Uchaguzi 2020 Asante sana Rais Magufuli, kiukweli ninashukuru

Utawala wa Rais John Pombe Magufuli umetufundisha umuhimu wa freedom of expression and human rights kwa vitendo.
Yaah! Tunaji-express tu humu bila shida yeyote.
Hakuna anayetuzuia kusemma chochote.
 
Magazeti na propaganda zinakuchanganya ndugu.
Rushwa bado ipo.
Ajira tatizo limeongezeka
Umeme bado changamoto.
OMBA OMBA ndio kabisaa au na wewe ni miongoni mwa wasiofatilia ambao huwa mnatuambia "Mfugale imejengwa kwa fedha za ndani"?Ilhali tukipita pale tunaona bango kuwa Japan nae kachangia.
Mradi kama wa REA kafanya usimamizi tu...huu ni mradi una nguvu kubwa ya wafadhili.
Nadhani tungempima kwa mambo haya:-
Ukuaji wa uchumi.
Hali ya maisha ya watanzania(Welfare);makazi,chakula,huduma za afya,ongezeko la kipato n.k
*Katika ongezeko la kipato je watu wanaokuzunguka unaonaje katika miaka hii inayoelekea kutimia mitano,kipato chao kimeongezeka au "alie nacho ataongezewa na mwenye kidogo atanyang'anywa?
VIWANDA:Ikiwa ni dira yake kuu je kuna sera(policy) imeanzishwa na kutekelezeka na tukapata viwanda, na ni vingapi?Nitajie viwanda vitatu vya uwezo wa kati au mkubwa vilivyoanzishwa(hata vya wanyama na mazao yake sababu alisema tuna mifugo mingi ngozi na pembe ziongezewe thamani kabla ya ku export).
FDI ngapi zimekuja nchini mkuu,mwekezaji gani "mzito" amekuja huku kuwekeza Boss, sana sana hata Dangote alitoa kilio cha kutamani kuondoka🙄.
Au ndio yale ya mkazi wa mavanga, tinde ndanindani,nyamwaga(tarime),longido ndani ndani,Kiteto nae ashangilie mwendokasi,flyover e.t.c huku maisha yake yakiwa chini na hayana tumaini.Naam anatakiwa afurahie kama nchi lakini vipi kuhusu eneo lake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…