Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
all the timeGod is good [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
in everything
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
all the timeGod is good [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Nahisi kuna watu wanafaidi sana kwa huu uongoz wa magu kubana matumizhongera sana
mimi boss kanihamishia nyumbani kwake
magufuli akibana huku Mungu anaachia huku
Good idea [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wenye nyumba wengine bhana....
Kwa hesabu za harakaharaka binti kashahongwa 1.2m.
Khaaaa!!
atakuwa mchaga huwa wana huruma mnoHuyo mwenye nyumba mtu wa wapi i.e. kabila......??
Unaishi hapa hapa dar au bush huko ?? Tehe
Dah... sixpacks zao wanaula wa chuya. Wanabaki kuwa mabaunsa kwenye kumbi za starehe...Wazee kitu easy hiko
huku vijana wako busy gym kutafuta sixpack...
kumbe mzee keshamaliza mchezo siku nyingi
Jamani Leo nimefurahi Sana wana JF maana baba mwenye nyumba (landlord) amenishushia kodi ya pango . Ukweli huyu mtu niliyepanga nyumba kwake niseme ni muungwana Sana zaidi ya nilivyodhani. Nilishagundua Ni muungwana na ana utu ila sikutegemea Kama angefikiria hadi kwenye hili .
Nimempigia simu Leo asubuhi anipe maelekezo ya account namba Kama zime badilika au zile zile kabla sijaweka mzigo wake wa mahela tarehe yangu ya kulipa Ni tar 12 ila nimeona bora Leo nifanye muamala kisha nianze kujibana mkanda maana utete wa hii hali ngumu. Sikuamini maskio yangu akaniambia "
mwanangu najua hali sio Hali " nikajidai ndio baba baba yangu nimeona niweke mapema maana kuna eid inakuja unaweza kuwa Unataka kuchinja " ka mbuzi" [emoji13][emoji13][emoji13]
Akasema unaweka ya mwaka mzima nikamwambia mwaka akauliza inakuwa sh ngapi nikamtajia . Akasema sasa ondoa kila mwezi laki laki Halafu nipe hesabu nikapiga hesabu ya kichwa nikampa jibu akasema sasa mama Kwa mwaka huu na mwakani ondoa laki nakupunguzia mama najua hali ngumu nawewe Safari Safari zile siku hizi huna huko mbeleni tukiwa hai mambo yakiwa safi tutarudi kwenye kawaida so Kwa mwaka huu na mwakani punguzo hilo hapo sawa mwanangu " yaani sikuamini misikio yangu loooh akasema ukienda ofisini kwako uprinti mikataba kabisaa uniletee tusign
Mungu akizidishie mali zaidi baba wewe maana unazo za kutosha na kutoa Kwa kufikiria uchumi mgumu Kwa wapangaji wako. Asanteeeee baba mwenye nyumba
wanatuhurumia tu mkuuNahisi kuna watu wanafaidi sana kwa huu uongoz wa magu kubana matumiz
atakuwa mchaga huwa wana huruma mno
hahahahaha swettie mangiiHahaha maana sio kwa mteremko huo sweet mangi. [emoji23][emoji23]
Wewe ni me au ke?Jamani Leo nimefurahi Sana wana JF maana baba mwenye nyumba (landlord) amenishushia kodi ya pango . Ukweli huyu mtu niliyepanga nyumba kwake niseme ni muungwana Sana zaidi ya nilivyodhani. Nilishagundua Ni muungwana na ana utu ila sikutegemea Kama angefikiria hadi kwenye hili .
Nimempigia simu Leo asubuhi anipe maelekezo ya account namba Kama zime badilika au zile zile kabla sijaweka mzigo wake wa mahela tarehe yangu ya kulipa Ni tar 12 ila nimeona bora Leo nifanye muamala kisha nianze kujibana mkanda maana utete wa hii hali ngumu. Sikuamini maskio yangu akaniambia "
mwanangu najua hali sio Hali " nikajidai ndio baba baba yangu nimeona niweke mapema maana kuna eid inakuja unaweza kuwa Unataka kuchinja " ka mbuzi" [emoji13][emoji13][emoji13]
Akasema unaweka ya mwaka mzima nikamwambia mwaka akauliza inakuwa sh ngapi nikamtajia . Akasema sasa ondoa kila mwezi laki laki Halafu nipe hesabu nikapiga hesabu ya kichwa nikampa jibu akasema sasa mama Kwa mwaka huu na mwakani ondoa laki nakupunguzia mama najua hali ngumu nawewe Safari Safari zile siku hizi huna huko mbeleni tukiwa hai mambo yakiwa safi tutarudi kwenye kawaida so Kwa mwaka huu na mwakani punguzo hilo hapo sawa mwanangu " yaani sikuamini misikio yangu loooh akasema ukienda ofisini kwako uprinti mikataba kabisaa uniletee tusign
Mungu akizidishie mali zaidi baba wewe maana unazo za kutosha na kutoa Kwa kufikiria uchumi mgumu Kwa wapangaji wako. Asanteeeee baba mwenye nyumba
Yes beib.hahahahaha swettie mangii
Kwahiyo ukulipa yote kama tulivyoaidiana? Nirushie kwa mpesa ile ile inayoishia na 34[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]watu mna Maneno Jamani
Kwahiyo ukulipa yote kama tulivyoaidiana? Nirushie kwa mpesa ile ile inayoishia na 34