Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo msamehe bure umri umeenda ameanza kuchanganyikiwaNaona umeanzisha mada na kujichangia mwenyewe...
Kwasasa hii sio habari ya mjini ...ishu hot ni kwenye mawakala na kulinda kura
Nilichokiona watu wengi wameenda mapema sana kupiga kura na kuondokaMwamko sio mkubwa kwa wapiga kura!Kituo nilichoenda kupiga kura nilikuwa mwenyewe tu!
Unalindaje kura kwa mfano.....Naona umeanzisha mada na kujichangia mwenyewe...
Kwasasa hii sio habari ya mjini ...ishu hot ni kwenye mawakala na kulinda kura
Ninacho Subiria ni Kuapishwa tu Kwa Magufuli
Nilichokiona watu wengi wameenda mapema sana kupiga kura na kuondoka
Mawakala wetu wengi wamefukuzwa vituoni
Hilo kamuuzi baba ako, mimi nimetimiza wajibu wangu. Shame on youWanaondokaje wakati lissu alisema tulinde kura?
Kuna Mawakala wengine wa Upinzani wamechukuliwa jana usiku na Mapolisi mpaka Leo wako PolisiLissu alishasema hiko kituo hakuna kura kupigwa. Inakuwaje tena mnakuja kulalama humu?
Hatimaye nimetumia Kitambulisho cha Utaifa kupiga kura. Hii ndio demokrasia na maendeleo ya kweli.
Haki ya kuchagua na kuchaguliwa imeongezewa uwigo.
Hatimaye nimetumia Kitambulisho cha Utaifa kupiga kura. Hii ndio demokrasia na maendeleo ya kweli.
Haki ya kuchagua na kuchaguliwa imeongezewa uwigo.
As inferred from lows in your cover name, eugenics rule you and the likes of you squarely off of any possible propagation of your progeny. Ever so disgusting!Hatimaye nimetumia Kitambulisho cha Utaifa kupiga kura. Hii ndio demokrasia na maendeleo ya kweli.
Haki ya kuchagua na kuchaguliwa imeongezewa uwigo.
Nikweli kabisa muamko umekua mdogo sana sana, kituo nilichopigia kura leo ndio hicho hicho nilichopigia kura 2015 kwakweli hali niliyoikuta leo imenishangaza sana nilitarajia kukuta msurulu mrefu kama ilivyokua 2015 lkn leo nimeenda majira ya saanne asubuhi sijakuta foleni hata yawatu wawili yn ndani kulikua najamaa mmoja tu anaepiga kura bas nikamsubiri akatoka nami nikaingia nikapiga kura nikaondoka kwakweli nimeshangaa sana nimekuja kumsimulia jamaa yangu mmoja hapa anasema wapiga kura wengi wapo kijijini mjini watu wanamambo yao mengi; HIVI NIKWELI?Mwamko sio mkubwa kwa wapiga kura!Kituo nilichoenda kupiga kura nilikuwa mwenyewe tu!