Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Ukishindwa kulewa kwa awamu hii basi ujue huna bahatiDuh!
sasa ndiyo wameitikia mwito wa chadema kupunguza makali?Kongole kwa Serikali sikivu, imetukumbuka kwenye Kutii kiu yako slogan! Na wapenguza pakubwa kweli kwa Vinywaji vyote kuanzia Wine π· hadi juice π§.
Wanajua hii nchi kipaumbele chetu ni starehe, kwahio hawawezi kufanya KAZI masuala ya msingi kama mafuta, bei ya umeme, miundo mbinu, Ada za vyuo n.k
Aliyeshauri wapunguze Huko basi kawashauri Vibaya Sana, Vijana wanateketea kwa pombe. Punguzeni bei ya BANDO ili Vijana wengi zaidi waingie online kufanya KAZI na masomo kwa internet. Kipaumbele cha Vijana ni Elimu mtandao na KAZI mtandao sio POMBE
View attachment 2895940
Vile visungura vikishuka bei, vitaua watu. Hii sekta ya pombe na pombe kali ina maokoto mengi mno. Ndio maana viwanda vya pombe kali vinaota kama uyoga.Ukishindwa kulewa kwa awamu hii basi ujue huna bahati
Natamani nifungue cha Kwangu, nasikia ni gharama ndogo tuVile visungura vikishuka bei, vitaua watu. Hii sekta ya pombe na pombe kali ina maokoto mengi mno. Ndio maana viwanda vya pombe kali vinaota kama uyoga.
Weeeeeeeesasa ndiyo wameitikia mwito wa chadema kupunguza makali?
Nunua kiwanja tu, jenga godown, au kodi godown, mengine yatajiseti tu. Malighafi zinatoka kwenye viwanda vya sukari. Flavor na mitambo vinaagizwa china.Natamani nifungue cha Kwangu, nasikia ni gharama ndogo tu
Shukrani Sana sanaNunua kiwanja tu, jenga godown, au kodi godown, mengine yatajiseti tu. Malighafi zinatoka kwenye viwanda vya sukari. Flavor na mitambo vinaagizwa china.
Mashine inafyatua na kupack. Hapo ni kujipanga kwenye marketing ya kuitangaza pombe yako.
Mkuu nenda Site kafanye kwa vitendo, agiza Bucket πͺ£ utaletewa mzigo wa kutoshaKwaiyo castle lite itauzwa bei gani wakuu
Sawa , Una jingine labda??Itapunguza matumizi ya mbege
Kwako Benjamin Netanyahu wa Ufipa st π
Mkuu niambie nijipange kbcMkuu nenda Site kafanye kwa vitendo, agiza Bucket πͺ£ utaletewa mzigo wa kutosha
Lingine ni kuendelea kunywa tu Bwashee πSawa , Una jingine labda??
Barikiwa sana kwa hili neno la MunguMithali 31: 6-7
Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea;
Kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini.
7Anywe akausahau umaskini wake;
Asiikumbuke tena taabu yake.
Amen π ndio Serikali inatimiza maandikoBarikiwa sana kwa hili neno la Mungu
Ukiona hivyo, elewa kuna mkubwa kaingia kwenye hiyo biashara.Kongole kwa Serikali sikivu, imetukumbuka kwenye Kutii kiu yako slogan! Na wapenguza pakubwa kweli kwa Vinywaji vyote kuanzia Wine [emoji485] hadi juice π§.
Wanajua hii nchi kipaumbele chetu ni starehe, kwahio hawawezi kufanya KAZI masuala ya msingi kama mafuta, bei ya umeme, miundo mbinu, Ada za vyuo n.k
Aliyeshauri wapunguze Huko basi kawashauri Vibaya Sana, Vijana wanateketea kwa pombe. Punguzeni bei ya BANDO ili Vijana wengi zaidi waingie online kufanya KAZI na masomo kwa internet. Kipaumbele cha Vijana ni Elimu mtandao na KAZI mtandao sio POMBE
View attachment 2895940