Mbona hakufanya upuuzi wa kutemnelea huko wakati wa mwendazaki.Huo ni upuuzi wa hali ya juu maana waziri hapo hakufanya hisani.
Huo ni wajibu wake alafu bila aibu eti unamshukuru?
Punguzeni ukazuzu ndugu hiyo ni haki yenuMbona hakufanya upuuzi wa kutemnelea huko wakati wa mwendazaki.
Think outside the box.
Sijui kwa nini mnakuwa wajinga wajinga kuelewa.Punguzeni ukazuzu ndugu hiyo ni haki yenu
Nimeamini jina alilo wabatiza Jiwe kuwa nyinyi ni wanyonge hakukosea kabisa.Sijui kwa nini mnakuwa wajinga wajinga kuelewa.
Sasa niambie kwa nini Magufuli alipaona Mbeya, Bukoba na Moshi vituo vya polisi.
Na haki ilikuwa pale pale.
vipi, amewaletea hela kyusa?Waziri Mkuu asante kwa kuwa mgeni wetu, Mbeya.
Mgeni akikutembelea lazima watoto watapona.
Mara ya mwisho Kassim Majaliwa kuja Tukuyu tunakumbuka sana, ilikuwa kuiwakilisha serikali wakati ule alipouwawa John Mwankenja, Mwenyekiti wa CCM Rungwe.
Kassim Majaliwa wakati huo alikuwa Waziri Mdogo TAMISEMI.
Hatutaisahsu faraja aliyoitoa wakati ule.
Lakini zito zaidi ni Waziri Mkuu kuvunja "taboo" ya viongozi wa serikali kutoitembelea Mbeya kwa muda mrefu.
Sisi wananchi tunapata faraja katika hili la kuanza kutembelewa na viongozi wa juu kiserikali.
Mungu awabariki.
Ee bwana sikujua una low thinking capacity.Nimeamini jina alilo wabatiza Jiwe kuwa nyinyi ni wanyonge hakukosea kabisa.
Yaani leo hii umasikini unawafanya muone kutembelewa na waziri ni hisani?
Hamjui kuwa nyinyi ndiyo waajiri wa huyo waziri? Kodi zenu ndiyo zinatumika kumlipa mshahara huyo.
Haijalishi ilimradi mimi najitambua siwezi kujiita MNYONGEEe bwana sikujua una low thinking capacity.
Soma vizuri uelewe mada , twist ya kusema unyonge ni ya kwako.Haijalishi ilimradi mimi najitambua siwezi kujiita MNYONGE
Unayekubali kuitwa mnyonge basi wewe ni mzigo kwa watanzaniaSoma vizuri uelewe mada , twist ya kusema unyonge ni ya kwako.
Vyuo mlivyosoma vina matatizo.
Nyie msio na haya, upuuzi wa Chato ndo hamkuuona, au?Huo ni upuuzi wa hali ya juu maana waziri hapo hakufanya hisani.
Huo ni wajibu wake alafu bila aibu eti unamshukuru?
Kawaulize wana chato wenzenuNyie msio na haya, upuuzi wa Chato ndo hamkuuona, au?
Nani kakwambia siasa ni nyimbo za kanisani?Mbeya na CCM mna unafiki na wala hamna upendo wa dhati kati yenu
Nyie ndo Chato Combine, mna uwanja lakini ndege zatua Mwanza.Kawaulize wana chato wenzenu
Ha ha ha!Nahisi mleta mada ni katelephone mwenyewe.
Sasa inakuwaje unawapigia magoti waliowatelekeza miaka yote hayo? Tena unawashukuru kabisa.....Daah!Huelewi waliyopitia wananchi wa Mbeya katika miaka ya karibuni.
Pole ndugu nakuona hapa wewe ni mgeni sana hadi unanivika usukuma gang.Nyie ndo Chato Combine, mna uwanja lakini ndege zatua Mwanza.
Sijui linyak la wapi wewe?. Kuna maana gani katika hilo?Waziri Mkuu asante kwa kuwa mgeni wetu, Mbeya.
Mgeni akikutembelea lazima watoto watapona.
Mara ya mwisho Kassim Majaliwa kuja Tukuyu tunakumbuka sana, ilikuwa kuiwakilisha serikali wakati ule alipouwawa John Mwankenja, Mwenyekiti wa CCM Rungwe.
Kassim Majaliwa wakati huo alikuwa Waziri Mdogo TAMISEMI.
Hatutaisahsu faraja aliyoitoa wakati ule.
Lakini zito zaidi ni Waziri Mkuu kuvunja "taboo" ya viongozi wa serikali kutoitembelea Mbeya kwa muda mrefu.
Sisi wananchi tunapata faraja katika hili la kuanza kutembelewa na viongozi wa juu kiserikali.
Mungu awabariki.