Uchaguzi 2020 Asante Serikali kwa maandalizi bora ya Uchaguzi 2020

Uchaguzi 2020 Asante Serikali kwa maandalizi bora ya Uchaguzi 2020

Nashukuru nimemalizana na genge haramu la ccm. Ukweli umezidi kudhihirika kuwa idadi ya wapiga kura 29m+ ni idadi ya kupika. Idadi ya wapiga kura ni chache kuliko maelezo. Nawapongeza watanzania kwa kupuuza zoezi la kupiga kura kwani limetawaliwa na ghiliba kupitia ccm, tume ya uchaguzi na serekali. Hii maana yake ni kuwa tutakuwa na viongozi walioko kisheria, lakini wasio na uhalali wa umma. Hakuna uwezekano wa wapiga kura kufika 15m. Hongera watanzania kwa kupuuza dhuluma.
kura.jpg
 
Nikweli kabisa muamko umekua mdogo sana sana, kituo nilichopigia kura leo ndio hicho hicho nilichopigia kura 2015 kwakweli hali niliyoikuta leo imenishangaza sana nilitarajia kukuta msurulu mrefu kama ilivyokua 2015 lkn leo nimeenda majira ya saanne asubuhi sijakuta foleni hata yawatu wawili yn ndani kulikua najamaa mmoja tu anaepiga kura bas nikamsubiri akatoka nami nikaingia nikapiga kura nikaondoka kwakweli nimeshangaa sana nimekuja kumsimulia jamaa yangu mmoja hapa anasema wapiga kura wengi wapo kijijini mjini watu wanamambo yao mengi; HIVI NIKWELI?

NASHAURI WASIOENDA HADI SASAHIV WAENDE WAKAPIGE KURA WANDUGU
Watu waliwahi mapema na wameenda nyumbani
 
Mnajisifu kufanya uchaguzi kwa fedha za ndani kumbe mlijiandaa kujaza kura feki mapema kwenye vituo ndio maana mkakataa misaada toka nje, mabeberu wangetaka kuona upigaji kura unavyokwenda, nyie ni wahuni.
 
Kafanyeni wenu kwa pesa za nje
Mnajisifu kufanya uchaguzi kwa fedha za ndani kumbe mlijiandaa kujaza kura feki mapema kwenye vituo ndio maana mkakataa misaada toka nje, mabeberu wangetaka kuona upigaji kura unavyokwenda, nyie ni wahuni.
 
Back
Top Bottom