Asanteeee Baba Mwenye nyumba wangu (landlord)

Asanteeee Baba Mwenye nyumba wangu (landlord)

Usawa ni kutofautiana,

Kuna watu humu ukiondoa laki laki kwenye kodi ya kila mwezi tutaishi bure kabisa!

Mzee ashukuriwe, inabidi kama kuna mtu amepiga tafu kwenye hiyo kodi na yeye umrudishie.
 
dah kusikia kodi moyo umefanya paah itabd nimpelekee uzi huu landlord wangu nae auone japo na yeye anifikirie fikirie
 
dah kusikia kodi moyo umefanya paah itabd nimpelekee uzi huu landlord wangu nae auone japo na yeye anifikirie fikirie

Do that Boniface usawa mgumu huu amenifaa huyu baba wee acha tu [emoji12][emoji12][emoji12]
 
Do that Boniface usawa mgumu huu amenifaa huyu baba wee acha tu [emoji12][emoji12][emoji12]
bas na mim nifae hata ka fifty tu kwenye kale ka laki ka landlord si unajua ule mwimbo wa toa ndugu toa....🙂🙂🙂🙂
 
Hahaaa tena katoa mpaka ya mwakani ili uendelee kuwepo tu
 
bas na mim nifae hata ka fifty tu kwenye kale ka laki ka landlord si unajua ule mwimbo wa toa ndugu toa....🙂🙂🙂🙂[/


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]inaenda kuziba mipasuko, nyufa na mitaro iliyosababisha maana hali ilikuwa mbaya Sana ndugu yangu we usiseme Hadi hapa saa hizi naona Kama naota vile
 
ha ha ha ha haya mama hongera zako sana
 
Jamani Leo nimefurahi Sana wana JF maana baba mwenye nyumba (landlord) amenishushia kodi ya pango . Ukweli huyu mtu niliyepanga nyumba kwake niseme ni muungwana Sana zaidi ya nilivyodhani. Nilishagundua Ni muungwana na ana utu ila sikutegemea Kama angefikiria hadi kwenye hili .

Nimempigia simu Leo asubuhi anipe maelekezo ya account namba Kama zime badilika au zile zile kabla sijaweka mzigo wake wa mahela tarehe yangu ya kulipa Ni tar 12 ila nimeona bora Leo nifanye muamala kisha nianze kujibana mkanda maana utete wa hii hali ngumu. Sikuamini maskio yangu akaniambia "
mwanangu najua hali sio Hali " nikajidai ndio baba baba yangu nimeona niweke mapema maana kuna eid inakuja unaweza kuwa Unataka kuchinja " ka mbuzi" [emoji13][emoji13][emoji13]

Akasema unaweka ya mwaka mzima nikamwambia mwaka akauliza inakuwa sh ngapi nikamtajia . Akasema sasa ondoa kila mwezi laki laki Halafu nipe hesabu nikapiga hesabu ya kichwa nikampa jibu akasema sasa mama Kwa mwaka huu na mwakani ondoa laki nakupunguzia mama najua hali ngumu nawewe Safari Safari zile siku hizi huna huko mbeleni tukiwa hai mambo yakiwa safi tutarudi kwenye kawaida so Kwa mwaka huu na mwakani punguzo hilo hapo sawa mwanangu " yaani sikuamini misikio yangu loooh akasema ukienda ofisini kwako uprinti mikataba kabisaa uniletee tusign

Mungu akizidishie mali zaidi baba wewe maana unazo za kutosha na kutoa Kwa kufikiria uchumi mgumu Kwa wapangaji wako. Asanteeeee baba mwenye nyumba
Kanunue toffali zako sasa kwa punguzo hilo
 
Jamani Leo nimefurahi Sana wana JF maana baba mwenye nyumba (landlord) amenishushia kodi ya pango . Ukweli huyu mtu niliyepanga nyumba kwake niseme ni muungwana Sana zaidi ya nilivyodhani. Nilishagundua Ni muungwana na ana utu ila sikutegemea Kama angefikiria hadi kwenye hili .

Nimempigia simu Leo asubuhi anipe maelekezo ya account namba Kama zime badilika au zile zile kabla sijaweka mzigo wake wa mahela tarehe yangu ya kulipa Ni tar 12 ila nimeona bora Leo nifanye muamala kisha nianze kujibana mkanda maana utete wa hii hali ngumu. Sikuamini maskio yangu akaniambia "
mwanangu najua hali sio Hali " nikajidai ndio baba baba yangu nimeona niweke mapema maana kuna eid inakuja unaweza kuwa Unataka kuchinja " ka mbuzi" [emoji13][emoji13][emoji13]

Akasema unaweka ya mwaka mzima nikamwambia mwaka akauliza inakuwa sh ngapi nikamtajia . Akasema sasa ondoa kila mwezi laki laki Halafu nipe hesabu nikapiga hesabu ya kichwa nikampa jibu akasema sasa mama Kwa mwaka huu na mwakani ondoa laki nakupunguzia mama najua hali ngumu nawewe Safari Safari zile siku hizi huna huko mbeleni tukiwa hai mambo yakiwa safi tutarudi kwenye kawaida so Kwa mwaka huu na mwakani punguzo hilo hapo sawa mwanangu " yaani sikuamini misikio yangu loooh akasema ukienda ofisini kwako uprinti mikataba kabisaa uniletee tusign

Mungu akizidishie mali zaidi baba wewe maana unazo za kutosha na kutoa Kwa kufikiria uchumi mgumu Kwa wapangaji wako. Asanteeeee baba mwenye nyumba
Mtunzi wa hadithi wa chandomo.
 
Back
Top Bottom