Chaliifrancisco JF-Expert Member Joined Jan 17, 2015 Posts 26,021 Reaction score 79,710 Sep 6, 2022 #21 Yanga, Simba na CCM ndio vyanzo vya kudorora kwa hii nchi katika kila sekta.
Dr Matola PhD JF-Expert Member Joined Oct 18, 2010 Posts 60,050 Reaction score 104,466 Sep 6, 2022 #22 Amazon2 said: Huwa nauliza mara kwa mara huyu Karia aliokotwa wapi? Click to expand... Ni Msomali hawezi kuwa na uchungu na Tanzania. Attachments FB_IMG_1661706022810.jpg 42.7 KB · Views: 4
Amazon2 said: Huwa nauliza mara kwa mara huyu Karia aliokotwa wapi? Click to expand... Ni Msomali hawezi kuwa na uchungu na Tanzania.
V vibesen xxx JF-Expert Member Joined Jul 23, 2022 Posts 3,187 Reaction score 6,620 Sep 6, 2022 #23 Hizo ni siasa tu Karia ana mapungufu yake ila amefanya kazu nzuri
kabila01 JF-Expert Member Joined Apr 21, 2009 Posts 4,235 Reaction score 4,964 Sep 6, 2022 #24 TFF imenifanya niache kabisa kuifuatilia Taifa stars. Yaani saizi hata ikifungwa roho hainiumi kabisa
TFF imenifanya niache kabisa kuifuatilia Taifa stars. Yaani saizi hata ikifungwa roho hainiumi kabisa
Alexander Lukashenko JF-Expert Member Joined Sep 9, 2017 Posts 4,140 Reaction score 9,667 Sep 6, 2022 #25 fullcup said: Mwakinyo aliongopa Sasa itamghalimu maana uchunguzi utafanyika Ili kubaini Kama kweli kiatu kilifanya ashindwe katika pambano Click to expand... Atachunguzwa na nani? Na mtamfanya nini? Nini matumizi ya huo Uchunguzi.....
fullcup said: Mwakinyo aliongopa Sasa itamghalimu maana uchunguzi utafanyika Ili kubaini Kama kweli kiatu kilifanya ashindwe katika pambano Click to expand... Atachunguzwa na nani? Na mtamfanya nini? Nini matumizi ya huo Uchunguzi.....
kabila01 JF-Expert Member Joined Apr 21, 2009 Posts 4,235 Reaction score 4,964 Sep 6, 2022 #26 vibesen xxx said: Hizo ni siasa tu Karia ana mapungufu yake ila amefanya kazu nzuri Click to expand... labda kwenye timu za wanawake
vibesen xxx said: Hizo ni siasa tu Karia ana mapungufu yake ila amefanya kazu nzuri Click to expand... labda kwenye timu za wanawake
K kolola JF-Expert Member Joined Apr 26, 2020 Posts 7,185 Reaction score 9,425 Sep 6, 2022 #27 fullcup said: Mwakinyo aliongopa Sasa itamghalimu maana uchunguzi utafanyika Ili kubaini Kama kweli kiatu kilifanya ashindwe katika pambano Click to expand... Hakuongopa ila alidanganya. Mhuni hujibiwa kihuni si kistaarabu, Mwakinyo ni Mhuni
fullcup said: Mwakinyo aliongopa Sasa itamghalimu maana uchunguzi utafanyika Ili kubaini Kama kweli kiatu kilifanya ashindwe katika pambano Click to expand... Hakuongopa ila alidanganya. Mhuni hujibiwa kihuni si kistaarabu, Mwakinyo ni Mhuni