Asante Serikali, soda imepanda kwa 40%

Wanywa soda bar tunanunua chupa moja buku siku nyingi sana.
 
Mbona sehemu nyingine za starehe soda inauzwa buku toka kitambo

Kama vipi kunywa juice cola au u fresh za watoto zile
 
 
Anaupiga mwingi
 
Hapana wholesaler wamepandisha.
 
Nikiwa na hamu ya kitu chenye sukari napiga juice ya miwa tu
 
Tuache soda tunywe tongwa,huwa naweza nikamaliza mwaka sijui ladha ya soda
 
Faida ya bidhaa kwa rejareja huwa ni ndogo.
Wale wa jumla wakipandisha buku au jero, inawaua sana huku chini nao wanakua hawana budi kupandisha 100 au 200 kufix kale kafaida.

Na huwa hawapandishi kiholela kama unavyodhani coz nao wanaumia kwasababu wateja wao wengi ni watu wa hali ya chini hivyo bei ikiwa juu wanashindwa kuafford na wateja hawanunui.
 
Bi Mkubwa anaupiga mwingi.

Mitano tena kwake🤣🤣🤣
 
Kama soda imekushnda nenda kanywe gongo ni 500 tu,haijawahi panda bei

Sio kwamba soda imemshinda analalamikia mfumuko wa Bei. Kutoka 500 Hadi 700 ni hatari mpaka mwisho wa mwaka itakuwa 1000, thamani ya pesa itashuka na uwezo wa kununua kwa wateja itashuka pia na viwanda kupata hasara na mwishoe kupunguza wafanyakazi.
 
CM 1774858 anasema taarifa aina hii ni uzandiki.

CCM imeleta maendeleo na mama anaipaisha nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…