ho gera sana mkuu.....mwanzo mzurWadau nilileta uzi humu wa kuomba ushauri kuhusu ni gari gani nianze nayo. Wengi mlinishauri maoni mbalimbali na sasa namshukuru Mungu nimefanikiwa kununua Nissan Duals cc 2000 kutoka Japan. Niliagiza mwenyewe hlf nikatafuta wakala wa kuitoa bandarini wala hapakuwa na usumbufu wowote.
Imenigharimu karibia 22MilView attachment 2196395
Hongera sana.Wadau nilileta uzi humu wa kuomba ushauri kuhusu ni gari gani nianze nayo. Wengi mlinishauri maoni mbalimbali na sasa namshukuru Mungu nimefanikiwa kununua Nissan Duals cc 2000 kutoka Japan. Niliagiza mwenyewe hlf nikatafuta wakala wa kuitoa bandarini wala hapakuwa na usumbufu wowote.
Imenigharimu karibia 22MilView attachment 2196395
Hongera sana mkuu mkuu. Kwa mahitaji ya spare parts hasa body parts nicheck mkuu.Wadau nilileta uzi humu wa kuomba ushauri kuhusu ni gari gani nianze nayo. Wengi mlinishauri maoni mbalimbali na sasa namshukuru Mungu nimefanikiwa kununua Nissan Duals cc 2000 kutoka Japan. Niliagiza mwenyewe hlf nikatafuta wakala wa kuitoa bandarini wala hapakuwa na usumbufu wowote.
Imenigharimu karibia 22MilView attachment 2196395
hongeraWadau nilileta uzi humu wa kuomba ushauri kuhusu ni gari gani nianze nayo. Wengi mlinishauri maoni mbalimbali na sasa namshukuru Mungu nimefanikiwa kununua Nissan Duals cc 2000 kutoka Japan. Niliagiza mwenyewe hlf nikatafuta wakala wa kuitoa bandarini wala hapakuwa na usumbufu wowote.
Imenigharimu karibia 22MilView attachment 2196395
MakiiiiHongera sana Mkuu...
Jf bana....🤣🤣🤣Mbona umepigwa hela ndefu hivyo? Niliagiza yangu kwa jumla 17m miaka mitatu iliyopita. Pengine yako Ina km chini ya elfu 20.
🤣🤣🤣🤣Jf bana....🤣🤣🤣
Kuna tatizo mkuu?Jf bana....🤣🤣🤣
Huyu kaingizwa town na watu huko.Hongera nyingi sana.
Lakini, hii kama imekuaghari kidogo
Mara nyingi ni 19.8mil pamoja na kodi etc.
But all in all, hongera.
Ni kweli ulisemalo ila kwasasa magari ya kuagiza yamepanda bei kutokana na production kuwa mdogo kuliko demand.Mbona umepigwa hela ndefu hivyo? Niliagiza yangu kwa jumla 17m miaka mitatu iliyopita. Pengine yako Ina km chini ya elfu 20.
Mbona umepigwa hela ndefu hivyo? Niliagiza yangu kwa jumla 17m miaka mitatu iliyopita. Pengine yako Ina km chini ya elfu 20.
Ndio mkuu, wana jf wapunguze wivu na ujuaji usio na tija.Kuna tatizo mkuu?
Maana, hiyo 22mil ni bei yakwenda kununulia yard ( showrrom ) bila shaka!Huyu kaingizwa town na watu huko.
Punguza wivu mkuu, ila kama weni Ke samahani nitakua nimeingilia matumizi ya jinsia yakoHuyu kaingizwa town na watu huko.