denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Ikitokea hii utakuwa ni ushamba wa wachezaji tu.Binafsi nahisi tutafungwa Magoli mengi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikitokea hii utakuwa ni ushamba wa wachezaji tu.Binafsi nahisi tutafungwa Magoli mengi.
Nimejikuta nakua muoga tu kuhusiana na matokeo ya mechi na Berkane hasa ukizingatia performance ya kwenye ligi na makosa ambayo hufanywa na walinzi wa kati wa SSCSioni tatizo maana hao washindani wake watakuwa wanauana ugenini wakati Simba akiwa na mechi mbili mfululizo nyumbani. Ambazo akishinda zote safari imeendelea
Sasa ukisema ni mpaka aIshinde nami nitakuuliza kwanini wewe utabiri simba atafungwa kesho?
Mpira sio ramli....
Nani kakudanganya? Kolo alitakiwa ashinde Niger kwa wale vibonde sare imemuharibia kwa kuwa wale watapigwa na kila timuSioni tatizo maana hao washindani wake watakuwa wanauana ugenini wakati Simba akiwa na mechi mbili mfululizo nyumbani. Ambazo akishinda zote safari imeendelea
Sasa ukisema ni mpaka aIshinde nami nitakuuliza kwanini wewe utabiri simba atafungwa kesho?
Mpira sio ramli....
Hakuna kibonde, kila timu inaweza kufuzuNani kakudanganya? Kolo alitakiwa ashinde Niger kwa wale vibonde sare imemuharibia kwa kuwa wale watapigwa na kila timu
Kila ID anayokuja nayo anakula umemeHuyu mbuzi anabadilisha majina ya ID yake kama boxer.
Simba atafungwa si chini ya goli 5