GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Nina Hasira sana na Mpuuzi Beki Henock Inonga. Labda asije na Gari yake Mikocheni B kukutana na Demu wake Mrembo hasa Misumari ya inchi Sita ( 6 ) itahusika katika Tairi za Gari lake.Kufungwa sikatai ni muktadha unoweza kupita.
Lakini kufungwa 5 halafu kizembe aisee dah. Inauma sana
Kudadadeki wanyooshane tu
Mkuu nimekerwa sana.Nina Hasira sana na Mpuuzi Beki Henock Inonga. Labda asije na Gari yake Mikocheni B kukutana na Demu wake Mrembo hasa Misumari ya inchi Sita ( 6 ) itahusika katika Tairi za Gari lake.
ANGALIZO
Huvutiwi na Taarifa / Habari zangu GENTAMYCINE hapa Jamiiforums njia ni rahisi tu achana na Mimi, usifungue Thread yangu na itapendeza zaidi kama utanibloku ( ignore ) ili tusichoshane na uniachie tu wale Werevu na Wanaonielewa na Kuniamini waendelee Kuhabarika kwa ninayoyaleta hapa ambayo kamwe huwezi kuyapata kwa Kinyankera yoyote yule.
Kuendelea kumsoma na kumfuatilia GENTAMYCINE ambaye kutwa HUMPENDI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI wake na HUZIAMINI TAARIFA / HABARI zake kunaonyesha kuwa MOYONI mwako UNAMKUBALI ile mbaya lakini pia una Vijitabia AMINIKA vya MBWA JIKE aliyeko katika Heat na anayelitafuta JIBWA DUME na TUKUKA LIMPANDE na aridhike kwa KUSUUZIKA vilivyo ili atulie.
Bado mtabisha kuhusu uwezo wenu wa kufikiri?Yule Dem hahahaa namba zake ninazo 0655869450
Anayetaka azichukue hizo hapo amle ili inoga nae aumie kudadek zakee
Ikiwa hutaki tukomenti kwenye nyuzi zako hizi za kijuha nenda kawaandikie ndugu zako kwenye kuta za chooni Ushambenga na ushakunaku wako ili kila asubuhi wakienda kushusha mizigo wakenue meno na kukupigia Makofi!ANGALIZO
Huvutiwi na Taarifa / Habari zangu GENTAMYCINE hapa Jamiiforums njia ni rahisi tu achana na Mimi, usifungue Thread yangu na itapendeza zaidi kama utanibloku ( ignore ) ili tusichoshane na uniachie tu wale Werevu na Wanaonielewa na Kuniamini waendelee Kuhabarika kwa ninayoyaleta hapa ambayo kamwe huwezi kuyapata kwa Kinyankera yoyote yule.
Kuendelea kumsoma na kumfuatilia GENTAMYCINE ambaye kutwa HUMPENDI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI wake na HUZIAMINI TAARIFA / HABARI zake kunaonyesha kuwa MOYONI mwako UNAMKUBALI ile mbaya lakini pia una Vijitabia AMINIKA vya MBWA JIKE aliyeko katika Heat na anayelitafuta JIBWA DUME na TUKUKA LIMPANDE na aridhike kwa KUSUUZIKA vilivyo ili atulie.
Murutunguru haiko Ukara Mkuu.Mtu yupo Mrutunguru huko ukara anajifanya mjuaji
Nadhani angalizo lingewekwa juu kabisa kuepusha mtu kusoma uzi kabla ya angalizoPia nikushukuru sana Kipa Aishi Manula kwa kuamua kuwatolea Uvivu Wachezaji wenzako ( Wageni ) hasa Chama na Ntibanzokinza ( tena kwa Kuwatukana vilivyo ) mpaka ukaamuliwa na Waandamizi Wawili Mmoja Kiongozi na Mwingine yuko Benchi la Ufundi.
Wewe Mchezaji Mwandamizi Mzawa wa Simba SC uliyeninyooshea vilivyo Mchezaji Mpuuzi na Mchezaji ninayemchukia Leandre Onana Mwana wako GENTAMYCINE nakuomba tukutane pale Kijiweni Kwako Goba baadae Jioni ili nikupe hata Kuku tu uende ukamchinje na Ujipoze kwani Umenifurahisha mno.
Nawe uliyeninyooshea Inonga tukutane mida mida Mikocheni B kwa Warioba uje nikupe namba ya Demu wake Mmoja Mtanzania ( ambaye anapendwa na Inonga hadi ameanza kusahau Kwao Congo DR ) ili Umtongoze na upite nae mazima Kibaiolojia ili akijua aumie mara Mbili kama alivyotuumiza Sisi wana Simba SC kwa Kutuhujumu Jumapili na Kukutwa na Kimbunga Hatari cha tarehe 5 goli 5.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!
ANGALIZO
Huvutiwi na Taarifa / Habari zangu GENTAMYCINE hapa Jamiiforums njia ni rahisi tu achana na Mimi, usifungue Thread yangu na itapendeza zaidi kama utanibloku ( ignore ) ili tusichoshane na uniachie tu wale Werevu na Wanaonielewa na Kuniamini waendelee Kuhabarika kwa ninayoyaleta hapa ambayo kamwe huwezi kuyapata kwa Kinyankera yoyote yule.
Kuendelea kumsoma na kumfuatilia GENTAMYCINE ambaye kutwa HUMPENDI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI wake na HUZIAMINI TAARIFA / HABARI zake kunaonyesha kuwa MOYONI mwako UNAMKUBALI ile mbaya lakini pia una Vijitabia AMINIKA vya MBWA JIKE aliyeko katika Heat na anayelitafuta JIBWA DUME na TUKUKA LIMPANDE na aridhike kwa KUSUUZIKA vilivyo ili atulie.
...................................................................
...
Na nyie Wazee wa Kukopi kila Taarifa / Habari ambazo GENTAMYCINE nazileta hapa oneni Aibu basi hata kidogo kusema / kujifanya ni zenu ( mmeziibua nyie ) wakati kumbe zote ( kwa 100% ) mmezitoa hapa Jamiiforums na Kwangu Mwamba na Mfalme GENTAMYCINE.
Na kama mnajifanya mnajua Kupata / Kuibua Taarifa / Habari za Ndani ( Nyeti ) za Kimichezo nchini mbona kuna Matukio makubwa Mawili ya Ndani na yanafanyika leo Simba SC ( baada ya Kipigo cha Juzi ) na wala hamjaitoa au hamjaileta hapa?
Sasa kwakuwa najua hamuijui na hamna Ubavu wa Kuzijua niamkieni Kwanza GENTAMYCINE, nipigieni Salute na kubalini Mimi ni Mfalme na Mwamba ndiyo nitazileta hapa Jamiiforums kisha mzikopi huko katika Viblogu Blogu vyenu, Mitandaoni na katika Redio zenu mpate Followers zaidi, ila msipofanya hivyo nabaki nazo na Mtadoda huku Mkinuna.
Kudadadeki..!!
Selemani bana,leo umekuja na famba nyingine baada ile ya kasimamishwa kubuma.View attachment 2807691
Halafu kuna wajinga wenzako wanamuona mtu wa maana sana kwa hizi stories zake za kubumba,kumbe anajitungiatungia famba zake.Ni mtu wa kupika pika sana.....
Shauri zake maana kayataka mwenyewe katutia aibu ya mwakaMkuu utamfanya Inonga anywe Sumu akisikia huyo Demu wake Mtanzania Wajuba wanapita nae mazima Kibaiolojia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji38]so wameanza kutandikana judo?
Selemani bana,leo umekuja na famba nyingine baada ile ya kasimamishwa kubuma.View attachment 2807691
Tukubali mtani tumepigwa 5Rekodi uliyotakiwa kuifuta ni ile ya Goli 5 kwa 0 ya mwaka 2012 na siyo hii yako ya Goli 5 kwa 1.
Na ukimaliza kulipa Rekodi hii njoo uzifute na zile Goli 4 kwa 1 nilizokufunga zaidi ya mara Nne huku Mechi moja aliyekuwa Kipa wenu Peter Manyika baada ya tayari Yanga SC kufungwa Goli 4 ( Uwanja wa Uhuru Shamba la Bibi ) alimwomba Kiuhuruma ( tena kwa Sauti ) Mshambuliaji wa Simba SC Madaraka Selemani 'Mzee wa Kiminyio' kuwa asimfunge Goli la 5 kwani angeaibika na kweli Madaraka akazuga na kumpa Mpira Mshambuliaji mwingine aliyekuwa si sehemu nzuri ya Kufunga na hakufunga kweli.
Mkimaliza kulipa hiki Kisasi cha Goli Nne Nne nakuomba sasa uje uifute Rekodi ambayo inakutesa hadi leo ya Kufungwa na Simba SC Goli 6 kwa 0.
Kudadadeki...!!
Tumeshamaliza kazi yetu ya kuwagawia 5G za bure; mengine tunawaachia wenyewe wamalizane namna ya kuzigawana.so wameanza kutandikana judo?