Asanteni JF kwa ushauri, tayari nimepata gari

Mkuu,Alphard inaweza kuwa bei ngapi??.
 
Amesema katumiz mil 22.
THINK OUT THE BOX

#YNWA

Sijakuuliza wewe.

I don't think outside the box.

I replace the spacetime the box is in with a Kaluza-Klein spacetime manifold on a string theory mapping of 32 x 234 matrix and Fourier transformation to the 11th spatial dimension and a backwards time direction.
 
Ahahahaha Kiranga bwana...
 
Hongera nyingi sana.

Lakini, hii kama imekuaghari kidogo
Mara nyingi ni 19.8mil pamoja na kodi etc.

But all in all, hongera.
Kuanzia Feb 1 gharama zilipanda town ace pickup ilishoot toka 19/20 mpaka 23 bila kupepesa na from May hali itakuwa mbaya zaidi
 
kwaheri mwalimu
 
Mbona umepigwa hela ndefu hivyo? Niliagiza yangu kwa jumla 17m miaka mitatu iliyopita. Pengine yako Ina km chini ya elfu 20.
Kwa sasa hvi zimepanda sana TRA mwakajuzi January waliziongezea kodi na kama ni dualis ya 2010 na kuendelea hzo ndo bei zake , bei zipo mtandaoni unaangalia yenye km chache na mwaka CIF yake haipungua 4500
 
Hiii gari ni pasua kichwa, ndoa ya kikristo,kimeo, jini linyonya damu,shetani,kichomi,kifua kikuu na kila kitu .... Yaani subiri tu kidogo tukupatie namba za mafundi...







Maneno ya waswahili.
Punguza ujuaji na wivu.
Mpe tu hongera then KAUSHA.

Haya alistahili kuambiwa kipindi anaenda kununua.

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…