Asante sana Toyota Cars

Asante sana Toyota Cars

Nimetoka sehemu na gari yangu,kufika home nacheki tairi ya nyuma kushoto,dah yote imelowa oil,
Kumwita fundi anasema ni oil ya diff,seal ya ekseli imekufa.
Nikicheki mfukoni,mambo yako ovyo vibaya sana,fundi akatoa oil seal,kwenda dukani wananiambia sh 5000/(elfu tano),nilijua labda wamekosea bei,kumbe ni sawa,nikampa fundi akafunga,nae nikampoza 5000/=,jumla nimetumia 10 tu,
Kweli kuna gari kali sana duniani,ila mwacheni toyota abaki kuwa toyota.
Hongera, yako bei rahisi. Mimi pil ilivuja kwa mbele, nilishusha gear box, seal ilikuwa 25k. Nilibadili 2 hivyo was 50k, plus ufundi 50k. Ilinitoka 100k. Ila, mine wa gx 100 chaser Avante.
 
Sio wote wanaonunua magari wako vizuri au wana uwezo sana, kuna sababu tu mbalimbali zinafanya mtu ulazimike kuwa na gari.

Mbona fresh tu,nadhani mtoa mada alikuwa na lengo la kusifia urahisi wa kumiliki gari ya toyota,hata ikitokea mambo yamekuwa magumu unaweza kutatua tatizo la kiufundi kwa hela kidogo.

Tuache kujikweza bila sababu za msingi wakuu.una magari mengi .... si vibaya safi sana....
waambie mkuu,wawe na hekma waache dharau.
 
Kwa umasikini wako unaona ni tambo ila ungekua vizuri ungeona ni jambo la kawaida,

Nyie ndio mtu akileta thd hapa kua kapigika na maisha hua wazuri wa kufariji,mara komaa mkuu utatoka tu,

Ila mtu akiongelea kidogo tu kua yupo vizuri kwa mtazamo wake mnaanza ngonjera zenu,mnapenda sana kusikia habari za watu wanadhiki japo mpate kujifariji kua kumbe kuna watu nao wanateseka! Badili hiyo fixed mind mentality ili upate kwenda mbele japo kidogo,

Halafu hiyo comment yangu nimemjibu kapuku mwenzako kutokana na swali lake alivyouliza.
Huna kosa lolote. Kumwambia mtu hajawa tayari kumiliki gari siyo tusi wala kosa bali ni ukweli. Mbona wako watu wengi tu ambao wanakubalina na hii hali? Kuna familia zinaishi kwenye chumba kimoja cha kupanga na kila siku wanasema ni hali tu inawafanya waishi hivyo lakini siyo mapenzi yao.
 
Nimetoka sehemu na gari yangu,kufika home nacheki tairi ya nyuma kushoto,dah yote imelowa oil,
Kumwita fundi anasema ni oil ya diff,seal ya ekseli imekufa.
Nikicheki mfukoni,mambo yako ovyo vibaya sana,fundi akatoa oil seal,kwenda dukani wananiambia sh 5000/(elfu tano),nilijua labda wamekosea bei,kumbe ni sawa,nikampa fundi akafunga,nae nikampoza 5000/=,jumla nimetumia 10 tu,
Kweli kuna gari kali sana duniani,ila mwacheni toyota abaki kuwa toyota.
Spare za Toyota Bei cheap, hiyo seal original yake 10,000
 
waambie mkuu,wawe na hekma waache dharau.
Hakuna mtu anayeweza kukudharau kama hujajidharau mwenyewe. Jamaa kasema ukweli. Na mimi nakazia. Ukiona una gari halafu kununua mafuta au spare kunakufanya uwe na ''ugonjwa wa moyo'' basi ulikuwa huko tayari ki-uwezo kununua gari. Haijalishi kama ni shida au hitaji fulani la lazima lililokufanya ukanunua!
 
Sio wote wanaonunua magari wako vizuri au wana uwezo sana, kuna sababu tu mbalimbali zinafanya mtu ulazimike kuwa na gari.

Mbona fresh tu,nadhani mtoa mada alikuwa na lengo la kusifia urahisi wa kumiliki gari ya toyota,hata ikitokea mambo yamekuwa magumu unaweza kutatua tatizo la kiufundi kwa hela kidogo.

Tuache kujikweza bila sababu za msingi wakuu.una magari mengi .... si vibaya safi sana....
umemjibu vizuri huyo mshamba
 
Unaposema tu Toyota unakua hujaeleweka,lazima uwe specific unaongelea gari ipi hasa?

Maana hata Land cruiser V8 ni Toyota pia.
Huna gari wewe,wenye magari au wazoefu wa magari wamemuelewa kwa mapana,

Kwamba gari za kampuni ya TOYOTA, haswa hizi za watu wa kawaida, spare zake Ni cheap na zipo nyingi, hata hizo V8 kampuni ya TOYOTA, spare zake pia zipo za kumwaga
 
Huna gari wewe,wenye magari au wazoefu wa magari wamemuelewa kwa mapana,

Kwamba gari za kampuni ya TOYOTA, haswa hizi za watu wa kawaida, spare zake Ni cheap na zipo nyingi, hata hizo V8 kampuni ya TOYOTA, spare zake pia zipo za kumwaga
Ndio umeandika nini wewe hamnazo? Gari unaona ni kitu kikubwa sana mpaka chakutokuamini?

Wewe unajua mimi naishi wapi mpaka mtu akitaja spare ya elfu 5 nijue ni gari gani?

Acha kukariri maisha,jf ni international forums.
 
Back
Top Bottom