Asanteni sana Wachezaji Waandamizi Wazawa Wawili Juzi na Jana 'Kuwapiga' Onana na Inonga kwa 'Dharau' zao baada ya 'Kipigo' cha Yanga SC

Asanteni sana Wachezaji Waandamizi Wazawa Wawili Juzi na Jana 'Kuwapiga' Onana na Inonga kwa 'Dharau' zao baada ya 'Kipigo' cha Yanga SC

Rekodi uliyotakiwa kuifuta ni ile ya Goli 5 kwa 0 ya mwaka 2012 na siyo hii yako ya Goli 5 kwa 1.

Na ukimaliza kulipa Rekodi hii njoo uzifute na zile Goli 4 kwa 1 nilizokufunga zaidi ya mara Nne huku Mechi moja aliyekuwa Kipa wenu Peter Manyika baada ya tayari Yanga SC kufungwa Goli 4 ( Uwanja wa Uhuru Shamba la Bibi ) alimwomba Kiuhuruma ( tena kwa Sauti ) Mshambuliaji wa Simba SC Madaraka Selemani 'Mzee wa Kiminyio' kuwa asimfunge Goli la 5 kwani angeaibika na kweli Madaraka akazuga na kumpa Mpira Mshambuliaji mwingine aliyekuwa si sehemu nzuri ya Kufunga na hakufunga kweli.

Mkimaliza kulipa hiki Kisasi cha Goli Nne Nne nakuomba sasa uje uifute Rekodi ambayo inakutesa hadi leo ya Kufungwa na Simba SC Goli 6 kwa 0.

Kudadadeki...!!
Kumbe ndo mana wanashangilia sn kufunga hizo tano kumbe hawajatufunga magoli mengi tng miaka ya 70 huko sijui 80 😂😂😂😂😂
 
Rekodi uliyotakiwa kuifuta ni ile ya Goli 5 kwa 0 ya mwaka 2012 na siyo hii yako ya Goli 5 kwa 1.

Na ukimaliza kulipa Rekodi hii njoo uzifute na zile Goli 4 kwa 1 nilizokufunga zaidi ya mara Nne huku Mechi moja aliyekuwa Kipa wenu Peter Manyika baada ya tayari Yanga SC kufungwa Goli 4 ( Uwanja wa Uhuru Shamba la Bibi ) alimwomba Kiuhuruma ( tena kwa Sauti ) Mshambuliaji wa Simba SC Madaraka Selemani 'Mzee wa Kiminyio' kuwa asimfunge Goli la 5 kwani angeaibika na kweli Madaraka akazuga na kumpa Mpira Mshambuliaji mwingine aliyekuwa si sehemu nzuri ya Kufunga na hakufunga kweli.

Mkimaliza kulipa hiki Kisasi cha Goli Nne Nne nakuomba sasa uje uifute Rekodi ambayo inakutesa hadi leo ya Kufungwa na Simba SC Goli 6 kwa 0.

Kudadadeki...!!
Ukifukua historia maanake yanga ndiyo inaongoza kumfunga simba Mara nyingi na magoli mengi ya Jumla na derby ya ufunguzi mshindi alikuwa yanga .
Na vilevile ndiyo mabingwa wa kihistoria !
 
Tulipokuwa tunawauliza pre season Simba mnaenda uturuki kuongeza makalio au mashavu!, Mlikuwa mnanitukana Sana hapa... Sasa Kama sio uchizi ni nini timu inageuka kuwa kiwanja Cha ndondi Kama vipi wewe GENTAMYCINE tukuombe pambano na Babra?
 
Ikiwa hutaki tuchangie kwenye nyuzi unazoleta hapa nenda kaandike sebuleni kwenu ili ndugu zako wakenue meno na kufurahia ujuha wako,lakini kwa hapa jukwaani tu utaula wa chuya!.

Hapa tutakukaanga,tutakupakua na utaliwa mkavu mkavu utake usitake!
ANGALIZO

Huvutiwi na Taarifa / Habari zangu GENTAMYCINE hapa Jamiiforums njia ni rahisi tu achana na Mimi, usifungue Thread yangu na itapendeza zaidi kama utanibloku ( ignore ) ili tusichoshane na uniachie tu wale Werevu na Wanaonielewa na Kuniamini waendelee Kuhabarika kwa ninayoyaleta hapa ambayo kamwe huwezi kuyapata kwa Kinyankera yoyote yule.

Kuendelea kumsoma na kumfuatilia GENTAMYCINE ambaye kutwa HUMPENDI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI wake na HUZIAMINI TAARIFA / HABARI zake kunaonyesha kuwa MOYONI mwako UNAMKUBALI ile mbaya lakini pia una Vijitabia AMINIKA vya MBWA JIKE aliyeko katika Heat na anayelitafuta JIBWA DUME na TUKUKA LIMPANDE na aridhike kwa KUSUUZIKA vilivyo ili atulie.
 
Ikiwa hutaki tukomenti kwenye nyuzi zako hizi za kijuha nenda kawaandikie ndugu zako kwenye kuta za chooni Ushambenga na ushakunaku wako ili kila asubuhi wakienda kushusha mizigo wakenue meno na kukupigia Makofi!

Hapa tutakupika,tutakupakua na utaliwa bila kachumbari.
ANGALIZO

Huvutiwi na Taarifa / Habari zangu GENTAMYCINE hapa Jamiiforums njia ni rahisi tu achana na Mimi, usifungue Thread yangu na itapendeza zaidi kama utanibloku ( ignore ) ili tusichoshane na uniachie tu wale Werevu na Wanaonielewa na Kuniamini waendelee Kuhabarika kwa ninayoyaleta hapa ambayo kamwe huwezi kuyapata kwa Kinyankera yoyote yule.

Kuendelea kumsoma na kumfuatilia GENTAMYCINE ambaye kutwa HUMPENDI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI wake na HUZIAMINI TAARIFA / HABARI zake kunaonyesha kuwa MOYONI mwako UNAMKUBALI ile mbaya lakini pia una Vijitabia AMINIKA vya MBWA JIKE aliyeko katika Heat na anayelitafuta JIBWA DUME na TUKUKA LIMPANDE na aridhike kwa KUSUUZIKA vilivyo ili atulie.
 
Halafu kuna wajinga wenzako wanamuona mtu wa maana sana kwa hizi stories zake za kubumba,kumbe anajitungiatungia famba zake.
ANGALIZO

Huvutiwi na Taarifa / Habari zangu GENTAMYCINE hapa Jamiiforums njia ni rahisi tu achana na Mimi, usifungue Thread yangu na itapendeza zaidi kama utanibloku ( ignore ) ili tusichoshane na uniachie tu wale Werevu na Wanaonielewa na Kuniamini waendelee Kuhabarika kwa ninayoyaleta hapa ambayo kamwe huwezi kuyapata kwa Kinyankera yoyote yule.

Kuendelea kumsoma na kumfuatilia GENTAMYCINE ambaye kutwa HUMPENDI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI wake na HUZIAMINI TAARIFA / HABARI zake kunaonyesha kuwa MOYONI mwako UNAMKUBALI ile mbaya lakini pia una Vijitabia AMINIKA vya MBWA JIKE aliyeko katika Heat na anayelitafuta JIBWA DUME na TUKUKA LIMPANDE na aridhike kwa KUSUUZIKA vilivyo ili atulie.
 
ANGALIZO

Huvutiwi na Taarifa / Habari zangu GENTAMYCINE hapa Jamiiforums njia ni rahisi tu achana na Mimi, usifungue Thread yangu na itapendeza zaidi kama utanibloku ( ignore ) ili tusichoshane na uniachie tu wale Werevu na Wanaonielewa na Kuniamini waendelee Kuhabarika kwa ninayoyaleta hapa ambayo kamwe huwezi kuyapata kwa Kinyankera yoyote yule.

Kuendelea kumsoma na kumfuatilia GENTAMYCINE ambaye kutwa HUMPENDI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI wake na HUZIAMINI TAARIFA / HABARI zake kunaonyesha kuwa MOYONI mwako UNAMKUBALI ile mbaya lakini pia una Vijitabia AMINIKA vya MBWA JIKE aliyeko katika Heat na anayelitafuta JIBWA DUME na TUKUKA LIMPANDE na aridhike kwa KUSUUZIKA vilivyo ili atulie.
ANGALIZO

Huvutiwi na Taarifa / Habari zangu GENTAMYCINE hapa Jamiiforums njia ni rahisi tu achana na Mimi, usifungue Thread yangu na itapendeza zaidi kama utanibloku ( ignore ) ili tusichoshane na uniachie tu wale Werevu na Wanaonielewa na Kuniamini waendelee Kuhabarika kwa ninayoyaleta hapa ambayo kamwe huwezi kuyapata kwa Kinyankera yoyote yule.

Kuendelea kumsoma na kumfuatilia GENTAMYCINE ambaye kutwa HUMPENDI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI wake na HUZIAMINI TAARIFA / HABARI zake kunaonyesha kuwa MOYONI mwako UNAMKUBALI ile mbaya lakini pia una Vijitabia AMINIKA vya MBWA JIKE aliyeko katika Heat na anayelitafuta JIBWA DUME na TUKUKA LIMPANDE na aridhike kwa KUSUUZIKA vilivyo ili atulie.
Mentally paralyzed person
 
Nilitegemea ungepinga sana vita ugomvi wa wachezaji na watu kwa ujumla.
Wewe ndio unaunga mkono ugomvi.

Heri walio wapatanishi; Maana hao wataitwa wana wa Mungu.
Mathayo 5:9

FIFA wenye mpira wao wanasisitiza sana fair play.
 
Someone suffering from mental paralysis owns a smartphone
Your Mum / Mother.

ANGALIZO

Huvutiwi na Taarifa / Habari zangu GENTAMYCINE hapa Jamiiforums njia ni rahisi tu achana na Mimi, usifungue Thread yangu na itapendeza zaidi kama utanibloku ( ignore ) ili tusichoshane na uniachie tu wale Werevu na Wanaonielewa na Kuniamini waendelee Kuhabarika kwa ninayoyaleta hapa ambayo kamwe huwezi kuyapata kwa Kinyankera yoyote yule.

Kuendelea kumsoma na kumfuatilia GENTAMYCINE ambaye kutwa HUMPENDI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI wake na HUZIAMINI TAARIFA / HABARI zake kunaonyesha kuwa MOYONI mwako UNAMKUBALI ile mbaya lakini pia una Vijitabia AMINIKA vya MBWA JIKE aliyeko katika Heat na anayelitafuta JIBWA DUME na TUKUKA LIMPANDE na aridhike kwa KUSUUZIKA vilivyo ili atulie.
 
Hakika utoto ni Raha sana....
ANGALIZO

Huvutiwi na Taarifa / Habari zangu GENTAMYCINE hapa Jamiiforums njia ni rahisi tu achana na Mimi, usifungue Thread yangu na itapendeza zaidi kama utanibloku ( ignore ) ili tusichoshane na uniachie tu wale Werevu na Wanaonielewa na Kuniamini waendelee Kuhabarika kwa ninayoyaleta hapa ambayo kamwe huwezi kuyapata kwa Kinyankera yoyote yule.

Kuendelea kumsoma na kumfuatilia GENTAMYCINE ambaye kutwa HUMPENDI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI wake na HUZIAMINI TAARIFA / HABARI zake kunaonyesha kuwa MOYONI mwako UNAMKUBALI ile mbaya lakini pia una Vijitabia AMINIKA vya MBWA JIKE aliyeko katika Heat na anayelitafuta JIBWA DUME na TUKUKA LIMPANDE na aridhike kwa KUSUUZIKA vilivyo ili atulie.
 
Heri walio wapatanishi; Maana hao wataitwa wana wa Mungu.
Mathayo 5:9
 
Mentally paralyzed person
Your Mum / Mother.

ANGALIZO

Huvutiwi na Taarifa / Habari zangu GENTAMYCINE hapa Jamiiforums njia ni rahisi tu achana na Mimi, usifungue Thread yangu na itapendeza zaidi kama utanibloku ( ignore ) ili tusichoshane na uniachie tu wale Werevu na Wanaonielewa na Kuniamini waendelee Kuhabarika kwa ninayoyaleta hapa ambayo kamwe huwezi kuyapata kwa Kinyankera yoyote yule.

Kuendelea kumsoma na kumfuatilia GENTAMYCINE ambaye kutwa HUMPENDI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI wake na HUZIAMINI TAARIFA / HABARI zake kunaonyesha kuwa MOYONI mwako UNAMKUBALI ile mbaya lakini pia una Vijitabia AMINIKA vya MBWA JIKE aliyeko katika Heat na anayelitafuta JIBWA DUME na TUKUKA LIMPANDE na aridhike kwa KUSUUZIKA vilivyo ili atulie.
 
Nilitegemea ungepinga sana vita ugomvi wa wachezaji na watu kwa ujumla.
Wewe ndio unaunga mkono ugomvi.

Heri walio wapatanishi; Maana hao wataitwa wana wa Mungu.
Mathayo 5:9

FIFA wenye mpira wao wanasisitiza sana fair play.
Pumbavu.
 

Ndio kaka mimi ni Mpumbavu mkuu hapa Jamii forum mimi ndio kiongozi wa majinga.

Tena unapoliandama lipumbavu kama mimi utashagaza sana.

Unamkimbiza chizi Mwizi wa nguo ukiwa uchi, wewe utaonekana hamnazo mkuu.

Alafu pia kwa hekima achana na personalities.

Pambana na hoja na si mtu.
Ni ushauri mdogo tu kutoka kwa mpumbavu.
Jinga lao.

👻
 
Back
Top Bottom