Asanteni wadau lile wazo letu la kibiashara ya (hotspot manage) linaendelea vizuri ila kwa sasa tunahitaji muekezaji mwenye mtaji kati ya 5m to 10m

Asanteni wadau lile wazo letu la kibiashara ya (hotspot manage) linaendelea vizuri ila kwa sasa tunahitaji muekezaji mwenye mtaji kati ya 5m to 10m

NyegereBOY

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2021
Posts
225
Reaction score
328
Sina budi kumshukuru muumba kwa kutupatia neema zote kubwa kwa ndogo ndogo

Naomba nisikuchoshe mdau katika jukwaa hili tuende moja kwa moja kwenye kusudio husika la uzi huu

Iko hivi miezi kadhaa iliyopita tuliweza kuleta wazo kupitia uzi huu hapa chini unaweza kusoma kupata wazo au mwanga wa kile tunachokizungumzia hapa na ukapata nafasi ya kuuliza kuchangia na kueleweshana zaidi, lakini pia nitumie fursa hii kutoa shukrani za dhati kwa wadau walioweza kuonyesha ushirikiano na waliotia nia katika kunisaidia kuboresha wazo hili. soma hapa👇👇

Je, unaamini katika kuwekeza? Nina wazo la biashara kuanzia 10/20m ( kuuza unlimited internet buku tu kwa siku mteja atatumia hata gb 500 yeye tu

kwa ufipi wazo letu lilikuwa ni kufanya biashara ya HOTSPOT MANAGE hii ni biashara inayojihusisha na ku manage internet kupitia huduma ya internet WIFI na kuwawezesha watumiaji kutumia Wi-Fi yenye mfumo wa kisasa na kurahisisha upatikanaji wa internet katika nyumba na sehemu mbali mbali za biashara

HITAJI LETU KWA SASA
Kutokana na kufanikiwa kwa wazo hili tumeona ni vema kugawana fursa kwa wadau mbali mbali ili kuweza kufikia malengo yetu makubwa ya kuwa ( INTERNET SERVICE PROVIDER ) kwakuwa kila mwanzo unaugumu wake kwasasa demand ya huduma yetu ni kubwa ila uwezo wa kuhudumia umekuwa mdogo hasa kimtaji.

hivo furaha yetu na hitaji letu kwa sasa kupata muwekezaji kwa minajili ya kutununulia vifaa wezeshi katika usambazaji wa huduma lakini pia kurudisha na kupata faida ya uwekezaji wake huo kwa muda wa miezi 3 na week 2 kulingana na uendeshaji wetu, hivo basi hatuna budi kumkalibisha mdau yoyote mwenye mtaji kuanzia 5 milioni mpaka 10m uwe mdau binafsi kampuni au hata startup fund company.

MCHANGANUA WA FAIDA ATAKAYO IPATA MUWEKEZAJI KWA MUDA WA MIEZI 3 NA WEEK 2

Ili kufanikisha biashara hii tuna uhitaji wa vifaa wezeshi kufanikisha zoezi hili na hivi vifaa gharama yake sio rahisi kidogo ukilinganisha na uwezo wetu kwasasa.

MFANO ; site moja inahitaji vifaa vyenye thamani ya tsh.500,000 hivo basi kupata mdau mwenye mtaji wa kuanzia milioni 5 atakuwa ametuwezesha sisi kupata site 10 na yule wa milion 10 atatuwezesha kupata site 20

kwa uhitaji tuliona kwa idadi ya vifaa tulivotaja hapo juu tuna thubutu kusema kuwa tunauwezo wa kurudisha uwekezaji huo kwa muda usiozidi miezi 3 na week 2 na kumtengenezea muwekezaji faida nzuri

MFANO ;
kwa muwekezaji wa tsh 5,000,000 tutaweza kumrejeshea kiasi cha tsh 7,500,000/= kwa muda wa miezi 3 na week 2

kwa muwekezaji wa tsh 10,000,000/= tutaweza kumrejeshea kiasi cha tsh 15,000,000/= kwa muda wa miezi 3 na week 2

Namna ipi pesa yake mdau wetu angependa kupatiwa yeye ndio atapendekeza iwe kwa siku.week au kwa kila mwezi mfano

kwa muwekezaji wa 10,000,000 ataweza kurejeshewa kiasi chake kwa 👇
* kwa siku 143,000/=
* kwa week 1,000,000/=
*kwa mwezi 4,300,000/=
jumla kwa uwekezaji wake wa 10m ataweza kupata faida ya tsh. 5,000,000 kwa muda wa siku 105 tu

kwa muwekezaji wa 5,000,000 ataweza kurejeshewa kiasi chake kwa
* kwa siku 72,000/=
* kwa week 500,000/=
* kwa mwezi 2,020,000/=
jumla kwa uwekezaji wake wa 5m ataweza kupata faida ya tsh. 2,500,000 kwa muda wa siku 105 tu

wakuu yangu ni hayo naomba kuwakaribisha kwa maswali ufafanuzi zaidi lakini pia project hii inafanyika kwa dar pekee hivo kwa muwekezaji yoyote wa mkoani tunakukaribisha kwakuwa hii huduma inauwezo wa kutumika popote Tanzania inakopatikana internet.

unaweza kutufikia kwa
instagram @masoko_internet
Whatsapp & Calls 0710020066
 
Kwenye fursa hatuitani....be careful mwananchi wa samia.
sio kweli mkuu katika hatua yoyote ya ukuaji wa huduma au biashara inahitaji vitu viwili mtaji na mzunguko ( demand and supply ) ukiwa na hivi viwili biashara yoyote lazima iweze kufanikiwa sisi kama sisi tuna mzunguko hatuna mtaji inamana tunapompata mwenye mtaji anatusaidia kukamilisha huku nae akifaidika katika uwekezaji wake hakuna biashara yoyote iliyopata mafanikio bila kutegemeana kwa namna moja ama nyingine mkuu fanya tafiti kidogo
 
kw
Sina budi kumshukuru muumba kwa kutupatia neema zote kubwa kwa ndogo ndogo

Naomba nisikuchoshe mdau katika jukwaa hili tuende moja kwa moja kwenye kusudio husika la uzi huu

Iko hivi miezi kadhaa iliyopita tuliweza kuleta wazo kupitia uzi huu hapa chini unaweza kusoma kupata wazo au mwanga wa kile tunachokizungumzia hapa na ukapata nafasi ya kuuliza kuchangia na kueleweshana zaidi, lakini pia nitumie fursa hii kutoa shukrani za dhati kwa wadau walioweza kuonyesha ushirikiano na waliotia nia katika kunisaidia kuboresha wazo hili. soma hapa👇👇

Je, unaamini katika kuwekeza? Nina wazo la biashara kuanzia 10/20m ( kuuza unlimited internet buku tu kwa siku mteja atatumia hata gb 500 yeye tu

kwa ufipi wazo letu lilikuwa ni kufanya biashara ya HOTSPOT MANAGE hii ni biashara inayojihusisha na ku manage internet kupitia huduma ya internet WIFI na kuwawezesha watumiaji kutumia Wi-Fi yenye mfumo wa kisasa na kurahisisha upatikanaji wa internet katika nyumba na sehemu mbali mbali za biashara

HITAJI LETU KWA SASA
Kutokana na kufanikiwa kwa wazo hili tumeona ni vema kugawana fursa kwa wadau mbali mbali ili kuweza kufikia malengo yetu makubwa ya kuwa ( INTERNET SERVICE PROVIDER ) kwakuwa kila mwanzo unaugumu wake kwasasa demand ya huduma yetu ni kubwa ila uwezo wa kuhudumia umekuwa mdogo hasa kimtaji.
hivo furaha yetu na hitaji letu kwa sasa kupata muwekezaji kwa minajili ya kutununulia vifaa wezeshi katika usambazaji wa huduma lakini pia kurudisha na kupata faida ya uwekezaji wake huo kwa muda wa miezi 3 na week 2 kulingana na uendeshaji wetu, hivo basi hatuna budi kumkalibisha mdau yoyote mwenye mtaji kuanzia 5 milioni mpaka 10m uwe mdau binafsi kampuni au hata startup fund company.

MCHANGANUA WA FAIDA ATAKAYO IPATA MUWEKEZAJI KWA MUDA WA MIEZI 3 NA WEEK 2

Ili kufanikisha biashara hii tuna uhitaji wa vifaa wezeshi kufanikisha zoezi hili na hivi vifaa gharama yake sio rahisi kidogo ukilinganisha na uwezo wetu kwasasa.

MFANO ; site moja inahitaji vifaa vyenye thamani ya tsh.500,000 hivo basi kupata mdau mwenye mtaji wa kuanzia milioni 5 atakuwa ametuwezesha sisi kupata site 10 na yule wa milion 10 atatuwezesha kupata site 20

kwa uhitaji tuliona kwa idadi ya vifaa tulivotaja hapo juu tuna thubutu kusema kuwa tunauwezo wa kurudisha uwekezaji huo kwa muda usiozidi miezi 3 na week 2 na kumtengenezea muwekezaji faida nzuri

MFANO ;
kwa muwekezaji wa tsh 5,000,000 tutaweza kumrejeshea kiasi cha tsh 7,500,000/= kwa muda wa miezi 3 na week 2
kwa muwekezaji wa tsh 10,000,000/= tutaweza kumrejeshea kiasi cha tsh 15,000,000/= kwa muda wa miezi 3 na week 2

Namna ipi pesa yake mdau wetu angependa kupatiwa yeye ndio atapendekeza iwe kwa siku.week au kwa kila mwezi mfano

kwa muwekezaji wa 10,000,000 ataweza kurejeshewa kiasi chake kwa 👇
* kwa siku 143,000/=
* kwa week 1,000,000/=
*kwa mwezi 4,300,000/=
jumla kwa uwekezaji wake wa 10m ataweza kupata faida ya tsh. 5,000,000 kwa muda wa siku 105 tu

kwa muwekezaji wa 5,000,000 ataweza kurejeshewa kiasi chake kwa
* kwa siku 72,000/=
* kwa week 500,000/=
* kwa mwezi 2,020,000/=
jumla kwa uwekezaji wake wa 5m ataweza kupata faida ya tsh. 2,500,000 kwa muda wa siku 105 tu

wakuu yangu ni hayo naomba kuwakaribisha kwa maswali ufafanuzi zaidi lakini pia project hii inafanyika kwa dar pekee hivo kwa muwekezaji yoyote wa mkoani tunakukaribisha kwakuwa hii huduma inauwezo wa kutumika popote Tanzania inakopatikana internet.

unaweza kutufikia kwa
instagram @masoko_internet
kwa haraka sana ni lugha nzuri ila sasa mmmh
 
Wapo wapumbavu hawana hata idea watakuja kukupinga.

Mkuu upo vizuri ongeza ubunifu zaidi ni wazo zuri sana.
kikubwa usilikatie tamaa wazo lako.. Sio rahisi maana kila mafanikio changamoto zipo.
 
Wapo wapumbavu hawana hata idea watakuja kukupinga.

Mkuu upo vizuri ongeza ubunifu zaidi ni wazo zuri sana.
kikubwa usilikatie tamaa wazo lako.. Sio rahisi maana kila mafanikio changamoto zipo.
shukrani kiongozi kwa kutupa moyo tulikotoka ni mbali hatuwezi kukataa tamaa
 
Hapo ndio amezingua mdau, Kuna raia wanapesa rundo hawajui waziwekeze wapi... Watamvurugia soon!
asanteh mkuu hii imepelekea vijana wengi wabunifu kushindwa kuyatoa mawazo yao ya kibunifu
 
sio kweli mkuu katika hatua yoyote ya ukuaji wa huduma au biashara inahitaji vitu viwili mtaji na mzunguko ( demand and supply ) ukiwa na hivi viwili biashara yoyote lazima iweze kufanikiwa sisi kama sisi tuna mzunguko hatuna mtaji inamana tunapompata mwenye mtaji anatusaidia kukamilisha huku nae akifaidika katika uwekezaji wake hakuna biashara yoyote iliyopata mafanikio bila kutegemeana kwa namna moja ama nyingine mkuu fanya tafiti kidogo
Sasa mkuu mbona huo ni mtaji mdogo lakini bado unakupiga chenga? Huoni hapo umewaita wakurungwa na umemwaga Michele hadharani badala kushirikiana nao watafanya U-turn ubaki na wazo lako watakao faidika ni wengine
 
asanteh mkuu hii imepelekea vijana wengi wabunifu kushindwa kuyatoa mawazo yao ya kibunifu
Ni kweli mkuu kuwa makini tu sio Kila alieanzisha wazo alifaidika nalo. Anaekuja nyuma Yako mara nyingi ndio anafaidika, imenitokea Mimi, nilianzisha biashara ya usambazaji wa bidhaa nilikuwa naitoa Kongo, nilikuwa nakunja karibia mli 2 kwa mwezi, matajiri walivyonusa harufu ya nyendo zangu waliivagaa soko kwa kushusha mizigo kwa bei fororo faida ikapotea na Mali ikapoteza thamani hatimae ikafa
 
Back
Top Bottom