Asante Serikali, soda imepanda kwa 40%

Wangeweka Buku tu,ili wasiangaike kutafuta chenji ya mia tatu kwa Buku.
 
Sawa
 
Mwigulu huyo
 
Kumbe bei bado iko chini hvyo!!, natarajia ifikie ml350 =tsh.2000/
 
Hii nchi hata cjui inaelekea wapii
Itaishia pabaya Sana Yan Maza yeye
Anataka Tu pesa za kuzunguka
Worldwide huku wananchi wakiteseka
Hajali sio hata tu kutafta safari wananchi sio sehemu ya majukumu yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…