huku ukibainisha kuwafahamu kiundani baadhi ya wachezaji,lakini ulichoandika hapo juu mbona kama siyo wewe.
Umeshaelewa ni kwanini katika 'Signature' yangu 'tukuka' hapa JamiiForums kuna maneno ya Purely Talented, Charismatic Fella. Game Changer na Entertainer Mkuu?

Purely Talented ni kwamba nina Kipawa cha Upeo.

Charismatic Fella ni kwamba Nina Mvuto wa Kipekee wa Kuzaliwa nacho.

Game Changer ni Mvurugaji na Mharibifu wa Jambo husika ili kufanya Watu ama walisahau au waachane nalo na wafuatishe nikisemacho.

Entertainer ni Mburudishaji na Mchekeshaji niwapo ili Kuwachangamsheni kutokana na Changamoto za Kimaisha ( Maisha )

Nadhani kwa Ufafanuzi wangu huu Kuntu ( Sahihi ) kabisa Kwako Wewe Ndole FC ( Mindole FC ) utakuwa umenielewa na utaendelea Kunipenda na Kunikubali 24/7 hapa JamiiForums.
 
Umeshaelewa ni kwanini katika 'Signature' yangu 'tukuka' hapa JamiiForums kuna maneno ya Purely Talented, Charismatic Fella. Game Changer na Entertainer Mkuu?

Purely Talented ni kwamba nina Kipawa cha Upeo.

Charismatic Fella ni kwamba Nina Mvuto wa Kipekee wa Kuzaliwa nacho.

Game Changer ni Mvurugaji na Mharibifu wa Jambo husika ili kufanya Watu ama walisahau au waachane nalo na wafuatishe nikisemacho.

Entertainer ni Mburudishaji na Mchekeshaji niwapo ili Kuwachangamsheni kutokana na Changamoto za Kimaisha ( Maisha )

Nadhani kwa Ufafanuzi wangu huu Kuntu ( Sahihi ) kabisa Kwako Wewe Ndole FC ( Mindole FC ) utakuwa umenielewa na utaendelea Kunipenda na Kunikubali 24/7 hapa JamiiForums.
Pia muuza tigo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Klabu ya Simba SC ilipokuwa ikicheza Mechi zake huku 'Paka' wakionekana Uwanjani ghafla 'ikabatizwa' Paka FC hivyo sasa tunaenda sawa baada ya Kipa Metacha Mnata wa Yanga SC kuitafutia Yanga SC yake jina jipya la 'Mindole FC' hapa Mjini.

Kwa sasa Mtu yoyote tu wa Yanga SC akituita Simba SC 'Paka FC' na Sisi wa Simba SC tutawajibu kwa kuwaita 'Mindole FC' ambalo naona ndiyo 'limebamba' zaidi hata kuliko lile la 'Utopolo' lililozoeleka.

Akhsante sana tu Kipa Metacha Mnata.
Ni Nini maana ya kuonyesha kidole Cha Kati juu?Tena kWa wanaume wa JaNgWani?Hilo jina Midole fc haliwafai Bora waitwe "WaSeNgEremA fc"Kama vile Metacha alivyowaita,haitakiwi kutumia tafsida wakati maaana yake ipo dhairi kabisa.Wananchi wa jangwani ni Wasengerema[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]hatari Sana Metacha kaleta balaaa kwa Wana wa JaNgWani.
 
Back
Top Bottom