Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Unamaanisha kuwa bei itakuwa inapanda sana kwasababu hiyo??.Nissan dualis zinatoka sana, wabongo tuache kuigana, itakuwa kama ist & harrier soon tu.
Mkuu,Alphard inaweza kuwa bei ngapi??.Kwanza kutokana na tamko la waziri mkuu alilolitoa juzi Kati ya kwamba magari yanayopaswa kuingizwa hapa nchini yawe ni kuanzia 2010, sisi Kama kampuni tumeona ili tusijikute kwenye shida tumeamua kubadilisha utaratibu wa kuwaagizia wateja ambapo hivi sasa tunaagiza gari zenye umri wa miaka 10 tu tokea tarehe ya mwisho ya utengenezaji hivyo gari tunayoaagiza kwa hivi sasa ni Ile iliyotengenezwa kuanzia 2013 kuja juu na kwa premio hiyo unayoitaka andaa Tsh32.1 Millions
Amesema katumiz mil 22.
THINK OUT THE BOX
#YNWA
Ahahahaha Kiranga bwana...Sijakuuliza wewe.
I don't think outside the box.
I replace the spacetime the box is in with a Kaluza-Klein spacetime manifold on a string theory mapping of 32 x 234 matrix and Fourier transformation to the 11th spatial dimension an a backwards time direction.
Kayataka mwenyewe.Ahahahaha Kiranga bwana...
Kuanzia Feb 1 gharama zilipanda town ace pickup ilishoot toka 19/20 mpaka 23 bila kupepesa na from May hali itakuwa mbaya zaidiHongera nyingi sana.
Lakini, hii kama imekuaghari kidogo
Mara nyingi ni 19.8mil pamoja na kodi etc.
But all in all, hongera.
kwaheri mwalimuKwanza kutokana na tamko la waziri mkuu alilolitoa juzi Kati ya kwamba magari yanayopaswa kuingizwa hapa nchini yawe ni kuanzia 2010, sisi Kama kampuni tumeona ili tusijikute kwenye shida tumeamua kubadilisha utaratibu wa kuwaagizia wateja ambapo hivi sasa tunaagiza gari zenye umri wa miaka 10 tu tokea tarehe ya mwisho ya utengenezaji hivyo gari tunayoaagiza kwa hivi sasa ni Ile iliyotengenezwa kuanzia 2013 kuja juu na kwa premio hiyo unayoitaka andaa Tsh32.1 Millions
Kwa sasa hvi zimepanda sana TRA mwakajuzi January waliziongezea kodi na kama ni dualis ya 2010 na kuendelea hzo ndo bei zake , bei zipo mtandaoni unaangalia yenye km chache na mwaka CIF yake haipungua 4500Mbona umepigwa hela ndefu hivyo? Niliagiza yangu kwa jumla 17m miaka mitatu iliyopita. Pengine yako Ina km chini ya elfu 20.
Hivi kumbe mi mbea..!!Sijakuuliza wewe.
AmenI don't think outside the box.
Shule nilikimbia umande..!!!I replace the spacetime the box is in with a Kaluza-Klein spacetime manifold on a string theory mapping of 32 x 234 matrix and Fourier transformation to the 11th spatial dimension and a backwards time direction.
Punguza ujuaji na wivu.Hiii gari ni pasua kichwa, ndoa ya kikristo,kimeo, jini linyonya damu,shetani,kichomi,kifua kikuu na kila kitu .... Yaani subiri tu kidogo tukupatie namba za mafundi...
Maneno ya waswahili.
I think hujamuelewa maana mwisho ameandika kuwa ni maneno ya waswahili.Punguza ujuaji na wivu.
Mpe tu hongera then KAUSHA.
Haya alistahili kuambiwa kipindi anaenda kununua.
#YNWA
Mbea wewe unayedandia maswali ya watu wengine.Hivi kumbe mi mbea..!!
Amen
Shule nilikimbia umande..!!!
SIKU NJEMA.
#YNWA
Asingeweza kuelewa. Unajua mtu uelewa wake ukiwa ni below standard its hard to understand what i wrote.I think hujamuelewa maana mwisho ameandika kuwa ni maneno ya waswahili.
I'd be astonished if you would have understood the satirical tone in the text. Though i tried to make it easy down there. Still you failed to understand. Poor you.Punguza ujuaji na wivu.
Mpe tu hongera then KAUSHA.
Haya alistahili kuambiwa kipindi anaenda kununua.
#YNWA
Una mswaki wa 2NZ na ni bei gani?Hongera sana mkuu mkuu. Kwa mahitaji ya spare parts hasa body parts nicheck mkuu.
Yani unawapata serikali 7m nzima huu ni ujambazi
Mkuu hapo andaa 1.4m utapata.Una mswaki wa 2NZ na ni bei gani?
Wivu ni upi hapa?Punguza wivu.
Kwenye finance Kuna kitu kinaitwa "TIME VALUE FOR MONEY"
#YNWA