Asanteni sana Wachezaji Waandamizi Wazawa Wawili Juzi na Jana 'Kuwapiga' Onana na Inonga kwa 'Dharau' zao baada ya 'Kipigo' cha Yanga SC

Kufungwa sikatai ni muktadha unoweza kupita.

Lakini kufungwa 5 halafu kizembe aisee dah. Inauma sana

Kudadadeki wanyooshane tu
Nina Hasira sana na Mpuuzi Beki Henock Inonga. Labda asije na Gari yake Mikocheni B kukutana na Demu wake Mrembo hasa Misumari ya inchi Sita ( 6 ) itahusika katika Tairi za Gari lake.
 


Ikiwa hutaki tuchangie kwenye nyuzi unazoleta hapa nenda kaandike sebuleni kwenu ili ndugu zako wakenue meno na kufurahia ujuha wako,lakini kwa hapa jukwaani tu utaula wa chuya!.

Hapa tutakukaanga,tutakupakua na utaliwa mkavu mkavu utake usitake!
 
Ikiwa hutaki tukomenti kwenye nyuzi zako hizi za kijuha nenda kawaandikie ndugu zako kwenye kuta za chooni Ushambenga na ushakunaku wako ili kila asubuhi wakienda kushusha mizigo wakenue meno na kukupigia Makofi!

Hapa tutakupika,tutakupakua na utaliwa bila kachumbari.
 
Nadhani angalizo lingewekwa juu kabisa kuepusha mtu kusoma uzi kabla ya angalizo
 
Kama kiungo fundi HARUNA MOSHI 'BOBAN' alivyompa kichapo mshambuliaji EMMANUEL OKWI wakiwa kwenye vyumba vya wachezaji ndani ya Uwanja wa Uhuru mwaka ule, kwa kosa la OKWI kuleta utoto langoni mwa Yanga badala ya kufungia.

Hii ilimfanya OKWI aombe kurudi home akivunga ana anaenda Kampala kushughulikia matatizo ya kifamilia, na alipofika kule aligoma kurudi Simba hadi alipobembelezwa sana ndo akarudi.
 
Tukubali mtani tumepigwa 5

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…