Unaonekana hata soda hunywi, kibatari wewe700?
Imepanda lini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaonekana hata soda hunywi, kibatari wewe700?
Imepanda lini?
SawaSoda ambayo kipindi kifupi kilichopita tuliuziwa sh. 500 sasa ni sh. 700.
Kwa hesabu za harakahara hapa kuna ongezeko la sh. 200 ambayo ni asilimia 40% ya sh. 500.
Ni kweli production costs zimeongezeka kwa 40% au ni mwanya tu wajanja wanautumia kutengeneza fedha watoto wao wapelekwe chekechea za Kiingereza bila maumivu?
Akidakwa na afandeKama soda imekushnda nenda kanywe gongo ni 500 tu,haijawahi panda bei
😂😂😂 Kinywaji changu kikubwa ni Maji mkuu Canadian ya 500 ndio Maji yangu pendwaUnaonekana hata soda hunywi, kibatari wewe
Mkuu gongo sio bangi kwamba unaa kichakani wanywaji wagongo wanakaa varandani au sebleni,nenda kawaulze polisi mara ya mwisho kumkamata muuza gongo liniAkidakwa na afande
700?
Imepanda lini?
Hivi ina Vitamin gani?Soda
Mwigulu huyoSoda ambayo kipindi kifupi kilichopita tuliuziwa sh. 500 sasa ni sh. 700.
Kwa hesabu za harakahara hapa kuna ongezeko la sh. 200 ambayo ni asilimia 40% ya sh. 500.
Ni kweli production costs zimeongezeka kwa 40% au ni mwanya tu wajanja wanautumia kutengeneza fedha watoto wao wapelekwe chekechea za Kiingereza bila maumivu?
Maji ya pangani, hill water yamepotelea wapi? sasa hivi imejazana mimaji ya afya na ni ya hovyo kuwahi kutokea nchi hii...[emoji57][emoji23][emoji23][emoji23] Kinywaji changu kikubwa ni Maji mkuu Canadian ya 500 ndio Maji yangu pendwa
Bado kuna wabishi watakunywa tu, ni asili ya Binadamu kung'ang'ana na kitu anachotaka hata kama si kizuri kiafya kama wanavyofakamia kitimoto [emoji1787]Kumbe bei bado iko chini hvyo!!, natarajia ifikie ml350 =tsh.2000/
Hajali sio hata tu kutafta safari wananchi sio sehemu ya majukumu yake.Hii nchi hata cjui inaelekea wapii
Itaishia pabaya Sana Yan Maza yeye
Anataka Tu pesa za kuzunguka
Worldwide huku wananchi wakiteseka